​huyu jamaa hafai, hafai hafai tena hafai
Kiwete ndiye anayemtaka kupeperusha bendera ya magamba!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
​huyu jamaa hafai, hafai hafai tena hafai
Tukiwa chuoni,mwaka 2012 kijana mmoja kutoka Songea aliwahi kusema kuwa Nchimbi nae anautaka, Wengi tulichukulia kawaida lakini sasa naanza kuona jamaa anaweza kupenya. nakupeperusha bendela ya CCM mwaka huu.Tafadhali kama kuna mtu amamfahamu vizuri huyu jamaa hebu atujuze.
Ungeyaona yangu je! ungekufa maana usingeweza kula bila kuniona wala kulala bila kuniona!
Kweli watu wamevurugwa
sasa nchimbi hata kwao hakubaliki sembuse nchi??
Teh teh teh teh
huyu si kinje? du hawa watu wana pesa wanaweza muweka huyu jamaa!!!
Kama umewahi kucheza draft utajua ccm wanacheza mfumo upi, hakuna cha nchimbi, maghufuri wala lowasa, Kilichotokea kwenye kinyang'anyiro cha uspika ndani ya ccm ndicho kitakachotokea kwenye urais, Dr Migiro ndio atakayebeba bendera ya ccm
Spika Anna Makinda ndio chaguo
Tukiwa chuoni,mwaka 2012 kijana mmoja kutoka Songea aliwahi kusema kuwa Nchimbi nae anautaka, Wengi tulichukulia kawaida lakini sasa naanza kuona jamaa anaweza kupenya. nakupeperusha bendela ya CCM mwaka huu.Tafadhali kama kuna mtu amamfahamu vizuri huyu jamaa hebu atujuze.
Let me tell you my friend, there is only two people who have what it takes to preside this once was a beautiful nation;Dr John Maghufuli and Dr Wilbrod Slaa.My third favourite was Dr Salim Ahmed Salim but the time is ticking against him now.
Wewe kweli ni naive na siasa za nchi hii,haitatokea mwanamke kuwa rais wa nchi hii.Fanya research ndogo tu ya kuona ni kwa kiwango gani wanawake wanapewa nafasi ya kuongoza Tanzania, Anzia kwa upande wa dini uone Waislamu,Wakristu,Wapagani wana mtazamo gani kuhusu hilo na majibu utakayopata bila shaka yatabadili mtazamo wako.Ameamua kujipumzikia Makinda ,
ndani ya ccm kuna kambi tatu zenye nguvu, lakini kutokana kambi zote tatu kuwa na mabaka ya ufisadi ni vigumu kuuzika kwa wananchi. Pinda toka awali aliandaliwa kuwa Rais wa 5 wa URT , kwa nature Yake hakupaswa kuwa waziri mkuu kwa sababu si mtendaji kwa viatu vya uwaziri mkuu vikampwaya kama vilivyompwaya Warioba kipindi chake. Ukichanganya na Epa,escrow,piga tu, mauaji ya albino image yake haitazamiki tena, hata Usalama walimtaka yeye!,
Mtu ambaye hana friction yoyote kati ya hayo makundi ni mtu neutral aliyebeba matumaini ya watanzania lakini ambaye anaonekana ataweza kuibeba vyema agenda ya ccm kushinda chaguzi zote na kushika dola.. Huyu c mwingine bali ni Asha Rose Migiro. Ni mtu pekee ambaye ukawa wana hofu nae
Wewe kweli ni naive na siasa za nchi hii,haitatokea mwanamke kuwa rais wa nchi hii.Fanya research ndogo tu ya kuona ni kwa kiwango gani wanawake wanapewa nafasi ya kuongoza Tanzania, Anzia kwa upande wa dini uone Waislamu,Wakristu,Wapagani wana mtazamo gani kuhusu hilo na majibu utakayopata bila shaka yatabadili mtazamo wako.