5
nadhani wa kuhama ..bora mjiandae kuhama ..maana hakuna anayeijuwa kesho..na siasa hazitabiriki!!..kwani hapa mmewataja vijana wengi....kwa nini nchimbi peke yake ndie awe hoja...hii ina maana ana weight...!!...na amekomaa kisiasa...
nadhani ni mapema mno kuanza kampeni za 2015.....lolote hapa kati linaweza tokea na kubadili upepo wa kisiasa....ila pamoja na hayo mimi projection zangu ni kuwa rais wa tanzania mwaka 2015 atakuwa kijana yeyote mwenye miaka 38 hadi 45...leo,.........wote ambao wametajwa wanaozidi miaka niliyoweka hapo wasahau nafasi ya urais.....,na vijana wenye miaka 38 hadi 45 ..ambao wanautaka urais basi wapange vema karata zao,wapate uzoefu,wajenge network....na walinde afya zao kama mboni ya jicho lao....!!!