MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,786
- 3,127
JPJM kumwelewa itachukua muda sana!!😵Magufuli kawaangusha kweli.. Teh teh teh teh
JPJM kumwelewa itachukua muda sana!!😵Magufuli kawaangusha kweli.. Teh teh teh teh
Inawezekana mtoa mada alitoa kilicho moyoni mwake. Yawezekana hilo ndilo alilokuwa analitakakuna uzi humu eti dau amekatazwa kuhudhuria...
yaani humu JF kuna watu wazushi sana ....................
Hao ambao hawakutambuwa uwepo wa Dr.si Kitu kama mh. Rais amemtambuwa inatosha. Wabaki na chuki zao.Dr Dau hajafungua daraja, hata wasemaji wote waliomtangulia JPM hawakutambua uwepo wake katika zile protokali. Endeleeni kujifariji, ila darala limepewa jina la mkatoliki Julius Nyerere
Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?
Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...
Acheni kuchochea udini...
swali kama hili kamuulize balozi Ombeni ndie mwenye jibu zuuuuri zaidi ya dr. DauHivi kumbe hili ni daraja lake!!!?
Hizi pesa zote alizipata wapi za kujenga daraja kama hili? Na ni kwa nini aliamua kujiongezea gharama kwa zaidi ya billiion 100 ambazo zinaweza kujenga daraja na nyongeza ya jengo jipya kama la TPA!?
Ah! kila kukicha Dau,Dau tumeona jahazi nini Dau, imechosha sasa.Haya mambo ya Dau yamechosha mzee wangu , hizi kazi za kuteuliwa au kuchaguliwa hazina maisha , iko siku utang'olewa tu , dawa ni kuwa kama mimi nilivyoamua kuwa Mkurugenzi wa kampuni yangu mwenyewe , badala ya kumhurumia ni bora ashauriwe aendelee na mpango wake wa kununua NEWCASTLE UNITED .
jitahid tu ulipe kodi yetu! vinginevyo tutang'oa hapo hapo kwenye kampuni yakoHaya mambo ya Dau yamechosha mzee wangu , hizi kazi za kuteuliwa au kuchaguliwa hazina maisha , iko siku utang'olewa tu , dawa ni kuwa kama mimi nilivyoamua kuwa Mkurugenzi wa kampuni yangu mwenyewe , badala ya kumhurumia ni bora ashauriwe aendelee na mpango wake wa kununua NEWCASTLE UNITED .
![]()
![]()
‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’
Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:
''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''
Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.
Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''
Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.
Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.
Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.
Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.
Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''
Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.
Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.
Fuatilia ukurasa huu...
![]()
Posted 2 hours ago by Mohamed Said
roho mbaya sana. Mungu tu awaongoze.Ila kiukweli wahusika wakuu wengine wa sherehe ukitoa rais na mwingine, walikuwa wakitaja wageni waalikwa ila Dr. Dau hawakuwa wanamtaja. Hata katibu wa shughuli hakumtaja.
Na lazima utumie akili kujiuliza, kwa nini rais alimuita Dr. Dau?? Ni baada ya kuona hamna aliyemtaja kama ambavyo 'alistahili'!
Sawa Mkuu...Udini uko wapi sasa hapo mkuuu?
Aaah hata wewe?
Hebu ona japo hayaa kidogooo
Ndo mtulie sasa siyo kila mkiamka mnamuanzishia Uzi.Ah! kila kukicha Dau,Dau tumeona jahazi nini Dau, imechosha sasa.
Kweli yamechosha wangelituacha tupumzike.Haya mambo ya Dau yamechosha mzee wangu , hizi kazi za kuteuliwa au kuchaguliwa hazina maisha , iko siku utang'olewa tu , dawa ni kuwa kama mimi nilivyoamua kuwa Mkurugenzi wa kampuni yangu mwenyewe , badala ya kumhurumia ni bora ashauriwe aendelee na mpango wake wa kununua NEWCASTLE UNITED .
Nimesikiliza voice note ambayo Dau katamka kuwa anamshukuru mheshimiwa raisi kwa kutambua uwepo wake cause hata kwenye ratiba alikuwa hajawekwa na hivyo alikuwa hajajiandaa kwa speech!Ila kiukweli wahusika wakuu wengine wa sherehe ukitoa rais na mwingine, walikuwa wakitaja wageni waalikwa ila Dr. Dau hawakuwa wanamtaja. Hata katibu wa shughuli hakumtaja.
Na lazima utumie akili kujiuliza, kwa nini rais alimuita Dr. Dau?? Ni baada ya kuona hamna aliyemtaja kama ambavyo 'alistahili'!
Hivi kumbe kupiga picha na rais mkatoliki kuna hadhi yake eeh? Yaani hadi watu wanaianzishia thread!
Ben,Mzee Mohammed Said nimefurahi kukuona tena hapa jukwaani baada ya siku nyingi.