Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Hello Wana group , kuna mtu mwenye ushuhuda wa huyu Dr Daniel Nkya wa Kiboriloni Moshi anayetibu Kisukari type two ?
Asante sana wapendwa,
Asante sana wapendwa,
Ngoja tusubiri wanaomjua mkuuHello Wana group , kuna mtu mwenye ushuhuda wa huyu Dr Daniel Nkya wa Kiboriloni Moshi anayetibu Kisukari type two ?
Asante sana wapendwa,
Nina mpango wa kwenda kwake nimesoma kule Facebook wanamsifia sana , ila mambo ya Facebook siyaamini sana mkuuNgoja tusubiri wanaomjua mkuu