Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
An flow nzuri sana ya narration of events, sio rahisi kwa mtu ambaye watu wanajaribu kusema ana matatizo. Time will tell
Tusubiri, tutajua, labdaHata kama ana matatizo, itakuwa ni changamoto za maisha tu, this guy anaonekana alikuwa very smart, sijui nini kilimtokea.
huyu mzee jamani kila analolifanya lazima watu wajue.. hahaha watu wa fursa wako wapii? watu wa matangazo wako wapi/? mpeni mzee wa watu tender ana convising powe r kubwa saana
Zako zipoje weka pichaNYWELE ZIMENYONYOKA KICHWANI..
I concur wit u..!!Ana flow nzuri sana ya narration of events, sio rahisi kwa mtu ambaye watu wanajaribu kusema ana matatizo. Time will tell
weka mia7 haidhuru pachaKunywa chai huku umekaa kwenye tofali inapendeza zaidi. Hahahahaaaa
Kiukweli sitaki kuamini kwamba HANA AKILI. Ni vyuma tu vimekaza. Na anaonekana ana akili sana huyu mzee. Ila nadhani kwa sasa ni "tajiri mtarajiwa". Atapiga sn hela huyu dingi. Ningekuwa kijana wake, ningekuwa meneja wake. Akishafanya interview, akawa na sequence nzuri ya maelezo, anatokaHata kama ana matatizo, itakuwa ni changamoto za maisha tu, this guy anaonekana alikuwa very smart, sijui nini kilimtokea.
Ni vile hujafika chuo kikuu, maprofesa wengi nywele zimeenda sababu ya kukuna kichwaNYWELE ZIMENYONYOKA KICHWANI..
Mia9 ndio itapendeza zaidi Pacha. Haahahaaweka mia7 haidhuru pacha