Mhhhh?
Hivi kwanini?
Mbona kitilya haliliwi hivi?
Hata yule Bade wa TRA.
Ngongo,
Waingereza wangesema, ''You are making a mountain out of a mole hill.''
Soma bandiko langu.
Sijasemapo kuwa daraja jina lake ni Dau ila nimesema kila nikikutana
na vijana wa Kidaresalaam basi ikija habari za daraja utawasikia wao
wakisema, ''Daraja la Dau.''
Hebu ingia hapa:
Mohamed Said: DR. DAU AUNGURUMA DARAJANI KWAKE
Mkuu unayo ile ripoti ya CAG kuna data nataka kuchukuwa ile ya kiwanja heka moja milioni 800 Karatu.Kuna watu sijawaona humu ndani kulikoni?
Mkuu unayo ile ripoti ya CAG kuna data nataka kuchukuwa ile ya kiwanja heka moja milioni 800 Karatu.
kwani mkuu umejaribu kuiomba kwa waliokaileta? Au wamekuwa wakali kama pilipili

Ngongo,
Waingereza wangesema, ''You are making a mountain out of a mole hill.''
Soma bandiko langu.
Sijasemapo kuwa daraja jina lake ni Dau ila nimesema kila nikikutana
na vijana wa Kidaresalaam basi ikija habari za daraja utawasikia wao
wakisema, ''Daraja la Dau.''
Hebu ingia hapa:
Mohamed Said: DR. DAU AUNGURUMA DARAJANI KWAKE
Dau asipotumbuliwa ntajua Vita ya ufisadi ya magu ni maigizo matupu. Kama mtu ana majipu mwilni akanda kutibiwa, kisha akamwonyesha mganga majipu ya kutumbia na ambayo hapaswi kuyagusa, ujue ana tatizoHivi kumbe hili ni daraja lake!!!?
Hizi pesa zote alizipata wapi za kujenga daraja kama hili? Na ni kwa nini aliamua kujiongezea gharama kwa zaidi ya billiion 100 ambazo zinaweza kujenga daraja na nyongeza ya jengo jipya kama la TPA!?
Mkuu unayo ile ripoti ya CAG kuna data nataka kuchukuwa ile ya kiwanja heka moja milioni 800 Karatu.
Kuna watu sijawaona humu ndani kulikoni?
FaizaFoxy, udini unautoa wapi. Sitegemei Tanzania ya leo mtu anaanza kuzungumzia udiniPost yako namba tatu ndiyo yenye neno udini.
Hebu tuonyeshe post za kabla yako zenye hata chembe ya hicho unachokihubiri wewe.
Ana shares 100 na ule uwanja wa St James Park ni wake.Ha ha ha...
Mkuu naomba niulizie na zile shares za Newcastle Mkuu..anamiliki kias gan cha shares?
Teh teh teh
NI SIKU NGUMU SANA KWA WAZEE WA CHUKI NA UZUSHI; ROHO ZIMEWACHEMKA KWA HASIRA! WANAONA DUNIA IMEWAGEUKIA! NI SIKU YA KUANGUKA NA KUTOANA MAPEPO SANA MAKANISANI LEO;WATU WANATESEKA KWA CHUKI MIOYONI
Franco Zetta,Ah! kila kukicha Dau,Dau tumeona jahazi nini Dau, imechosha sasa.
Ana shares 100 na ule uwanja wa St James Park ni wake.
Teh teh teh!!
Franco Zetta,
''Nini Dau...''
Swali lako lilitakiwa liwe hivi,''Nani Dau?
Kwa miaka mitatu mfululizo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
Commerce kachukua zawadi ya mwanafunzi bora.
Huyo ndiyo Dau.
Uliza tena nitakupa habari zake zaidi In Sha Allah.
Dau ndiyo nani? Yule jamaa mwenye maghorofa ya Derm Complex? NSSF kutam sana
FaizaFoxy, udini unautoa wapi. Sitegemei Tanzania ya leo mtu anaanza kuzungumzia udini