Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Huyu jamaa ni mweupe mno kichwani jana nilimwita Engineer wa Udaku, Kuna ndugu yangu anajiita Sikonge na baadhi ya wafuasi wake hapa nusura wanitoe roho. Wanampamba eti Engineer anaishi London na ana kajihotel/Mgahawa huko Kyela...nashukuru na wewe umeliona hilo! Kama ana nia ya Ubunge wa Kyela ameisha shindwa heri atafute kwanza Udiwani Ubunge ni post kubwa sana kwake na mitazamo yake ya zama za mawe...
Masanilo,
Unafahamu kuwa George Mwakalinga ni Mhandisi aka Engineer wa IT na sasa kabobea kwenye mitambo ya simu? Naomba niseme SAMAHANI kwani ulipoandika Engineer, nilikuwa ninauhakika una maanisha Mwakalinga ni engineer wa Majungu. Baadaye nilipokusoma usiku nikajua ulimaanisha huyu jamaa aitwaye Engineer. Hapo nikakupa THANKS kama uliiona.
Ila wewe ndugu yangu neno KIJIHOTELI wala kusema jamaa alikuwa Arusha kwa safari zake binafsi hujaomba msamaha kwa kuandika habari isiyokuwa na ukweli pamoja na kuwa ilishasemwa hivyo.
Labda tu nimsahihishe FMes. Ni kuwa Monduli aliolea Marehemu kaka yake Mwakalinga ambaye aliacha watoto. Kuwa Monduli ni muhimu kwani huko kuna damu yao (watoto wa marehemu kaka yake).
Engineer ni mtu anayesema asilimia 55 kweli na 45 anaweka chumvi. Huyu huwa nakubaliana naye nusunusu kama asilimia zilivyo. Ila si kweli kuwa anaongea majungu tupu au ukweli tupu. Tumzoee.
(Masa ONLY: Walelo nanilya ugali wa MATINI na Matembele... tetetee....)
Last edited: