Blanduma hana kosa ndivyo alishauriwa na Daktari kilaza CMO Mtasiwa.
Kuwa na Katibu Mkuu wa wizara ya Afya Daktari ni mwiko kwani Wizara ya Afya haina kada moja tu ya udaktari au kama vipi madaktari mpatiwe wizara ya Madaktari ambapo mtajiongoza wenyewe. Ipo siku kwa ufinyu wenu wa kufikiri mtasema hata wahasibu, wachumi, maafisa Utawala na Utumishi katika wizara ya Afya wawe Madaktari;
Katibu Mkuu (in waiting) Dada Mwele Malecela
wewebchamu huna lolote umejiunga jamii forum ili kumtetea blandina?ukweli aachie ngazi kazidi kuonea madaktari.ananunua ving'amuzi vya magari wakati madaktari hawalipi hela zao?kwa baadhi yetu tunaomfahamu vizuri mama nyoni muda mrefu, anavyosemwa katika jf si sahihi ni kupakwa matope na wasiomtakia mema. Huyu mama ni kiongozi mzuri, anayejua analolifanya na kupenda wafanyakazi waliochini yake. Ana msimamo thabiti kwa jambo analoamini yuko sahihi na huwa na vielelezo kwa kila jambo analofanya. Kwa mtu yeyote ambaye anajua menejimenti, a professional manager anaweza kuongoza sehemu yoyote ya kazi si lazima awe na taaluma husika. Wale wanaofikiri madaktari ndio wanaweza tu kuwa viongozi wa wizara ya afya ni wazi hawajui menejimenti ni nini. Mama nyoni ni meneja, ndio maana kama makatibu wakuu wengine na hata mawaziri si lazima awe wa taaluma husika ya wizara. Ni vyema kumhukumu mtu kwa matendo yake na haki yake apewe.
Kwa baadhi yetu tunaomfahamu vizuri mama Nyoni muda mrefu, anavyosemwa katika jf si sahihi ni kupakwa matope na wasiomtakia mema. Huyu mama ni kiongozi mzuri, anayejua analolifanya na kupenda wafanyakazi waliochini yake. Ana msimamo thabiti kwa jambo analoamini yuko sahihi na huwa na vielelezo kwa kila jambo analofanya. Kwa mtu yeyote ambaye anajua Menejimenti, a professional manager anaweza kuongoza sehemu yoyote ya kazi si lazima awe na taaluma husika. Wale wanaofikiri madaktari ndio wanaweza tu kuwa viongozi wa wizara ya afya ni wazi hawajui menejimenti ni nini. Mama Nyoni ni meneja, ndio maana kama Makatibu wakuu wengine na hata mawaziri si lazima awe wa taaluma husika ya wizara. Ni vyema kumhukumu mtu kwa matendo yake na haki yake apewe.
Nimekusoma lakini sio lazima sana awe Daktari anaweza kuwa Afisa Muuguzi, Afisa Afya, Afisa Ustawi wa Jamii, Pharmacist, Katibu wa Afya, Afisa Mtekinolojia Maabara NK katika sekta ya afyaMkuu sijakuelewa!!unapata wapi ujasiri wa kusema kuwa katibu wa wizara ya afya ni mwiko kuwa daktari!!?kama umesema idara ya afya ina kada zingine blandina alikuwa wa kada gani upande wa afya?kwangu mimi ni vizuri waziri na makatibu wao kuwa na fani husika,mfano waziri wa fedha awe amesomea masuala ya fedha/uhasibu,si vizuri mtu amesomea kilimo sua anakuja kuwa waziri wa fedha,vice verse is true!
Nakubaliana kabisa hapa. Dr. Mwele ana uwezo mkubwa sana na ana sifa nzuri; watu kama hawa haitakiwi kuwaingiza kwenye mazingira ya siasa kwa sababu mwisho wake wanakuwa victims wa ujinga uliojaa serikalini. Itakuwa vyema kama akiachwa palepale NIMR kuliko kumuingiza kwenye mfumo mbovu usiojua kutenganisha siasa na utaalam.
Nini kilichomshinda mpaka mgomo wa madaktari ukatokea.
Imefika wakati sasa kuwa na katibu mkuu wa Afya ambaye ni daktari.
sawa kabisa ila sio lazima awe Dakatari, anaweza kuwa Afisa Afya, afisa Muuguzi, Mfamasia, Afisa Mtekinolojia Maabara, Katibu wa Afya, Afisa Ustawi wa Jamii NK
Sawa lakini siyo Watoto wa Malecela kisa eti ni Dk.
ukimcheki kwenye picha ana tumbo kubwa sana
Haina uhusiano na yeye kuchukua position ya ukatibu mkuuukimcheki kwenye picha ana tumbo kubwa sana