Dr Shika akipata chaiii

mzazi wako anaeza kua na akili kama hzo za kujidhalilisha kwenye jamii??

acha kufananisha wazaz wa wengne na mambo ya ajabu

nyie ndo wale wale juzi kjana mmoja huku mtaani akawa anamchana makavu mama mtu mzima kazi yake kujiuza na kutembea na watt wadogo kuna wapumbavu kama ww wakaja eti huyu ni kama mama yako umuheshimu..
acheni ujinga

Kaa kimya ufiche ujinga wako dogo
 
Huyu father ame trend kweli..kawa maarufu ghafla..mbaya zaidi mwenyewe hana habari!
 
I wish ningeonana nae! Na tukakaa hata dk 20 kuna kitu nimejifunza sana kutoka kwake mzee huyu.
 
Back
Top Bottom