Usijali mshikaji huyo ni mbumbu sie wakirsto tunataka waendelee kuongoza waislam kwa sababu sio wezi sana labda awe muislamu jina. Ukitaka kujua hilo hebu taja orodha ya mafisadi ishirini tuone wakistu wangapi na waislam wangapi. Tukimpata muislam wa kweli tutakula bata kinoma
CHAMVIGA
===>Mh mnataka kwenda kuuza nyanya tena kule kivukoni?
Natamani sana CCM wamfanye Dr Shein as their flagbearer,Maana Christians within CCM watapiga referendum vote against Islam agenda within their party.Na hivi wanamfanyia zengwe Lowassa!Let me grab my popcorn ready for the most exciting movie on the way.ila sidhani kama CCM ni mazuzu kiasi hicho!!
Hapo kwa Lissu nakupa big LIKE na Maghufuli kwa kiasi flani....ila kwa Eddo is a big NO!Si kila mgombea atakayepitishwa na ccm basi ndie rais.....taifa lilipofikia mpaka sasa bado sijaona
Mrithi wa kuendana na changamoto zilizopo zaidi ya edo, magufuli,lissu cdm mlitegemea nimtaje
Mwenyekiti na katibu wake hao hapana muda wao ulishapita kama vile lipumba wa cuf.
Sizungumzii maisha binafsi ya mtu sababu hakuna aliyemsafi hata mmoja, si anayemaliza muda wake wala atakayeingiaHapo kwa Lissu nakupa big LIKE na Maghufuli kwa kiasi flani....ila kwa Eddo is a big NO!
yaani utawala wa mapepo na majini uwe replaced na utawala mwingine wa mapepo na majini?are u guys serious?no...we have had enough of this bullshit!
Kimeo hiko mkikileta loh,,,, piga s ua mgalatia anaingia ikulu 2015
Kwani Shein ni Mkristo??? Its unwritten constitution kuwa urais unapokezaniwa kati ya dini hizi kubwa mbili. Nenda hata Nigeria... Kwa Nigeria sasa ilikuwa zamu ya waislam na Rais alikuwa Yaradua, baada ya kufariki, kibahati urais ukamwangukia Goodluck. Indeed he was good lucky!
Salum Mwalimu je?Dr Shen yupi? Jamani mimi siyo mbaguzi lakini nasema kweli fitina kwangu mwiko.Sijaona Mzanzibari anaeweza kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Salim Ahmed Salim 2005 angeweza ila sasa umri umeenda, huyo ndiyo mzanzibari pekee ambae angeweza kuwa rais wa Tanzania ila waliobaki labda wasubiri kizazi cha tano baada ya kizazi hiki kuotoweka duniani