Dr Mwele Malecela kuchukua nafasi ya Blandina Nyoni?

J4MAYOKA

Senior Member
Jul 16, 2011
147
84
Tatiana_Elephantiasis[5].jpg

Katibu Mkuu (in waiting) Dada Mwele Malecela​

Kikosi cha CSI kimeeleza kuwa the powers at be washaboreka na hii issue ya Madaktari na sasa kila option iko open lakini kikao cha jana usiku kimeazimia kuwa someone has to take the fall and as it is inaonekana kuwa Madaktari wanataka their pound of flesh and in this case its Blandina Nyoni ambaye not only amekuwa liability kwa bosi wake bali kwa chama na serikali.

Na inaonekana kuwa hata watetezi wake walishindwa nguvu na tayari watu washaandaa PLAN B aka replacement wake kama wakiona position yake ni untenable.

Mmoja kati ya majina ambayo yanatajwa sana ni sister Mwele Malecela ambaye unlike Blandina waheshimiwa wanasema anaweza kuwa na empathy with doctors badala ya huyu mama Nyoni. Bila kusahau kuwa Dr Mwele ni msomi aliyebobea na hanuki rushwa kama mama Nyoni.

Lakini habari za ndani kabisa toka kwa mama Nyoni ni kuwa anataka kuchukua the Lowassa route kuachia ngazi mwenyewe nyadhifa zote ambao yeye ni public figure ili aweze kuiprotect family yake from the 24 hrs scrutiny ila wapambe wake wanamwambia a hang on (for their own benefit) na mbaya zaidi hawana cohesive strategy ya kumsafisha huyu mama not only kwenye mainstream media, bali mpaka huku JF ambako mama anadai mahasimu wake (ma daktari) wanamsingiza ya uwongo.


Either way mama hiyo ndio politics lakini taarifa ni kuwa mabosi wake wanaona ONE MONKEY DOES NOT STOP THE PARTY sasa dada Mwele jiandae kukalia kiti!

Tutaendelea kuleta updates JF style. Kaeni mkao wa kula
 
ukimcheki kwenye picha ana tumbo kubwa sana

What has that got to do with UKATIBU wa Wizara??? Its all about the physique..Please!!! Not that I am saying she is the right candidate, I am just against the physical attack.. very shallow!
 
Hope input ya Dr Mwele stil inahitajika NIMR henceforth kwa nchi kubwa kama Tanganyika wataalamu tunao wengi atafutwe mtu mwingine instead of wasting our resources on appointing and transfering if that is the real situation.:smash:
 
Kwa baadhi yetu tunaomfahamu vizuri mama Nyoni muda mrefu, anavyosemwa katika jf si sahihi ni kupakwa matope na wasiomtakia mema. Huyu mama ni kiongozi mzuri, anayejua analolifanya na kupenda wafanyakazi waliochini yake. Ana msimamo thabiti kwa jambo analoamini yuko sahihi na huwa na vielelezo kwa kila jambo analofanya. Kwa mtu yeyote ambaye anajua Menejimenti, a professional manager anaweza kuongoza sehemu yoyote ya kazi si lazima awe na taaluma husika. Wale wanaofikiri madaktari ndio wanaweza tu kuwa viongozi wa wizara ya afya ni wazi hawajui menejimenti ni nini. Mama Nyoni ni meneja, ndio maana kama Makatibu wakuu wengine na hata mawaziri si lazima awe wa taaluma husika ya wizara. Ni vyema kumhukumu mtu kwa matendo yake na haki yake apewe.
 
Kama kuna ukweli fulani hivi umewakumbusha wenyewe subiri watakavyo kushambulia
mimi nawashangaa sana kila siku mnasema mawaziri wanatumia masaburi na matumbo kufikiri sasa leo mnaukataa huu usemi wenu???
 
Most institutional bodies are instinctively anti-reform. I take it as read that when a government (any government) attempts to implement public sector reform a whole body of people are going to crawl out of the woodwork and condemn it.

Current spending rates are not sustainable and if the the Ministry of Health isn't reformed it will die, something I think most people here would agree would be fairly lamentable.
 
Hope input ya Dr Mwele stil inahitajika NIMR henceforth kwa nchi kubwa kama Tanganyika wataalamu tunao wengi atafutwe mtu mwingine instead of wasting our resources on appointing and transfering if that is the real situation.:smash:

Nakubaliana kabisa hapa. Dr. Mwele ana uwezo mkubwa sana na ana sifa nzuri; watu kama hawa haitakiwi kuwaingiza kwenye mazingira ya siasa kwa sababu mwisho wake wanakuwa victims wa ujinga uliojaa serikalini. Itakuwa vyema kama akiachwa palepale NIMR kuliko kumuingiza kwenye mfumo mbovu usiojua kutenganisha siasa na utaalam.
 
Back
Top Bottom