Mbona habari zake zinarushwa kwenye WhatsApp mkuu sitafute, inasikitisha sanaHata kama ana matatizo, itakuwa ni changamoto za maisha tu, this guy anaonekana alikuwa very smart, sijui nini kilimtokea.
Uko sahihi mkuu! Wabongo tunapenda mambo ya kipuuzi mno na hili life la Magu lilivyotaiti basi hatuna budi kupenda ku-refresh mind kama hivi!Huyu mzee angekuwa na account insta nahs angepata followers balaa...maaana anawatesa sana watu na fikra zao...wabongo wanapenda vtu visivyomaana
Hasa pale aliposema mrusi aliminywa pumb* na wenzieHuyu mzee kapitia magumu sana, nimemsikiliza sana anavojieleza na ukatili aliofanyiwa mikononi kakatwa vidole
mzazi wako anaeza kua na akili kama hzo za kujidhalilisha kwenye jamii??Huyo ni kama mzazi wako, sio vema kumkosea adabu kiasi hicho. Kiazi wewe
Very Sad , super human resource is now useless
Hizi tai zake lazima zimetoka moscow
Si unajua juz tu kanunua mijengo mikubwaHeheehehehehe nyamihela uyo..anabana matumizi
inapendeza zaidi.ni bilionea pekee anayeweza kunywa chai na watu wa hali ya chini kabisa kwa mamantilie