Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Jamani maneno yamipasho hayasaidii hili taifa huru na kila kazi inautekelezaji wake in short sio yeye alie leta mpango mkakati wa daraja yeye alikuwa pale kama mtumishi kutekeleza matakwa ya watu wake in short kuna maswali watanzania wanataka kujuwa ikiwa daraja lietafuna 200B na huyo bwana mkubwa anasemekana anaukwasi wahatari unaofikia 100B atueleze alizipataje watanznia tunataka ukweli kuhusu hili full stop
 
hahahaha!! hii picha hii kuna watu wanatamani wavunje simu zao wakiingalia ...

cc Ritz FaizaFoxy



13051531_1129481750426638_1956601341495157194_n.jpg

JPM huwa hatasiti kuchukua hatua unapo 'mess up' ... hata Mama Malecela alichekewa hivi hivi.. huku kuchekeana kunaishia hapo hapo.


 
Dr.Magufuli
Dr.Dau
Dr.Kikwete

Mimi nawashkuru sana kwa kutuletea Daraja Hili La Mtukufu Julius Nyerere..
Mungu wabariki Viongozi hawa..
wagalatia utawajua tu..Hukuona mwenzetu na aya kaipiga kabisa kwenye uzinduzi
 
Unazungumzia satanic verses?
Siku ya hukumu haiko mbali kijana, chunga sana kauli zako, eveything that you do or write is being recorded na malaika! by the way milango ya toba iko wazi karibu sana kwenye dini ya Haki, achana na mizigo ya chuki mnayojitwika, thus y mnakula hamshibi
 
Huyu mh.Dau siyo yule anayelaumiwa kuruhusu ununuzi wa ardhi Kigamboni kwa bei chafu!?
 
Franco Zetta,
''Nini Dau...''
Swali lako lilitakiwa liwe hivi,''Nani Dau?

Kwa miaka mitatu mfululizo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
Commerce kachukua zawadi ya mwanafunzi bora.

Huyo ndiyo Dau.
Uliza tena nitakupa habari zake zaidi In Sha Allah.
Swali lili kusudiwa liwe jinsi lilivyo kuwa na hapana shaka yoyote, na wala si haja yangu kumjua huyo mhisani wako zaidi ya anavyo julikana na alivyo jidhihirisha.
 
Dr Dau ni mcha Mungu,naona kamalizia na aya ingawa sijaelewa
 
Naona baada ya kusahaulika mpaka kwenye uzinduzi, mmekuja kujipoza kwa uzi humu JF.

Bahati mbaya na jina pendekezwa kwa daraja ni Daraja la Nyerere.

Magufuli is very intelligent indeed, ameng'ata, akapuliza, game over.......
Kama panya buku afanyavyo,hii nchi mbaya sana,hakuna kumuamini mtu sasa hivi kila mtu mamluki tu,hata magu anatuigizia?
 
Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?

Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...

Acheni kuchochea udini...
Hii vita siielewi, mtu amalifikisha shirika hapa lakin anabezwa, wabezaji wamlifanyia nini taifa letu tuwalinganishe na dau?
 
Back
Top Bottom