Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Habari zote hizi alizo kuwa akizitoa mwakyembe polisi walizichukua na kuwapa gazeti la mtanzania ili kuzichapisha magazetini,hakuna kitu hata kimoja alichokieleza mwakyembe ambacho ni uzushi,nafikiri wote mnajua mmiliki wa gazeti la mtanzania ni nani,baada ya polisi kuzarau kwa makusudi maelezo yote ya dk mwakyembe ,maana walikua wanajua mchezo mzima haikupita muda mrefu dk mwakyembe aliwekewa sumu...nafikiri kun haja ya kueleza namna dk mwakyembe alivyo wekewa sumu na mafisadi ambao wanajulikana mpaka leo.MUNGU akijalia ntafungua uzi mpya kueleza japo kiasi mpango ulivyo kuwa,ntaeleza jinsi wanaume wawili walivyo ondoka tanzania na kuelekea urusi kwa ajili ha mpango mzima

Kumekucha!!! nyukaneni hadharani... sisi wapiga kura tuchague mbivu na mbichi.
 
Habari zote hizi alizo kuwa akizitoa mwakyembe polisi walizichukua na kuwapa gazeti la mtanzania ili kuzichapisha magazetini,hakuna kitu hata kimoja alichokieleza mwakyembe ambacho ni uzushi,nafikiri wote mnajua mmiliki wa gazeti la mtanzania ni nani,baada ya polisi kuzarau kwa makusudi maelezo yote ya dk mwakyembe ,maana walikua wanajua mchezo mzima haikupita muda mrefu dk mwakyembe aliwekewa sumu...nafikiri kun haja ya kueleza namna dk mwakyembe alivyo wekewa sumu na mafisadi ambao wanajulikana mpaka leo.MUNGU akijalia ntafungua uzi mpya kueleza japo kiasi mpango ulivyo kuwa,ntaeleza jinsi wanaume wawili walivyo ondoka tanzania na kuelekea urusi kwa ajili ha mpango mzima

Unahangaika sana kumtetea huyo mwizi wako.
 
Kufikiri Lowasa ni mtu wa kuaminika ni kuitafutia nchi hii janga jingine. Yaani nchi yangu Tanzania itoke kwenye janga moja la JK kuingia katika janga jingine la EL
 
Muda wako umewadia. Muda wako wa kusema ukweli zaidi. Lowassa amekuchokoza leo mjini Dodoma. Amedai kuwa yeye hakuhusika na Richmond. Sakata la Richmond, I mean. Amedai kuwa sakata hilo lilitungwa na kulenga Uwaziri Mkuu wake tu.Hakukuwa na zaidi. Kwa maana nyingine, Dr. Mwakyembe na Kamati yako teule ya Bunge mlitunga kashfa ya Richmond. Yaani,Dr.Harrison Mwakyembe na Kamati yake ni wazushi na waongo!

Dr. Mwakyembe, umepata nafasi adhimu na adimu isiyo na msimu. Nafasi ya kusema hata yale ambayo hukusema Bungeni Dodoma ulipokuwa ukiwasilisha Ripoti ya Kamati yako. Ukweli juu ya sakata la Richmond. Kama Lowassa ameruhusiwa na chama na Serikali kusemea kashfa hiyo, wewe na iliyokuwa Kamati yako hamzuiwi. Mkinyamaza,mtasadifu ukweli wa jina la waongo na wazushi mlilopewa leo hii Dodoma.

Ukiwa nguli wa tasnia ya Sheria, Dr. Mwakyembe panga hoja zako nawe uzungumze na watanzania. Kama huna pesa ya kukodi ukumbi,waite waandishi hata nyumbani kwako. Watakuja na kukusikiliza. Muda wa kulinda heshima yako huu.Kama Lowassa kamwaga mboga, wewe Dr. Mwakyembe mwaga ugali.

Liwalo na liwe!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

Mdau naombeni kama unayo audio za baba wa taifa uwe unazitupia humu mpaka uchaguzi ufike wale wote waliowagumu wa mioyo na matomaso wawe wamepata wepesi wa moyo na kujitambua Namnukuu Mwl Julius Nyerere aliwahi kuonya Ikulu ni mahala Patakatifu , na si pango la walanguzi na wanyanganyi, ukiona mtu anakimbilia Ikulu huyo ni wa kuogopa kama ukoma,

Na ukiona mtu anatoa pesa ili kupata uongozi ama kutoa chochote kwa ajili ya kupata madaraka kwa wewe unaepewa ujiulize atazipatapataje pesa alizotoa ili kupata kile alichokuwa akitaka? Lowassa ni mmoja wapo ni wa kuogopwa kama ukoma.
 
Habari zote hizi alizo kuwa akizitoa mwakyembe polisi walizichukua na kuwapa gazeti la mtanzania ili kuzichapisha magazetini,hakuna kitu hata kimoja alichokieleza mwakyembe ambacho ni uzushi,nafikiri wote mnajua mmiliki wa gazeti la mtanzania ni nani,baada ya polisi kuzarau kwa makusudi maelezo yote ya dk mwakyembe ,maana walikua wanajua mchezo mzima haikupita muda mrefu dk mwakyembe aliwekewa sumu...nafikiri kun haja ya kueleza namna dk mwakyembe alivyo wekewa sumu na mafisadi ambao wanajulikana mpaka leo.MUNGU akijalia ntafungua uzi mpya kueleza japo kiasi mpango ulivyo kuwa,ntaeleza jinsi wanaume wawili walivyo ondoka tanzania na kuelekea urusi kwa ajili ha mpango mzima

Are you JB?
 
Back
Top Bottom