Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

kuna uzi humu eti dau amekatazwa kuhudhuria...
yaani humu JF kuna watu wazushi sana ....................
Inawezekana mtoa mada alitoa kilicho moyoni mwake. Yawezekana hilo ndilo alilokuwa analitaka
 
Dr Dau hajafungua daraja, hata wasemaji wote waliomtangulia JPM hawakutambua uwepo wake katika zile protokali. Endeleeni kujifariji, ila darala limepewa jina la mkatoliki Julius Nyerere
Hao ambao hawakutambuwa uwepo wa Dr.si Kitu kama mh. Rais amemtambuwa inatosha. Wabaki na chuki zao.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?

Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...

Acheni kuchochea udini...

Udini uko wapi sasa hapo mkuuu?

Aaah hata wewe?

Hebu ona japo hayaa kidogooo
 
Hivi kumbe hili ni daraja lake!!!?
Hizi pesa zote alizipata wapi za kujenga daraja kama hili? Na ni kwa nini aliamua kujiongezea gharama kwa zaidi ya billiion 100 ambazo zinaweza kujenga daraja na nyongeza ya jengo jipya kama la TPA!?
swali kama hili kamuulize balozi Ombeni ndie mwenye jibu zuuuuri zaidi ya dr. Dau
 
Haya mambo ya Dau yamechosha mzee wangu , hizi kazi za kuteuliwa au kuchaguliwa hazina maisha , iko siku utang'olewa tu , dawa ni kuwa kama mimi nilivyoamua kuwa Mkurugenzi wa kampuni yangu mwenyewe , badala ya kumhurumia ni bora ashauriwe aendelee na mpango wake wa kununua NEWCASTLE UNITED .
Ah! kila kukicha Dau,Dau tumeona jahazi nini Dau, imechosha sasa.
 
Haya mambo ya Dau yamechosha mzee wangu , hizi kazi za kuteuliwa au kuchaguliwa hazina maisha , iko siku utang'olewa tu , dawa ni kuwa kama mimi nilivyoamua kuwa Mkurugenzi wa kampuni yangu mwenyewe , badala ya kumhurumia ni bora ashauriwe aendelee na mpango wake wa kununua NEWCASTLE UNITED .
jitahid tu ulipe kodi yetu! vinginevyo tutang'oa hapo hapo kwenye kampuni yako
 
2016%2B-%2B1


2016%2B-%2B1



‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’

Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:

''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''

Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.

Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''

Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.

Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.

Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.

Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.

Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''

Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.

Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.

Fuatilia ukurasa huu...

2016%2B-%2B1

Posted 2 hours ago by Mohamed Said

inawezekana wakulu watakuwa wamesikia kuna watu humu wanaliita hilo daraja "Daraja la Dau". sasa yawezekana pia Dau kaalikwa ili ashuhudie likitajwa jina la yule mwenye staha, weledi, uadilifu na haiba kwa vitu muhimu kupewa jina lake.

Mwl Nyerere (rip)!
 
Kumtegemea mtu akufanikishie mambo yako ni shiriki. Na dhambi kubwa Mungu anahekima yake kwa binadamu. Mnashangaa Dau kutokukumbukwa katika uzinduzi wa daraja alolisimamia, mbona hamkumbuki hata Uhuru wa Tanganyika mambo ni hayohayo ,kikubwa hilo daraja watakuwa wanapita viumbe wake Mwenyemungu waovu na wachamungu. By the way maisha yenyewe ni mafupi.Yu wapi Nyerere wa Butiama.
 
Ila kiukweli wahusika wakuu wengine wa sherehe ukitoa rais na mwingine, walikuwa wakitaja wageni waalikwa ila Dr. Dau hawakuwa wanamtaja. Hata katibu wa shughuli hakumtaja.
Na lazima utumie akili kujiuliza, kwa nini rais alimuita Dr. Dau?? Ni baada ya kuona hamna aliyemtaja kama ambavyo 'alistahili'!
roho mbaya sana. Mungu tu awaongoze.
 
Haya mambo ya Dau yamechosha mzee wangu , hizi kazi za kuteuliwa au kuchaguliwa hazina maisha , iko siku utang'olewa tu , dawa ni kuwa kama mimi nilivyoamua kuwa Mkurugenzi wa kampuni yangu mwenyewe , badala ya kumhurumia ni bora ashauriwe aendelee na mpango wake wa kununua NEWCASTLE UNITED .
Kweli yamechosha wangelituacha tupumzike.
 
Ila kiukweli wahusika wakuu wengine wa sherehe ukitoa rais na mwingine, walikuwa wakitaja wageni waalikwa ila Dr. Dau hawakuwa wanamtaja. Hata katibu wa shughuli hakumtaja.
Na lazima utumie akili kujiuliza, kwa nini rais alimuita Dr. Dau?? Ni baada ya kuona hamna aliyemtaja kama ambavyo 'alistahili'!
Nimesikiliza voice note ambayo Dau katamka kuwa anamshukuru mheshimiwa raisi kwa kutambua uwepo wake cause hata kwenye ratiba alikuwa hajawekwa na hivyo alikuwa hajajiandaa kwa speech!
 
Hivi kumbe kupiga picha na rais mkatoliki kuna hadhi yake eeh? Yaani hadi watu wanaianzishia thread!

Nin kupiga nae picha?

Sisi tumempigia hata kura zetu magufuli pasi na kuangalia ukatoliki kama vile nyinyi mlivokampigia kura kikwete pasi na kuangalia uislam wake...

Chuki na ubaguz mnauendekeza nyinyii...

Tz ni nchi yetu soote...chuki baina ya jamii hii moja ni ya nin?
 
Back
Top Bottom