Githeri
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 811
- 341
Habari zote hizi alizo kuwa akizitoa mwakyembe polisi walizichukua na kuwapa gazeti la mtanzania ili kuzichapisha magazetini,hakuna kitu hata kimoja alichokieleza mwakyembe ambacho ni uzushi,nafikiri wote mnajua mmiliki wa gazeti la mtanzania ni nani,baada ya polisi kuzarau kwa makusudi maelezo yote ya dk mwakyembe ,maana walikua wanajua mchezo mzima haikupita muda mrefu dk mwakyembe aliwekewa sumu...nafikiri kun haja ya kueleza namna dk mwakyembe alivyo wekewa sumu na mafisadi ambao wanajulikana mpaka leo.MUNGU akijalia ntafungua uzi mpya kueleza japo kiasi mpango ulivyo kuwa,ntaeleza jinsi wanaume wawili walivyo ondoka tanzania na kuelekea urusi kwa ajili ha mpango mzima
Kumekucha!!! nyukaneni hadharani... sisi wapiga kura tuchague mbivu na mbichi.