Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Hivi Chama hiki kiliwahi kuingia katika UChaguzi mkuu katika hali hii...!?
 
Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufuru kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.

Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!

Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!

Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!

Hali sasa imefika pabaya!
 
ccm nimekuwa ninaitumikia,wazazi wangu wote wameipigania ccm mpaka umauti wao,Leo mtu mmoja aliyeichafulia ccm ndio tena awe raisi?Hakika chama kikimpitisha sisi hatutapiga kura.

Unamuonea huyo mmoja ,je umeanalyse CCM yote?Wasafi wako wangapi?Unakazi ndugu ya kusafisha hiyo CCM uliyorithi toka kwa wazazi wako.

Watu wanabadili IMANI zao sembuse VYAMA?
 
We ndo unaubongo wa samaki kabisa ,mwakyembe kutotaja watu walio mwekea sumu haiondoi thana ya kwamba aliwekewa sumu,swali la muhimu hapa ni kwann aliwekewa sumu au ni kwann walitaka mwakyembe afe?haya ndo maswali ya kujiuliza kama mtu mwenye akili.jiulize mwakyembe anajua nn hasa mpaka watu wakakaa vikao na kuagiza masumu ya kumuua na wewe unajua mwakyembe haongeki wala harubuniki kwa hela na kama utataka kutaja watu wenye upeo mkubwa tz lazima uanze nae na hao waliotaka kumuua walisha liona hili,wakajua ukisha muua mwakyembe waliobaki ni vidagaa

Get real dude! and this is a quote from Dr. Mwakyembe, kwamba akitoka tu India atawataja watu waliomuwekea sumu. Haya sio maneno yangu ni ya a learned Dr. Mwakyembe.

The BIG question here is, Je ni kwanini hakuwataja watu hao baada ya kutoka India, kinyume na ahadi yake? Maana alituomba Watanzania tumuombee arudi hai ili awataje hao watu waliomunywesha sumu.

Kwanini basi Dr. Mwakyembe hakuwataja mpaka leo?. Kwasababu watu hao hao waliomuwekea sumu ndio hao hao walimuhonga u-full minister. Masikini Dr. Mwakyembe aka-trade utu lakini kikubwa zaidi na UHAI wake kwaajili ya uwaziri.

Je, unataka mtu ahongwe vipi ili ujue amehogwa? au mpaka atoe 0731 ndiyo ajue kweli amehongwa?

Kama mpaka hapo unasema Dr. Mwakyembe harubuniki wala hahongeki basi inabidi ukamuone Psychiatric

Absolutely Dr. Mwakyembe ni MSOMI mwenye upeo mkubwa, kwani yuko kwenye Guiness World Records, kuwa MSOMI wa kwanza kuikana PhD thesis aliyoiandika mwenyewe, lakini pia akaendelea ku-retain his doctorate! This is hilarious!
 
Du!, sasa ile kauli ambayo EL alimuuliza mwenyekiti wake katika vikao vyao vya ndani kuwa "ni lipi usilolijua kuhusu Richmond mpaka uwaachie watoto kunitukana..." inaweza kupata uzito. Issue sio kuwa EL hausiki ila hakubali kufa kibudu bali afe na wahusika halisi.
Wazalendo wa kweli tunasubiri lakini suala liko most likely kuongezewa taarifa ambazo hatukuzijua hapo awali!
 
...Ugali hauja iva .......dalili za kumwagwa mboga zimeanzaaa....
 
Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufuru kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.

Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!

Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!

Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!

Hali sasa imefika pabaya!
Mkuu, Invisible hii haifai kuwa comment ni bora mkaiweka hapo juu kuliko kuiacha kama comment tu.
 
Last edited by a moderator:
We ndo unaubongo wa samaki kabisa ,mwakyembe kutotaja watu walio mwekea sumu haiondoi thana ya kwamba aliwekewa sumu,swali la muhimu hapa ni kwann aliwekewa sumu au ni kwann walitaka mwakyembe afe?haya ndo maswali ya kujiuliza kama mtu mwenye akili.jiulize mwakyembe anajua nn hasa mpaka watu wakakaa vikao na kuagiza masumu ya kumuua na wewe unajua mwakyembe haongeki wala harubuniki kwa hela na kama utataka kutaja watu wenye upeo mkubwa tz lazima uanze nae na hao waliotaka kumuua walisha liona hili,wakajua ukisha muua mwakyembe waliobaki ni vidagaa

Mkuu umelala au uko macho?! Manna umeandika kama umelala au kuna kitu unatafuna mdomon!!!

Mwakyembe nae ni fisasi mwingine! Pale bandaran aliweka kibaraka wake, na kuna taarifa wa upotevu wa bl 800! Pia usiseme Mwakyembe hahongeki, unakosea sana!! Kwenye maslahi ya pesa, hakuna ujanja!!


Kuna mabehewa fake, vichwa vibovu, n.k! Yote haya yanamhusu Mwakyembe!!
 
Mkuu Invisible tafadhali pandisha hili bandiko hapo juu kwa faida ya wanajamvi.


Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufuru kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.

Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!

Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!

Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!

Hali sasa imefika pabaya!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha Kozi mwana mandanda kulala na njaa kupenda... Mzee Tupatupa; Mwakyembe hana ubavu wa kujibu mapigo ya Lowassa! Yeye wakati uli alibainika kuwa alikuwa na Kampuni ya kufua Umeme wa upepo Singida ambayo alitaka waingie Mkataba na TANESCO!!! Nani asiejua kuwa Kamati ya Mwakyembe walikwenda Marekani eti kuchunguza Kampuni ya Richmond! Walipofika wakaambiwa kuwa ile ilikuwa Deal la USA kupitia MNCs zake! Jamaa wakapewa Mshiko! Mwisho wa siku wakaja kumtuhumu PM ... Tambua kuwa Lowassa aliwahi kukatiza mkataba wa City Water ambayo nayo ilikuwa ya wakubwa wa USA!!! ... Clinton, Obama wamefika Ubungo kuzindua miradi yao na sasa watu kimyaa!! Wameumbuka hawana la kusema ...
Muda wako umewadia. Muda wako wa kusema ukweli zaidi. Lowassa amekuchokoza leo mjini Dodoma. Amedai kuwa yeye hakuhusika na Richmond. Sakata la Richmond, I mean. Amedai kuwa sakata hilo lilitungwa na kulenga Uwaziri Mkuu wake tu.Hakukuwa na zaidi. Kwa maana nyingine, Dr. Mwakyembe na Kamati yako teule ya Bunge mlitunga kashfa ya Richmond. Yaani,Dr.Harrison Mwakyembe na Kamati yake ni wazushi na waongo!

Dr. Mwakyembe, umepata nafasi adhimu na adimu isiyo na msimu. Nafasi ya kusema hata yale ambayo hukusema Bungeni Dodoma ulipokuwa ukiwasilisha Ripoti ya Kamati yako. Ukweli juu ya sakata la Richmond. Kama Lowassa ameruhusiwa na chama na Serikali kusemea kashfa hiyo, wewe na iliyokuwa Kamati yako hamzuiwi. Mkinyamaza,mtasadifu ukweli wa jina la waongo na wazushi mlilopewa leo hii Dodoma.

Ukiwa nguli wa tasnia ya Sheria, Dr. Mwakyembe panga hoja zako nawe uzungumze na watanzania. Kama huna pesa ya kukodi ukumbi,waite waandishi hata nyumbani kwako. Watakuja na kukusikiliza. Muda wa kulinda heshima yako huu.Kama Lowassa kamwaga mboga, wewe Dr. Mwakyembe mwaga ugali.

Liwalo na liwe!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
 
Ikulu kuna nini jamaniii..mbona watu wanataka kwa gharama yeyote ..ikiwemo kuchafuana?kuna ka escrow gani apo ambako hakaonekani machoni mwa watz mil 46 na ushee tuliobaki..ni kutuongoza tu?kututawala?ama ni nini hasa?
Ikulu inaelekea kuna biashara ambayo waadilifu kama mwalimu waliokaa miaka 23 hawakuiona,ila mafisadi Wameiona. Au ikulu kweli imekua wodi ya wagonjwa.
 
Jamani utabiri wa kakobe yaelekea kutimia
 
Mwakyembe alikuwa ni mzushi kwenye kashfa ya Richmond kama alivyo Zitto Kabwe kwenye hii ya Eskrow. Tatizo la Mzee Lowassa ilikuwa ni kujiuzuru kirahisirahisi kwa kelele za Mwakyembe na genge lake la wazushi.
 
Shikamoo Lowassa,ingawa sipendi kabisa uje kuwa rais wangu lakini hapa inabidi tu nikupongeze,wewe ni bonge la strategist hasa.Kuna watu wanakushangaa eti kwanini hukuyasema haya wakati ule ulipotuhumiwa?

kukaa kwako kimyaaa na kutojibu ilikuwa ni mbinu yako tu.In fact, ulikuwa unasubiri kukamilisha ule usemi wa Rais Kagame kwa Kiongozi mwenzie wa nchi flani hivi,aliposema 'I will hit you when you're in the right place,in the right time'

.Wakati wenyewe ndio,dongo lishaelekezwa kwa wahusika,kitakachofuata ni kuwa_blackmail and twist their arms to doing things your way or you will expose them for the whole world to see.The ball is in JK's court now.
 

Attachments

  • 1432563334535.jpg
    1432563334535.jpg
    22.6 KB · Views: 234
Back
Top Bottom