Dr Mwele Malecela kuchukua nafasi ya Blandina Nyoni?

Huyu mama haiwezi mikikimikiki ya pale. Kwa kuwa system nzima ya uongozi imeoza kuanzia magogoni ni vema Blandina Nyoni aendelee tu.Msiwe mabingwa wa kutibu matokeo badala ya viini/vyanzo.
 
sio lazima dr malecela awe katibu kwani hakuna wengine? mnaleta yale mabo ya ukomredi (ukingunge) acheni watanzania wachuke nafasi hizo na si lazima awe daktari wa binadamu, ndio mambo ya kuwaweka ndugu kila mahali
 
bado hawezi kitu huyu ,,,aendelee kukaa huko huku NIMR ana mewata ajipake poda lakini sio wizara ya afya....she is very scant to be seen
 
Tatiana_Elephantiasis[5].jpg

Katibu Mkuu (in waiting) Dada Mwele Malecela​

Kikosi cha CSI kimeeleza kuwa the powers at be washaboreka na hii issue ya Madaktari na sasa kila option iko open lakini kikao cha jana usiku kimeazimia kuwa someone has to take the fall and as it is inaonekana kuwa Madaktari wanataka their pound of flesh and in this case its Blandina Nyoni ambaye not only amekuwa liability kwa bosi wake bali kwa chama na serikali.

Na inaonekana kuwa hata watetezi wake walishindwa nguvu na tayari watu washaandaa PLAN B aka replacement wake kama wakiona position yake ni untenable.

Mmoja kati ya majina ambayo yanatajwa sana ni sister Mwele Malecela ambaye unlike Blandina waheshimiwa wanasema anaweza kuwa na empathy with doctors badala ya huyu mama Nyoni. Bila kusahau kuwa Dr Mwele ni msomi aliyebobea na hanuki rushwa kama mama Nyoni.

Lakini habari za ndani kabisa toka kwa mama Nyoni ni kuwa anataka kuchukua the Lowassa route kuachia ngazi mwenyewe nyadhifa zote ambao yeye ni public figure ili aweze kuiprotect family yake from the 24 hrs scrutiny ila wapambe wake wanamwambia a hang on (for their own benefit) na mbaya zaidi hawana cohesive strategy ya kumsafisha huyu mama not only kwenye mainstream media, bali mpaka huku JF ambako mama anadai mahasimu wake (ma daktari) wanamsingiza ya uwongo.


Either way mama hiyo ndio politics lakini taarifa ni kuwa mabosi wake wanaona ONE MONKEY DOES NOT STOP THE PARTY sasa dada Mwele jiandae kukalia kiti!

Tutaendelea kuleta updates JF style. Kaeni mkao wa kula

Wakifanya hivyo kwa Mara ya kwanza nitaona serikali ya Danganyika inasikiliza kilio cha wananchi wake, na kweli itakuwa na haki ya kujiita serikali sikivu
 
Hatupaswi kumlaumu mama Nyoni. Inayopaswa kulaumiwa ni Tume ya Uchaguzi ambayo imetupa raisi ambaye haoni kwamba kuna mgomo wa madaktari. Huyu mama tangu aliopokuwa Accountant General alikuwa ni mchapa kazi. Kwa mtizamo wangu inawezekana kabisa kuwapa posho ya Tshs 200,000.00 madaktari. Kwani hii inatolewa kwao pale wanapoitwa kwa dharura. Siyo posho ambayo watalipwa kila siku. Kuna taasisi nyingine wanalipwa mpaka 400,000.00 kwa kikao. RAISI KIKWETE anatakiwa kuchukua maamuzi magumu na kuwapa posho ya 200,000.00 madaktari. Nchi za wenzetu wanawajali sana madaktari sisi tunawachezea. Anapaswa kulichukulia jambo hili kama la dharura.
 
While I respect your observation, I am very sure you are talking about some other Permanent Secretary and not Brand Nyoni who i now know is an open book every body is currently reading.
I am not allowing myself to be tempted into believing that you are an agent under her payroll, please be balanced on this forum especially at such times as this when we are helping each other calling a spade for what it is!
Mind you over the Northern Hemisphere summer is not an equivalent of the dry season in the Tropics. Your brand of management style scares us, I hope there's more than herself in the Govt and the wider society, modelling good leadership.
Dr Mwele, our prayers with her for the prophecy's fulfillment. I hope another day will dawn where we shall see in such posts the suprises we saw in the unknown, unfamiliar Marina Njelekela,MD former MEWATA Chair and current CEO for MNH, and Tz has plenty!
 
Kwa baadhi yetu tunaomfahamu vizuri mama Nyoni muda mrefu, anavyosemwa katika jf si sahihi ni kupakwa matope na wasiomtakia mema. Huyu mama ni kiongozi mzuri, anayejua analolifanya na kupenda wafanyakazi waliochini yake. Ana msimamo thabiti kwa jambo analoamini yuko sahihi na huwa na vielelezo kwa kila jambo analofanya. Kwa mtu yeyote ambaye anajua Menejimenti, a professional manager anaweza kuongoza sehemu yoyote ya kazi si lazima awe na taaluma husika. Wale wanaofikiri madaktari ndio wanaweza tu kuwa viongozi wa wizara ya afya ni wazi hawajui menejimenti ni nini. Mama Nyoni ni meneja, ndio maana kama Makatibu wakuu wengine na hata mawaziri si lazima awe wa taaluma husika ya wizara. Ni vyema kumhukumu mtu kwa matendo yake na haki yake apewe.

Hii serikali lazima ishukuru kuwa na katibu mkuu wa wizara ya Afya mwenye hadhi ya huyu mama ; ana hadhi ya juu kiutendaji na kitabia. Pale wizarani amekomesha ubabaishaji na kuweka systems zinazoeleweka na wale wanaompiga vita kwakweli ni kwasababu zao binafsi na si kwa maslahi ya wanannchi walio wengi. Shutuma anazobambikiwa huyu mama on close scrutiny zote ni majungu ya wale wasioitakia nchi maendeleo. THANK GOD SERIKALI HAZIENDESHWI KWA UZANDIKI NA MAJUNGU BALI KWA UADILIFU UNAONGOZWA NA KANUNI NA TARATIBU ZA KAZI.
 
Hatupaswi kumlaumu mama Nyoni. Inayopaswa kulaumiwa ni Tume ya Uchaguzi ambayo imetupa raisi ambaye haoni kwamba kuna mgomo wa madaktari. Huyu mama tangu aliopokuwa Accountant General alikuwa ni mchapa kazi. Kwa mtizamo wangu inawezekana kabisa kuwapa posho ya Tshs 200,000.00 madaktari. Kwani hii inatolewa kwao pale wanapoitwa kwa dharura. Siyo posho ambayo watalipwa kila siku. Kuna taasisi nyingine wanalipwa mpaka 400,000.00 kwa kikao. RAISI KIKWETE anatakiwa kuchukua maamuzi magumu na kuwapa posho ya 200,000.00 madaktari. Nchi za wenzetu wanawajali sana madaktari sisi tunawachezea. Anapaswa kulichukulia jambo hili kama la dharura.
Kwa fikra kama hizi hatuweza fika mahala popote....
 
Huyu hafai ni mwizi alikwiba hela za mradi wa mabusha!!

mmm, kama ni kweli hii tetesi basi FF amemnasa pazuri Willy, maaan mpenzi wa miaka mingi wa Dr Mwele, FUNDIKIRA KIPAYA, naye ameamua kurudiusha majembe anarudi nyumbani kachoka kuishi ughaibuni.

Sasa tusubiri Willie anamkabishi FUNDI. kwa hiyo FF wifi yako huyo uwe na ishima kwa sauti ya umeme
 
imefika wakati sasa kuwa na katibu mkuu wa Afya ambaye ni daktari,imagine km hajui kutofautisha intern doctor na mwanafunzi wa udaktari mbaya zaidi hata waziri wake hajui tofauti yao .
Blanduma hana kosa ndivyo alishauriwa na Daktari kilaza CMO Mtasiwa.
Kuwa na Katibu Mkuu wa wizara ya Afya Daktari ni mwiko kwani Wizara ya Afya haina kada moja tu ya udaktari au kama vipi madaktari mpatiwe wizara ya Madaktari ambapo mtajiongoza wenyewe. Ipo siku kwa ufinyu wenu wa kufikiri mtasema hata wahasibu, wachumi, maafisa Utawala na Utumishi katika wizara ya Afya wawe Madaktari;
 
Tatizo lenu Madaktari mnapenda sana vyeo vya madaraka kuliko taaluma yenu ya kutibu nakumbukeni Wizara ya Afya haina watumishi wa kada ya Udaktari tu, leo mkisema Katibu Mkuu lazima awe Daktari kesho Wauguzi nao watadai kuwa na Katibu wao Mkuu hali kadhalika kada zingine hivyo serikali iwe na busura ya kutafuta Katibu Mkuu huru ambaye siye Daktari atakaye weza kuwaunganisha watumishi wote katika sekta ya afya. hatuwezi kuwa na Katubu Mkuu Daktari na Mganga Mkuu wa Serikali (CMO) coz Mtasiwa ambae ni CMO anawaunganisha Madaktari wote na Katibu Mkuu kwahiyo kam kashindwa kazi abadalishwe na nafasi yake ichukuliwe na huyo mnayemnadi ........Malechela
 
Tatiana_Elephantiasis[5].jpg

Katibu Mkuu (in waiting) Dada Mwele Malecela

Kikosi cha CSI kimeeleza kuwa the powers at be washaboreka na hii issue ya Madaktari na sasa kila option iko open lakini kikao cha jana usiku kimeazimia kuwa someone has to take the fall and as it is inaonekana kuwa Madaktari wanataka their pound of flesh and in this case its Blandina Nyoni ambaye not only amekuwa liability kwa bosi wake bali kwa chama na serikali.

Na inaonekana kuwa hata watetezi wake walishindwa nguvu na tayari watu washaandaa PLAN B aka replacement wake kama wakiona position yake ni untenable.

Mmoja kati ya majina ambayo yanatajwa sana ni sister Mwele Malecela ambaye unlike Blandina waheshimiwa wanasema anaweza kuwa na empathy with doctors badala ya huyu mama Nyoni. Bila kusahau kuwa Dr Mwele ni msomi aliyebobea na hanuki rushwa kama mama Nyoni.

Lakini habari za ndani kabisa toka kwa mama Nyoni ni kuwa anataka kuchukua the Lowassa route kuachia ngazi mwenyewe nyadhifa zote ambao yeye ni public figure ili aweze kuiprotect family yake from the 24 hrs scrutiny ila wapambe wake wanamwambia a hang on (for their own benefit) na mbaya zaidi hawana cohesive strategy ya kumsafisha huyu mama not only kwenye mainstream media, bali mpaka huku JF ambako mama anadai mahasimu wake (ma daktari) wanamsingiza ya uwongo.


Either way mama hiyo ndio politics lakini taarifa ni kuwa mabosi wake wanaona ONE MONKEY DOES NOT STOP THE PARTY sasa dada Mwele jiandae kukalia kiti!

Tutaendelea kuleta updates JF style. Kaeni mkao wa kula[/QUOTE]
Anafaa kuwa Mganga Mkuu wa Serikali (CMO) na sio Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya
 
Back
Top Bottom