Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Wewe ndiyo wa kupuuzwa ,Mimi na wewe wa kupuuzwa ni nani?
Wana Iramba watatoa maoni yao hata kama itatumika njia gani.
Katiba mpya ni wananchi waacheni watoe maoni yao kwa amani.
maoni yanatolewa kwenye tume wala siyo kwa slaa au chadema we vipi.