Lowasa anaweweseka sana kwa sasa. Maana anaona kuwa hakuna wa kumuokoa. Fedha zake alizokwiba ana anazowalipa vijana kama akina MUSSA ALLAN hazijamsaidia kituMwakyembe chapa kazi, mja maji haachi kutapatapa tatizo ni urais
Amani na mshikamano ni tunu yantaifa letu. Hawa akina Lowasa wawekwe tu pembeniWanyukane tu ila watuachie amani yetu na mshikamano, watanzania wa sasa si wale wa jana...
MAJIBU YA MWAKYEMBE HAYA HAPA....
Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufura kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.
Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!
Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!
Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!
Hali sasa imefika pabaya![/QUOT
Y
E]yeye mwakyembe si mshenzi tu ni mpumbavu.hawezi ita wenzake washenzi wakati yeye ni firauni.kashirikiana na kipande kuhujumu bandari na kununua mabehewa feki na ma dili ya madawa ya kulevya akishikiana na mtoto wa msoga.
Mwakyembe chapa kazi, mja maji haachi kutapatapa tatizo ni urais
Lizaboni utazeeka kabla ya muda wako kwa kuyafuatilia ya Lowassa.Lowasa anaweweseka sana kwa sasa. Maana anaona kuwa hakuna wa kumuokoa. Fedha zake alizokwiba ana anazowalipa vijana kama akina MUSSA ALLAN hazijamsaidia kitu
Mingoi atutajie alichoiba Mwakyembe. Atutajie pia tume iliyoindwa na kumuimplicate Mwakyembe kwa wiziDuuh!kwa hio ni kweli kua ccm ni ukoo wa panya?Mingoi anasema mwakyembe mwizi,Lizaboni anasema Lowassa mwizi!
Jibu=wote wezi!
Lizaboni utazeeka kabla ya muda wako kwa kuyafuatilia ya Lowassa.
Hapo ulipo ushazeeka kwa kumtetea fisadi Lowasa. Umekuwa ka msukule vile. Pole sana kijana.
Safi sana endeleeni hivyo hivyo...! :becky::becky::becky:Mingoi atutajie alichoiba Mwakyembe. Atutajie pia tume iliyoindwa na kumuimplicate Mwakyembe kwa wizi
Kambi ya Lowassa ina shida sana.No NO TO LOWASA,hafai kabisa kama yeye hahusiki Richmond atuambie nani anayehusika?hatudanganyiki
"Vita vya panzi " na bado mtatifuana sana UKAWA tunasubiri tu kutumbukiza mpira wavuni hiyo oct.
Ama kweli kuwa na mvi nyingi sio wingi wa busara, yani anakana, kumbe hata shetani akitubu na kuomba msamaha anaweza kusamehewa.Khaa!! Sasa ulijiuuzuru kulinda heshima hipi ambayo inanyanyasa roho yako kwa miaka nane???
MAJIBU YA MWAKYEMBE HAYA HAPA....
Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufura kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.
Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!
Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!
Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!
Hali sasa imefika pabaya![/QUOT
Y
E]yeye mwakyembe si mshenzi tu ni mpumbavu.hawezi ita wenzake washenzi wakati yeye ni firauni.kashirikiana na kipande kuhujumu bandari na kununua mabehewa feki na ma dili ya madawa ya kulevya akishikiana na mtoto wa msoga.
Tujikumbushe Bungeni mwaka 2006, kutokana na kauli yake aliyoitoa leo kwamba hausiki na RICHMOND.
"Kesho yake, yaani tarehe 1 Aprili 2006 Waziri wa Nishati na Madini, wakati huo Mhe. Dk. Ibrahim Msabaha, (Mb.) akionesha dhahiri kutotaka njia ya international shopping kutumika, akawaita wajumbe wote wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO na kuwaagiza wahakikishe kuwa Bodi ya Zabuni ya shirika inawaita tena wazabuni wote waliojitokeza awali na makampuni mengine yoyote yenye uwezo wa kuingiza nchini mitambo hiyo. Aidha, Mhe. Dk. Ibrahim Msabaha, (Mb.) alisisitiza kwa barua kwamba:
Mshindi wa tenda ya ununuzi wa mitambo mipya atajulikana baada ya idhini ya Serikali kutolewa. Composition ya wajumbe wa TANESCO Tender Board ibadilishwe na kuimarishwa kwa kuwa na wajumbe wenye uwezo na ni pro-active.
Mheshimiwa Spika, ni dhahiri kuwa agizo hili la Waziri lilikuwa batili kwani Sheria ya Ununuzi wa Umma haimpi Waziri mamlaka ya kuingilia uteuzi wa Wajumbe wa Bodi za Zabuni za mashirika yaliyo chini ya Wizara yake. Agizo hilo la Waziri likafuatiwa na uamuzi wa Waziri Mkuu wa kuliondoa suala hilo mikononi mwa TANESCO na kulikabidhi kwa Kamati Maalum iliyokuwa inaundwa na Katibu Mkuu (Hazina), Katibu Mkuu (Nishati) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Tarehe 13 Aprili 2006, Mkurugenzi Mwendeshaji wa TANESCO wakati huo, Bw. Adriaan Van De Merwe, akaiondoa TANESCO rasmi kutoka kwenye mchakato huo kwa kumtumia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini nyaraka zote kuhusu zabuni yenyewe na uchambuzi wote uliofanywa na TANESCO."