Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Takukuru ikamuhoji pia na mzee wa kagoda na mzee wa kiwira bana,inahoji udaga inaacha jodari
Taratibu ndugu, one issue at a time! Hakuna expiry date ya makosa ya jinai as long as watuhumiwa wako hai!