Dr. Mathayo's Degrees Are Authentic - TCU

Dr. Mathayo's Degrees Are Authentic - TCU

Naona hapa swali linalotakiwa lijibiwe ni unatumia njia gani au kigezo gani kusema flani hana PhD? Hili suala halijibiwi badala yake wanaingia humu akina Kanda2 bin GT nakuanza kurushia posts zisizo na kichwa wala miguu.

Dear Abdulhalim; nakumbuk swala hili tulilijadili sana kwenye therad tangu Msemakweli alipoweka haya mambo hadharani.

Kuweka foundation ya swali lako lazima tujue kwanza definition ya PhD ni nini, maana nazo ziko aina nyingi;

Research doctorates

Higher doctorates

Professional doctorates

Honorary doctorates


soma kwa undani; http://en.wikipedia.org/wiki/Doctorate#Research_doctorates


The main problem I see here is that we as a country hatuna standard, hata hao TCU hawana criteria za kusema sisi kama taifa la Tanzania mtu wa PhD ni nni, we rely on heurastic judgements. Naona athari tu za ukoloni za kutaka kusema british system ndio sahihi kwa hiyo tufuate kama wanavyosema au tulivyozoea!!!

kila nchi wanastyle zao na namna yao ya kupata PhD. UDSM bado wana british system kuwa ufanye reserach tu, Canada mathalan lazima ufanye course work. Japan is even worse wana course nyingi tu. Hii inapelekea hata miaka kutofautiana. Nhci nyingine PhD ni lazima uwe na masters, wakati nyingine PhD you can take it after having first degree.

Ni swala linalohitaji mjadala mpana hasa kwa dunia ya tatu maana watanzania wametawanyika dunia nzima na kila watu wanasoma kwa standard za nchi zao, sisi bado sana.

Utandawazi na matumizi ya internet yameharibu mifumo mingi kiasi ambacho mtu kupata degree yoyote ni fedha tu!

However my take on this ni kuwa kwa nchi kama Tanzania watu wanafoji na wataendelea kufoji vyeti kutokana na aina ya maisha tuliyonayo, culture, kupenda misifa, kuajiriwa kwa kutumia vyeti, uwizi wa mitihani n.k vyte hivi vimeharibu sura ya taifa

Nchi za wenzetu they dont bother we iba hicho cheti watu watakukamata kwenye publications za kila wakati.

Kama una PhD holder Tanzania na tangu alipopata PhD hajawahi kuandika paper yeyote wala kitabu unategemea nini? watu wataendelea tu kuiba, mpaka jua lishuke, na sisi humu tutasema wee! maana wanakula na kunywa!

solution (independent)

,

1. Kubadili mfumo wa elimu, elimu yetu ni ya darasani zaidi kuliko practical, kiasi cha kuwa mtu anawaza akiwa na A au cheti kizuri ndiyo katajirika!!

2. Professional bodies zihakiki vyeti kabla ya kumsajiri mtu

3. PhD holder wawekewe requirements kuwa(say) kila mwaka lazima wa-publish paper let say tatu ( kupublish kunategemea fedha ya research ambayo tunajua serikali haina uwezo/ au haitaki sijui). Kutokuwa na fund ya research ndio kunaozesha elimu kila mtu anakuwa na PhD hajui matumizi ya PhD!!

4. Kuwe na peer reviewers wa hivi vyeti mbali na TCU na colleges

ALL THESE SOLUTIONS CAN BE COMPLEMENTED AS SEEM NECESSARY

Tatizo ni kubwa na ninaamini mjadala huu uwe kutatua tatizo, nini hasa kinawafanya watu wawaze PhD? masters n.k? where is the problem. Utakuta tukikaa na kutoa povu kwa hawa wakubwa , tunaua nyuki mmoja katika mzinga!!, tatizo ni kubwa. Nakumbuka miaka ya themanini mwishoni na tisini mwanzoni watu wameiba sana mitihani ya form four, leo hii hao watu ni wakurugenzi!!!!!

Kuna mbotswana mmoja aliniuliza kwa nini unasoma masters?? kitu gani katika dunia ya sasa hivi lazima kihitaji mtu wa masters na mtu wa degree ya kwanza hawezi kufanya? kwenye academic is another case

why are we after these masters and PhD, tukijua tatizo ndio tutaona ukubwa wake
 
Ok, Bw. Mdondoaji nimechoka kueka posts zako zote, labda tuokoe muda nioneshe ni post ipi umejibu swali kuhusu vigezo na njia zipi za kujua uhalali wa PhD. Na kwa kuongezea, umesema umeweka vielelezo ningependa hivyo navyo unioneshe kwa utuo vinapatikana kwenye post ipi.

Shukran.
 
Mkuu hapo umenena vyema, na hasa ukizingatia masters kamaliza 2001 PhD 2003 yaani atakuwa anabahati mno kwa speed hiyo! na ukizingatia fani yenyewe. Pengine kwa vile hatujui ni myezi ipi ya kumaliza kwake na kuanza PhD, huo muda mhhh!!!

Hapa mzee na mimi napata shida na hii miaka. sijawahi kusikia mtu anasoma PhD two year, otherwise aseme kuwa . hapo kuna walakini, otherwise aseme Masters ilikuwa ni part ya PhD studies. it is not clicking in my head
 
Hapa mzee na mimi napata shida na hii miaka. sijawahi kusikia mtu anasoma PhD two year, otherwise aseme kuwa . hapo kuna walakini, otherwise aseme Masters ilikuwa ni part ya PhD studies. it is not clicking in my head

JF is more than you think, hata mimi ningejiuliza kama wewe, thanks for thinking outside the box!!

Ukiangalia CV ya Professa Mwandosya sio ndiyo utachoka?

yeye hana masters; ana degree ya kwanza na PhD basi! jaribu kusema PhD feki.
 
Hapa mzee na mimi napata shida na hii miaka. sijawahi kusikia mtu anasoma PhD two year, otherwise aseme kuwa . hapo kuna walakini, otherwise aseme Masters ilikuwa ni part ya PhD studies. it is not clicking in my head


Mzee PhD miaka miwili ni possible. Mfano University of Pretoria minimum number of years kwa PhD ni two years. Vilevile ujue kuwa academic years za RSA huwa zinaanza January / Feb.

Tatizo hapa ni je huyu bwana anazo kweli hizo degree?? I really doubt kwa kuwa uki-google humpati kwenye hivyo vyuo alivyosoma kitu ambacho ni very strange kwa kuwa Msc na PhD thesis huwa ninakuwa published kwenye mtandao especially kwenye vyuo kama Pretoria na Free States. Unless ametumia majina tusiyoyafahamu kwenye Msc na PhD yake.
 
...4. Kuwe na peer reviewers wa hivi vyeti mbali na TCU na colleges..
Ku-peer -review vyeti mi naona ni very extreme.
Hapa bwana mi naona itakuwa kuwapa watu ulaji wa bure tu. Najua watu wengi ktk nchi maskini kutokana na umaskini au sbabu nyingine yeyote tuna-prefer njia za panya na ku-take advantage ya mifumo hafifu ya usimamizi.

Cha msingi nadhani taasisi kama TCU inaweza kusimamia hili vyema kabisa with flying colors ikitaka. Inatakiwa kushirikiana na vyuo vya nje au taasisi za mfano wake, ili kuhakiki utata unapojitokeza..

Na mostly importantly, baada tu ya bunge na rais kutoa ruksa ya kuundwa kwake, ingewatoa nishai watu kama 20 tu hivi wenye high caliber wenye degree dubious ili iwe mfano kwa wote. Lakini kwa kuzembea hili, watu wanawaona ni walewale mamba wasio na meno ambao hawawezi kuuma achilia mbali kuuma mkono unaowapa rizki.
 
Ku-peer -review vyeti mi naona ni very extreme.
Hapa bwana mi naona itakuwa kuwapa watu ulaji wa bure tu. Najua watu wengi ktk nchi maskini kutokana na umaskini au sbabu nyingine yeyote tuna-prefer njia za panya na ku-take advantage ya mifumo hafifu ya usimamizi.

Cha msingi nadhani taasisi kama TCU inaweza kusimamia hili vyema kabisa with flying colors ikitaka. Inatakiwa kushirikiana na vyuo vya nje au taasisi za mfano wake, ili kuhakiki utata unapojitokeza..

Na mostly importantly, baada tu ya bunge na rais kutoa ruksa ya kuundwa kwake, ingewatoa nishai watu kama 20 tu hivi wenye high caliber wenye degree dubious ili iwe mfano kwa wote. Lakini kwa kuzembea hili, watu wanawaona ni walewale mamba wasio na meno ambao hawawezi kuuma achilia mbali kuuma mkono unaowapa rizki.

You are right, it could be an extreme solution kwa sababu ya ya seriousness of this problem.

Lakini kama usemavyo, TCU wanaweza kusimamia hii ishu, -wameshaprove failure

Hao akina Nkunya hizo nafasi wanapewa na watu wenye PhD 'feki' hawataweza kuwatoa nishai.

what do you think?

bil kuweka platform ya kuwahukumia hawa watu, hawatawza kutangaza kuwa hawa watu wana degree 'feki'

TCU imelala!!
 
Ok, Bw. Mdondoaji nimechoka kueka posts zako zote, labda tuokoe muda nioneshe ni post ipi umejibu swali kuhusu vigezo na njia zipi za kujua uhalali wa PhD. Na kwa kuongezea, umesema umeweka vielelezo ningependa hivyo navyo unioneshe kwa utuo vinapatikana kwenye post ipi.

Shukran.

Nilisema hapo nyuma kuwa phd yake ni questionable kwakuwa a. Kasoma chuo gani? Free state university au University of Free State? Maana katizame website ya bunge inasema nini taarifa hapo inasemaje? B. Jamaa msemakweli anadai hata buku la graduates hayumo je alimaliza wapi? Ndio maana nikaomba title ya PhD yake huenda tukaipata katika search engine zetu. C. Je PhD yake ya nini? Maana pana information either animal science or agriculture? D. Je supervisors wake nani usije kuta alifanya akalikabidhi dude. Alamsiki!!!
 
Mzee PhD miaka miwili ni possible. Mfano University of Pretoria minimum number of years kwa PhD ni two years. Vilevile ujue kuwa academic years za RSA huwa zinaanza January / Feb.

Tatizo hapa ni je huyu bwana anazo kweli hizo degree?? I really doubt kwa kuwa uki-google humpati kwenye hivyo vyuo alivyosoma kitu ambacho ni very strange kwa kuwa Msc na PhD thesis huwa ninakuwa published kwenye mtandao especially kwenye vyuo kama Pretoria na Free States. Unless ametumia majina tusiyoyafahamu kwenye Msc na PhD yake.

Ndio nikasema watakuja magenius watasoma PhD miezi mitatu tu tayari Mdr. Halafu msikilize anachokiongea ndio utajua sie huyu. Waswahili wanasema Debe tupu.......... Mtamalizia
 
Ukiachilia degree feki za Mathayo, inakuwaje siku hizi mawaziri/wabunge wanaweza kuwa na akili ya kusoma na kupata degrees kwa muda mfupi mara tu wanapopata hivyo vyeo, lakini hawakuweza kufanya hivyo kabla?

Binafsi siamini kama mtu anaweza kufanya kazi zake 100%, iwe ni za uwaziri, ubunge, biashara zake n.k., na hapo hapo kufanya Ph.D UDSM. Hii ni wazi kuwa UDSM wameshiriki katika kutoa degree za uongo ikiwa ni pamoja na Ph.D ya waziri Magufuli.
 
Nilisema hapo nyuma kuwa phd yake ni questionable kwakuwa a. Kasoma chuo gani? Free state university au University of Free State? Maana katizame website ya bunge inasema nini taarifa hapo inasemaje? B. Jamaa msemakweli anadai hata buku la graduates hayumo je alimaliza wapi? Ndio maana nikaomba title ya PhD yake huenda tukaipata katika search engine zetu. C. Je PhD yake ya nini? Maana pana information either animal science or agriculture? D. Je supervisors wake nani usije kuta alifanya akalikabidhi dude. Alamsiki!!!

Hili hapo ulioandika ndo ishu hasa, sasa tuwaumbueni TCU, mwenye ushahidi wa ufeki wa hiyo PhD. Andike barua kwenye vyombo vya dola na kwa waandishi wa habari.akiishutumu kwamba free state university inauza vyeti.

Taja majina yako, ili usaidie upelelezi kumtia nguvuni, mfojaji wa PhD

Naamini itachukuwa sura tofauti. vinginevyo nawashauri acheni kupoteza mda hapa kupiga propaganda.
 
Ukiachilia degree feki za Mathayo, inakuwaje siku hizi mawaziri/wabunge wanaweza kuwa na akili ya kusoma na kupata degrees kwa muda mfupi mara tu wanapopata hivyo vyeo, lakini hawakuweza kufanya hivyo kabla?

Binafsi siamini kama mtu anaweza kufanya kazi zake 100%, iwe ni za uwaziri, ubunge, biashara zake n.k., na hapo hapo kufanya Ph.D UDSM. Hii ni wazi kuwa UDSM wameshiriki katika kutoa degree za uongo ikiwa ni pamoja na Ph.D ya waziri Magufuli.

Kwa taarifa yako, Magufuli alianza kuhenyia hiyo Ph.D yake muda mrefu sana hata kabla hajawa waziri. Baada ya kuwa waziri, maendeleo yake yakawa hafifu ndiyo maana imemchukua muda mrefu sana - nadhani karibu miaka kumi hivi. Hiyo rekodi iliyoonyesha pale Bungeni kuwa kaanza mwaka 2006 na kumaliza mwaka 2009 siyo sahihi, alianza tangu mwanzoni mwa mwaka 1995 kabla hajawa mbunge. Kati ya publications zake zilizotokana na utafiti wake ni kama hizi zifuatazo (ingawa siyo katika international journals)


  • Mulokozi, A. M., Kyobe, Magufuli, J. P. and R. Whitehead. "A New Rate Equation for Solid State Decompositions and its application to the Decomposition of CaCo3." TCS Inaug. Conf. Proc., 11 - 16 July, 1999, p162-183.
  • Mulokozi A. M.; Akwilapo, L.D.: Buchweishaija, J.; Magufuli J. P., and Kyobe, J. "Securing the Mechanism of the Decomposition of CaCO3 by the Thermodynamics of the Reaction", East and Southern Africa Environmental Chemistry Workshop, pp 71-83, 1st - 5th December 2003, Dar es Salaam
 
Nafikiri kwenye ofisi ya bunge kuna matatizo makubwa kwenye utunzaji wa records. Inaelekea hawafuatilii kuhakikisha info waliyo nayo ni sahihi.

Ukiangalia records mbalimbali za wabunge wengi utagundua zimekaa hovyo na nyingi sio sahihi. Huenda ni makosa ya wabunge lakini pia hata hao watendaji ilitakiwa wawe makini kuhakikisha wanaweka info ambazo ni sahihi.

Watanzania kwa ujumla huwa hatujali kabisa kuhusu info ambazo tunaweka kwenye forms mbalimbali. Mimi nilishawahi kuona mtu ambaye ana urefu wa 1.8m ikionyesha kwenye passport yake ana 1.5m na hakukuwa na uwezekano wa kwamba kakua kwa huo muda mfupi. Kibaya zaidi wengine leo wanaandika data hii kesho wanabadilisha na kuweka kitu tofauti.

Sitashangaa hata huyo mathayo kasoma hiyo Ph.D yake kwa muda mrefu zaidi ila kaweka hiyo miaka ili aonekane mkali zaidi. Ukweli ni neno adimu sana kwenye msamiati wa Watanzania walio wengi.
 
Mchunguzi je MSc na PhD amesomea katika nyanja gani? Ikiwa ni kwenye Veterinary alitakiwa afanye practiclas kwa muda..Je ndivyo ilivyokuwa?
 
Mchunguzi je MSc na PhD amesomea katika nyanja gani? Ikiwa ni kwenye Veterinary alitakiwa afanye practiclas kwa muda..Je ndivyo ilivyokuwa?

Nyie na nyie bwana, mtakuja kuhoji na mahudhurio yake darasani yalikuwa je?
 
tena ya Sayansi,ni lini anafanya research?kazi maabara?na kuandika.

Kuna mtu alikurupuka hapa akasema PhD za Japan tena Engineering wanafanya kwa miaka 2.5! Nikamuuliza jina la chuo na atoe mfano mmoja wapo hajanijibu anatumia misuli tu kujenga hoja! Changa la Macho hili Dr Matayo go back to class
 
Kwa taarifa yako, Magufuli alianza kuhenyia hiyo Ph.D yake muda mrefu sana hata kabla hajawa waziri. Baada ya kuwa waziri, maendeleo yake yakawa hafifu ndiyo maana imemchukua muda mrefu sana - nadhani karibu miaka kumi hivi. Hiyo rekodi iliyoonyesha pale Bungeni kuwa kaanza mwaka 2006 na kumaliza mwaka 2009 siyo sahihi, alianza tangu mwanzoni mwa mwaka 1995 kabla hajawa mbunge. Kati ya publications zake zilizotokana na utafiti wake ni kama hizi zifuatazo (ingawa siyo katika international journals)


  • Mulokozi, A. M., Kyobe, Magufuli, J. P. and R. Whitehead. "A New Rate Equation for Solid State Decompositions and its application to the Decomposition of CaCo3." TCS Inaug. Conf. Proc., 11 - 16 July, 1999, p162-183.
  • Mulokozi A. M.; Akwilapo, L.D.: Buchweishaija, J.; Magufuli J. P., and Kyobe, J. "Securing the Mechanism of the Decomposition of CaCO3 by the Thermodynamics of the Reaction", East and Southern Africa Environmental Chemistry Workshop, pp 71-83, 1st - 5th December 2003, Dar es Salaam

Yap mie binafsi namkubali magufuli i have no question with his PhD. Kuhusu publication mradi ameshapublish kitu kikakubaliwa ni hatua kubwa sana tu!!!! Haijalishi kwani nchi yetu ni changa. Watu india wanakuwa maprofessa na india wako mbali kuliko sie but wanapublish katika Journal zao India. Italy vilevile. Hoja ni kwamba kitu kimekubalika na wasomi wenzio kwasababu nao vilevile they put their reputation on line.
 
Back
Top Bottom