Dr Slaa aandaliwa hujuma Iramba

Dr Slaa aandaliwa hujuma Iramba

Status
Not open for further replies.
Mimi nilijua amefumaniwa kumbe Simba inaenda Iramba na iende
 
Wananchi wataamua pa kwenda ambapo wao wataona ni sahihi zaidi kwa maendeleo yao.
 
nimevumilia sana upuuzi wa rage kwenye timu yetu ya simba , lakini hapa nimefikia kikomo , kuanzia leo najivua rasmi uanachama wa simba na ujumbe wa kamati ya ufundi , potelea mbali .
 
Uliyeleta uzi huu usichoke kutujuza mahudhurio ya hilo zoezi viz-a-viz mechi ya kirafiki.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hata wewe na slaa mtakufa hakuna ambaye hatakufa huko ni kujidanganya.

Sasa wewe,kama unajua kuwa kila mtu atakufa kulikuwa na haja gani ya
kumwekea sumu Dr.Mwakyembe,Kifo cha Mwangosi chini ya kundi kubwa la polisi.Ndizo zenu nyie ccm kuwaua watu mkidhani kuwa ninyi hamtakufa.Ccm mmefnya mabaya mangapi kama kuua kwa mabomu huko Arusha kwenye mkutano wa CDM,Kutesa watu na kuwang'oa meno.Lengo lenu la kufanya hivi ni nini? Ikiwa mnajua kuwa kila mtu atakufa,mnafanya hivi kwa manufaa ya nani? Je,mnapoua watu,kutesa watu mnaamini kuwa nyinyi hamtakufa?
 
Huyu Molemo nae ni wa kupuuzwa, sasa hapo hujuma ipo wapi?

Watu waache kuburudika kwa sababu ya Dr Slaa?

Kama ikitokea wananchi wamependezwa na ujio wa Dr Slaa, basi waende wakamsikilize.

Mwisho wa haki yako, mwanzo wa haki ya mwingine. Simple.

KATIBA KWANZA MPIRA BAADAE,MIMI PIA NI CCM ila siungi mkono wala mguu huu upuuzii wa hawa viongozi wetu waliochoka akili!!!
 
nimevumilia sana upuuzi wa rage kwenye timu yetu ya simba , lakini hapa nimefikia kikomo , kuanzia leo najivua rasmi uanachama wa simba na ujumbe wa kamati ya ufundi , potelea mbali .

Siasa zimeingia kila kona mkuu. Pole kwa kuchelewa kung'amua.
Ila afadhali ushang'amua.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mwigulu na Chama Cha Majambazi (CCM), wanapambana na mda.

hawajajua kuwa co chadema mbaya wao ni wakati umefika, wasubili kufa 2
 
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania,ni ukweli usiopingika kuwa wana Iramba wanamsubiri Dr.W.Slaa kwa hamu kubwa. CDM waione hiyo mechi iliyopangwa siku hiyo ni challange kama zilivyo nyingine.
Matangazo ya kutosha juu ya ujio wa Dokta ndo jibu la haraka,
 
Last edited by a moderator:
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.

Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya CHADEMA.

Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.

Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.

Kuna uhamasishaji mkubwa wa CHADEMA unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
AISEE RAGE siyo kila mechi ya kucheza ....TIMU ISIINGIZWE KWENYE MAMBO YA KISIASA
 
Mimi ninatabiri kuwa Dr. ataombwa afute mkutano wake au aufanye the day after maana "hatuna askari wa kutosha na hao wachache tulionao watakuwa na kazi ya kusimamia ulinzi wa ugeni mkubwa tuliopata kutoka Dar... Simba S.C"

Mipolisi ina mibichwa kwa ajili ya kutenganisha masikio yasigusane tu... no brain in there!!
Empty skulls!!!
 
We Molemo vipi bwana?! Mie mwenyewe siku hiyo nitakwenda kwa Dada kumpelekea sketi na mkanda wa kupunguza tumbo. Siji kwenye mkutanoni wenu ng'o!
0

1170811_156243614577875_1219415760_n.jpg


Hii picha sio guest ya kule Igunga na huyo mtoto inawezekana wa kale kabinti alikofumaniwa nako.
 
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania,ni ukweli usiopingika kuwa wana Iramba wanamsubiri Dr.W.Slaa kwa hamu kubwa. CDM waione hiyo mechi iliyopangwa siku hiyo ni challange kama zilivyo nyingine.
Matangazo ya kutosha juu ya ujio wa Dokta ndo jibu la haraka,

umenena vema mkuu....nipo sure chadema ina watu makini sana hilo ni jambo dogo sana.
 
Last edited by a moderator:
Hata angealika bayern na Barca afu Golikipa awe jakaya akipewa vitobo na Obama watu wangeenda kwa Dr. Slaa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hata angealika bayern na Barca afu Golikipa awe jakaya akipewa vitobo na Obama watu wangeenda kwa Dr. Slaa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

sina ubishi na wewe jombaa.
 
Huyu Molemo nae ni wa kupuuzwa, sasa hapo hujuma ipo wapi?

Watu waache kuburudika kwa sababu ya Dr Slaa?

Kama ikitokea wananchi wamependezwa na ujio wa Dr Slaa, basi waende wakamsikilize.

Mwisho wa haki yako, mwanzo wa haki ya mwingine. Simple.
Aisee, aVatar yako na mawazo yako vinafanana hongera kwa kuipatia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom