Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
Zama za mzanzibari kuongoza Tanzania zilikuwa zile za KURA YA NDIYO pekee. Watu laki nane hawawezi kupata kura za kutosha kuongoza watanganyika 44 milioni. Pia huu ni wakati wa dini nyingine nayo kukaa magogoni maAlhaji zamu yenu kaimaliza JK