Kwanini Serikali isiajiri sehemu zenye uhitaji ambazo mtu akipata nafasi anafanya kazi?

0036 savage

Senior Member
Apr 30, 2019
189
237
Serikali inatoa ajira sawa ila haisimamii kabisa, unakuta mtu ameajiriwa lakini haeleweki hata anafanya kazi gani. Akifika kazini anakaa tu hafanyi kitu chochote na analipwa pesa mpaka overtime, kwa namna hii hatuwezi kuendelea sasa, kuliko kuajiri watu wasio na kazi, kwanini Serikali isiajiri sehemu zenye uhitaji ambazo mtu akipata nafasi afanye kazi????
 
Serikal inatoa ajira sawa ila aisimamii kabisa unakuta mtu ameajiriwa lakin aelewek hata anafanya kazi gan akifika kazin anakaa tu afanyikitu chochote na analipwa pesa mpka overtime,kwa namna hii atuwezi kuendelea sasa kuliko kuajil watu wasio na kaz kwann serikal isiajir sehemu zenye uhitaji ambazo mtu akipata nafasi afanye kazi ????
Ndo serikali zetu za bongo
 
Sehemu nying sana ukiondoa afya na elimu sehemu nyingine zote haya mambo yapo
 
Bandarini wajanja wajanja ni weng sana haswa hizi bandari ambazo azitolewi macho kama bandar ya dar...
 
Hakuna Mambo mapya yanayo undwa ni yale yale, miaka inaenda na watu wanaongezeka. Hakun sehem mpya watu wanaingia lazma mkwamo utokee
 
Hakuna Mambo mapya yanayo undwa ni yale yale, miaka inaenda na watu wanaongezeka. Hakun sehem mpya watu wanaingia lazma mkwamo utokee
Yan ni hatar mpka unashindwa kuelewa serikal inatoa kaz kama sadak au kuna umuhimu wa kuajir kwel na kama kuna umuhimu hawa wasiofanya kaz kabisa wanatokea wap?
 
Serikali inatoa ajira sawa ila haisimamii kabisa, unakuta mtu ameajiriwa lakini haeleweki hata anafanya kazi gani. Akifika kazini anakaa tu hafanyi kitu chochote na analipwa pesa mpaka overtime, kwa namna hii hatuwezi kuendelea sasa, kuliko kuajiri watu wasio na kazi, kwanini Serikali isiajiri sehemu zenye uhitaji ambazo mtu akipata nafasi afanye kazi????

Nina jamaa zangu wawili wako wizara flani hivi, kazi yao ni kusoma magazeti na kunywa chai ya messanger
 
Back
Top Bottom