Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,589
- 272,331
Hii picha sio guest ya kule Igunga na huyo mtoto inawezekana wa kale kabinti alikofumaniwa nako.
Haya weee !
Hii picha sio guest ya kule Igunga na huyo mtoto inawezekana wa kale kabinti alikofumaniwa nako.
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.
Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya CHADEMA.
Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.
Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.
Kuna uhamasishaji mkubwa wa CHADEMA unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
Dah angalau hata sisiem wewe unarusha rusha vimiguu sio kama huyo kilaza wenu mwegulu savimbi.KATIBA KWANZA MPIRA BAADAE,MIMI PIA NI CCM ila siungi mkono wala mguu huu upuuzii wa hawa viongozi wetu waliochoka akili!!!
Naona ndo ushamaliza kujibu shutuma naibu?
Mwigulu anamchanganya kweli slaa kwa sasa atakuwa anawaza kama kesho ni hukumu yake,yani watu waache kufanya mambo yao kisa anakuja slaa huko ni kupotoka mkuu.
hiyo ndio hali halisi ingawaje magamba wanajifanya hawataki kuona hilohilo nalo neno mkuu.
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.
Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya CHADEMA.
Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.
Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.
Kuna uhamasishaji mkubwa wa CHADEMA unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
We Molemo vipi bwana?! Mie mwenyewe siku hiyo nitakwenda kwa Dada kumpelekea sketi na mkanda wa kupunguza tumbo. Siji kwenye mkutanoni wenu ng'o!
![]()
![]()
Kwanza ilamba siyo watu wa kukimbilia kumuona slaa ajiandae kuwa na wachaga waishio singida tu.
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.
Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya CHADEMA.
Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.
Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.
Kuna uhamasishaji mkubwa wa CHADEMA unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
Mwigulu Nchemba mbona unahangaika sana, unafikiri wananchi wanafungwa kama kuku, wewe kama huna jambo ulilowafanyia wana Iramba subiri hukumu yako tu..MALemo
Nakwambia hata wangeialika timu kongwe duniani kama LiverpoolFC nakwambia wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo hawazuiliki Mkuu!
Mwigulu Nchemba wewe hauna bahati nakwambia.