Christiano Ronaldo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 258
- 41
Alikuwa makamu wa Mkapa sio miaka kumi alichukua nafasi hiyo baada za kuuwawa Dr. Juma Ali Juma.
Hakuuawa. Alikufa kwa mstuko wa moyo
Alikuwa makamu wa Mkapa sio miaka kumi alichukua nafasi hiyo baada za kuuwawa Dr. Juma Ali Juma.
Another descendant of Mohammed as a President? God forbid... More Churches destruction coming your way Christians
Get ready![/QUOT
Unaweza kudhani unajenga kwa statement kama hiz lkn sivyo hata mkristu mwenye uelewa wa kawaida tu hawez kukusupport. Utajisikia raha gani tukianza kugawanyika kwa minajili ya dini badala ya kujadili mada husika humu ndani?
Tumeumbwa hv na tutaishi hv hv no matter what! lkn huu ni udhaif wa kufikiri na statement zako ni chochez hazitatusaidia kamwe. Hao waislam wapo na wataendelea kuwepo daima dumu kama ilivyo kwa wakristu
Hakuuawa. Alikufa kwa mstuko wa moyo
Another descendant of Mohammed as a President? God forbid... More Churches destruction coming your way Christians
Get ready!
Ni kweli. Ingawa nchi haina udini wala haijaandikwa rasmi lakini hakuna uwezekano wa waislam kurudia urais mfululizo miaka 20. That's out of question. Ndio maana hata January na AshaRose wasijisumbue mwaka huu
Tanzania ni Tanganyika na Tanganyika ni Tanzania LAKINI Zanzibar ni Zanzibar haiwezi kuwa Tanzania /Tanganyika!!
Kwa hiyo makosa ya Mzanzibar kuja kuongoza Tanzania/Tanganyika yalifanyika once 1985 - 1995.Kwa sasa Watanganyika hawahitaji kutawaliwa chini ya Muungano wa kimagumashi tena, tumeshajitambua.
Iwe CCM au Ukawa kama mnataka kuona timbwilitimbwili la Watanganyika mtuletee mgombea mzanzibari eti aombe ridhaa ya Watanzania/watanganyika kuiongoza Tanganyika kwa mwavuli wa Muungano!
Zanzibar ibaki kuwa Zanzibar chini ya wazanzibari wenyewe na Tanganyika ibaki kuwa Tanganyika chini ya watanganyika wenyewe. Kama kuna mzanzibari anataka kuwa Rais wa zote mbili, asubiri katiba mpya itakapouweka sawa Muungano huu!!
yaani aje muislamu tena!!!
CHAMVIGAShein akipewa nafasi nitamuunga mkono naamini ataitengeneza Tanzania kama alivyoitengeneza Mwinyi.
CHAMVIGAShein akipewa nafasi nitamuunga mkono naamini ataitengeneza Tanzania kama alivyoitengeneza Mwinyi.
Nawahurumia sana kwa chuki mlizonazo dhidi ya waislamu. Mtakufa na vijiba vya roho bure.