Dr. Nchimbi na urais 2015

Dr. Nchimbi na urais 2015

Kweli watu wamevurugwa

sasa nchimbi hata kwao hakubaliki sembuse nchi??

Teh teh teh teh
 
Rais anatakiwa kuwa na nidhamu kwa wakubwa na wadogo, sasa huyu tuliambiwa alimtukana the Late Mzee Gamma je atatufaa?
 
Tukiwa chuoni,mwaka 2012 kijana mmoja kutoka Songea aliwahi kusema kuwa Nchimbi nae anautaka, Wengi tulichukulia kawaida lakini sasa naanza kuona jamaa anaweza kupenya. nakupeperusha bendela ya CCM mwaka huu.Tafadhali kama kuna mtu amamfahamu vizuri huyu jamaa hebu atujuze.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

Kweli kabisa anaweza kupeperusha bendela ila bendera hataweza
 
Kwani CCM hawajui kwamba wakimweka mtu asiyekubakika watakuwa wanawasha indiketa ya kushoto kuashiria UKAWA apite zake salama, wajaribu kufanya kosa hilo waone
 
Kama umewahi kucheza draft utajua ccm wanacheza mfumo upi, hakuna cha nchimbi, maghufuri wala lowasa, Kilichotokea kwenye kinyang'anyiro cha uspika ndani ya ccm ndicho kitakachotokea kwenye urais, Dr Migiro ndio atakayebeba bendera ya ccm
 
Mkuu mbona hujaeka wazi hizo sababu zinazokufanya nchimbi atapeperusha bendera? zitaje kwanza hizo sababu au ndio hiyo ya kumskia mngoni mwenzie wa songea?
 
Huyu Damu Ya Mwangosha na kufoji Vyeti vya kujiita doctor vitamuunguza, hu- Dr. Hajawahi kuupata na hataupata karibuni
 
kama JK kaweza kuwa rais kwa nini Nchimbi ashindwe... Nchimbi is far better kuliko JK ..so its true Nchimbi atapeperusha bendera ya bati na mlingoti wa chuma ya CCM 2015 kuelekea ikulu ya Lumumba
 
Rais anatakiwa kuwa na nidhamu kwa wakubwa na wadogo, sasa huyu tuliambiwa alimtukana the Late Mzee Gamma je atatufaa?
Tunayo historia ya kuuliwa Mh Amina Chifupa na uhusika wa Nchimbi!! subiri aletwe tuwashe moto!!
 
mkuu wewe unapendekeza nani? mimi hadi leo hii sijaona zaidi ya magufuli na dr salim.

Hatukitaki tuh hiko CHAMA CHENYEWE REMOTE

HUO NI UKOO WA WEZI,HATA AKIJA MSAFI NAE ATAAMBUKIZWA TUH

CCM INABID IPISHE WATU WENGINE WAONGOZE HII NCHI

HATA WAKITAKA KUENDELEA KUKAA SO WHAT,,,HAWANA JIPYA

WACHUKUE TIME ZAO MAJIZI MAKUBWA HAYA.
 
Nilimfatilia sana Kampeni za 2015 Songea dhidi ya Mbogoro Chadema, Nchimbi ni mweupe hana ushawishi hata kujieleza huwezi.

Ndio maana hadi Kampeni zinaisha vigogo wa ccm songea wengi walijenga na wengine kununua magari, Nchimbi kwake fedha ndio kila kitu.
 
Huyu Jamaa siachi kumfananisha na Dokta LOVE PIMBI. Sijui nyie wenzangu
 
Back
Top Bottom