Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Sasa ukale supu, mitori na "baga" za buku 10 kwa breakfast tu wakati ya 900 inapendeza zaidi na nzuri kwa afya?!
Amehojiwa wapi mkuu?Interview yake imenisikitisha sana kwa mateso aliyopata akiwa Russia ni hatari. Yani anadai walipokua wanamkata vidole vya mkono wa kushoto maumivu hakusikia, ila walipokua wanaponda ponda vidole vya mkono wa kulia ndio alisikia maumivu sana
Kuwa na adabu fala wewe...!!! Mbona sizonje zimetoka kabisa ila humsemi..!!! Si bora huyu zipo zimebaki baki. PumbavuNYWELE ZIMENYONYOKA KICHWANI..
Kuwa na adabu fala wewe...!!! Mbona sizonje zimetoka kabisa ila humsemi..!!! Si bora huyu zipo zimebaki baki. Pumbavu
Nipo tayari kumpa ajira Dr. Shika, mshahara laki 5huyu mzee jamani kila analolifanya lazima watu wajue.. hahaha watu wa fursa wako wapii? watu wa matangazo wako wapi/? mpeni mzee wa watu tender ana convising powe r kubwa saana
Shika nadhani ni kutokana na majeraha aliyoyapata katika mateso aliyopitia baada ya kutekwa huko Russia.Ni vile hujafika chuo kikuu, maprofesa wengi nywele zimeenda sababu ya kukuna kichwa
Amen to thatI really like the guy, very calm, talks like a gentleman and intelligently, down to earth, i pray that he proves the doubters wrong...
yani hadi inasikitshaa....watu wanashndwa kuelewa kuwa na yy ni mwanadamu tu.Huyu mzee angekuwa na account insta nahs angepata followers balaa...maaana anawatesa sana watu na fikra zao...wabongo wanapenda vtu visivyomaana
Kinachonisikitisha zaidi...wameenda mbali na kumuita chizi...yani hadi inasikitshaa....watu wanashndwa kuelewa kuwa na yy ni mwanadamu tu.
Ni vile hujafika chuo kikuu, maprofesa wengi nywele zimeenda sababu ya kukuna kichwa