Dr. Shein kumrithi Kikwete

Dr. Shein kumrithi Kikwete

Kwa hali ilivyo sasa, kwa katiba iliyopo au ile inayopendekezwa ikipitishwa, siyo rahisi mzanzibari kupata kura za kumuwezesha kuwa rais wa JMT. Hata kuchakachua ni vigumu kwa kuwa wananchi wameamka. Ili mzanzibari akubalike kuwa rais wa JMT, ni lazima kuwe na serikali 3.
 
Yaani akipitishwa tu namimi nagombea maana huyu jamaa nimzigo zaidi ya kontena
 
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.


HUYU KAMA NI URAIS ALISHAWAHI KUKAIMU MWAKA MZIMA ..MKAPA AKIWA MGONJWA BADAYE AMEKUWA MAKAMU WA RAIS MIAKA 10 ....na urais WA ZANZIBAR MIAKA 5 ..... JUMLA MIAKA 15....TUKIMPA TENA URAIS MIAKA 10 ...TUNAONGELEA KUMPA MTU KAZI MIAKA 25...KAMA ALIKUWA NA MAWAZO MAPYA ALIKUWA NA MUDA WA KUTOSHA KUFANYA ....YEYE SIO SULTANI..
 
Zama za mzanzibari kuongoza Tanzania zilikuwa zile za KURA YA NDIYO pekee. Watu laki nane hawawezi kupata kura za kutosha kuongoza watanganyika 44 milioni. Pia huu ni wakati wa dini nyingine nayo kukaa magogoni maAlhaji zamu yenu kaimaliza JK
 
Nafasi ya juu kwa Wazanzibari ni kuwa makamu wa Rais tu. No more. Hiyo bahati ya kuwa Rais wa huku Tanganyika iliisha na Ali Hassan Mwinyi mwaka 1995. Sahauni kabisa labda mugombee tu nyie kupata uhuru wenu ili muwe mamlaka kamili.
 
yaani utawala wa mapepo na majini uwe replaced na utawala mwingine wa mapepo na majini?are u guys serious?no...we have had enough of this bullshit!
 
Back
Top Bottom