Dr. Mathayo's Degrees Are Authentic - TCU

Huyo Mathayo (Mtoto wa MSUYA), kaandaliwa mengi sana hapa Tanzania nadhani ndio anaelekea kwenye u PM kama sio kumwandaa kuwa raisi,

Na jamaa yupo smart sana, kwa sisi tunaomjua huyo bwana anaitwa MATHAYO DAVID MSUYA, lakini kwa sababu za kisiasa ameamua kulitoa hilo jina lake la MSUYA na kubaki na MATHAYO DAVID MATHAYO, na huyo jamaa ni UWT wa muda mrefu nadhani hata hao TCU wanaweza kuwa wametoa hayo maelezo yao kwa influence ya UWT au mkuu wa mjengo mweupe.

NINA SHAKA NA HIYO PhD YAKE masters inawezekana kwani kuna kipindi alikuwa bize sana na mambo ya Botswana-Tanzania-South

Sina uhakika sana kama alivyo mtupu mukichwa anaweza kusimama hata kwa ngazi ya Uwaziri. Na hiyo "UWT" unamaaninsha ni Umoja wa Wanawake Tanzania?
 
Dr Mathayo ni kichwa kwelikweli, hajapewa nafasi tu. Ni aina ya akina Dr Maghufuli hata kwa utunzaji wa kumbukumbu kichwani. Nashangaa walipandishwa akina Ngeleja, Masha kuwa mawaziri akaachwa yeye!
 
Dr Mathayo ni kichwa kwelikweli, hajapewa nafasi tu. Ni aina ya akina Dr Maghufuli hata kwa utunzaji wa kumbukumbu kichwani. Nashangaa walipandishwa akina Ngeleja, Masha kuwa mawaziri akaachwa yeye!
David Mathayo, ni moja kati ya mawaziri ambao wanabebwa tu na Kikwete kutokana na Policy ya mgawanyo wa keti ya taifa ndani ya baraza la mawaziri, ila hana sifa , uwezo wala akili za kiutendaji kumlinganisha na Magufuli.
huyu Kila wizara kaboronga, Kikwete anamuhamisha ili kuhakikisha kuwa homeboy anaendelea kubaki kwenye CABINET.
Kwangu mimi David Matayo hana tofauti na kina Malima Adam, Ngeleja, sofia Simba, Masha, ni takataka tu, ndani ya mfumo wa utawala wa taifa.
 
Nguvumali,
Dr Mathayo sio waziri kamili hivyo hayumo kwenye CABINET. Policy ya mgawanyo wa keki ya taifa haipo. Ipo mikoa ambayo haina waziri hata mmoja na mingine inao zaidi ya wawili.
 
Kuna mengi sana yanakuja na tutaona mengi sana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu
 
Dr Mathayo ni kichwa kwelikweli, hajapewa nafasi tu. Ni aina ya akina Dr Maghufuli hata kwa utunzaji wa kumbukumbu kichwani. Nashangaa walipandishwa akina Ngeleja, Masha kuwa mawaziri akaachwa yeye!
Tafadhali kaka, watakusikia watu (mimi mmoja wao) tuliokuwa tunamuona SUA. Ni wa kawaida sana. Botswana alikuwa anafundisha college not University na kule wanajua sana kuhead hunt lakini mpaka ameondika alibaki hapo hapo kwenye college inayofundisha Diploma. PhD atakuwa ameifanya kwa miaka miwili?? Hebu fuatilia hiyo miaka hapo. Vipanga pale SUA ambao wamebakizwa malecturers PhD wanazifanya kwa miaka kuanzia 5-7, yeye miwili? I still do not believe kuwa ana PhD.
 
Tafadhali kaka, watakusikia watu (mimi mmoja wao) tuliokuwa tunamuona SUA. Ni wa kawaida sana. Botswana alikuwa anafundisha college not University na kule wanajua sana kuhead hunt lakini mpaka ameondika alibaki hapo hapo kwenye college inayofundisha Diploma. PhD atakuwa ameifanya kwa miaka miwili?? Hebu fuatilia hiyo miaka hapo. Vipanga pale SUA ambao wamebakizwa malecturers PhD wanazifanya kwa miaka kuanzia 5-7, yeye miwili? I still do not believe kuwa ana PhD.

Kila kitu bongo kimekuwa kisiasa zaidi...Tunaomba Thesis yake ya PhD, alifanya nini na majina ya supervisor ni rahisi tu kujua....! Zingine ni Porojo.....wengine tunamjua tokea O level, High School mpaka sasa. Jamaa hana PhD tuache siasa. Mbona kuwa mwanasiasa ile ya BVM ya SUA ilikuwa inamtosha? Kipi kimeongezeka kwa kujipa tittle asiyokuwa nayo?
 
Thats true Kigogo, na ndio maana Msemakweli akasita kumuingiza kwenye Chapisho lake....haya hima Mahanga, peleka vyako, mary Nagu na bila kumsahau Lukuvu aka Bwana UPE na Mzee wa Madegree , kutoka Mwanza.

Milton Mahanga badala ya kupeleka vyeti vithibitishwe kama chuo anachosema kimempa PH.D kiko accredited au la, anawalipa wataalam wamuandikie kitabu akidhania ndio njia ya kujikosha kuwa ana hiyo shahada!! Peleka vyeti vyako TCU vikathibitishwe kama kweli hicho chuo cha Washington International University ni feki au chuo kweli!! Mahanga anafikiri akisema ameandika kitabu ndio watu wataamini kuwa ana degree ya halali; sio hivyo!!
 
Napenda kuipongeza tume ya vyuo vikuu kwa kumtendea haki ndugu David Mathayo,

Ninaomba zoezi hili liwe endelevu,sio tu kwa mawaziri na wabunge pia aangalieni maeneo mbalimbali katika sekta za nchi vihiyo wako wengi na wameshikilia nafasi nyeti na wenye sifa wanaumia

Elisante Yona
 
wangekuwa wanaelimu halai wangeisha kwenda kuthibitisha vyeti vyao TCU, mimi hata uniambie usiku wa manane nikuletee cheti changu sitakuwa na shida lakini hawa mawaziri na wabunge kwa nini waone haya kupeleka vyeti vyao vihakikiwe?? Ni wezi wa elimu tu.
 
Nadhani hapa issue ni nyingi kwenye suala hili sio tu kuangalia authenticity ya vyeti. Mimi naona kuna mambo yafuatayo,
1. Authenticity ya vyeti
2. Accreditation ya vyuo watajwa wanakodai wamesoma
3. Elimu inayodaiwa kuwa attained ni kweli imekuwa attained.

Kwa mfano ukichukulia suala la 3, kwenye baadhi ya nchi kama umesomea baadhi ya fani kama udaktari inabidi upitie short training au/na examination kujua kweli unaweza kufanya kazi husika.

Kwa suala la authenticity sidhani kama kuna mtu kati yao amefoji vyeti issue kubwa ni 2 na 3.
 
Thats true Kigogo, na ndio maana Msemakweli akasita kumuingiza kwenye Chapisho lake....haya hima Mahanga, peleka vyako, mary Nagu na bila kumsahau Lukuvu aka Bwana UPE na Mzee wa Madegree , kutoka Mwanza.

Nina hamu sana ya kufahamu mustakabali wa hawa wenye digrii feki kutoka WASHINGTON INTERNATIONAL UNIVERSITY kama Milton Makongoro, William Lukuvi, Mary Nagu, Shamim Khan, Rapahel Chegeni, Omar Shabani Kwaangw', na wengineo
 
Nadhani hapa issue ni nyingi kwenye suala hili sio tu kuangalia authenticity ya vyeti. Mimi naona kuna mambo yafuatayo,
1. Authenticity ya vyeti
2. Accreditation ya vyuo watajwa wanakodai wamesoma
3. Elimu inayodaiwa kuwa attained ni kweli imekuwa attained.

Kwa mfano ukichukulia suala la 3, kwenye baadhi ya nchi kama umesomea baadhi ya fani kama udaktari inabidi upitie short training au/na examination kujua kweli unaweza kufanya kazi husika.

Kwa suala la authenticity sidhani kama kuna mtu kati yao amefoji vyeti issue kubwa ni 2 na 3.


Mkuu hapo umenena vyema, na hasa ukizingatia masters kamaliza 2001 PhD 2003 yaani atakuwa anabahati mno kwa speed hiyo! na ukizingatia fani yenyewe. Pengine kwa vile hatujui ni myezi ipi ya kumaliza kwake na kuanza PhD, huo muda mhhh!!!
 
hayumo lakini walikuwa wanampiga madongo long time alipoteuliwa tu kuwa naibu waziri ..anyway tukistaaajabu ya musa tutaona ya firauni
Nimeangalia kwenye chapisho la Kainerugaba, hayumo. Tunasubili waliotajwa ili TCU iwatakase waonekane wasafi kwa Wapiga kura!
 
Kwa kuwa bado kuna minong'ono, Naomba Mathayo David Msuya Mathayo atoe Thesis yake ya Ph.D aiweke hadharani kwa faida ya taaluma. Tutamwona supervisor ni nani pamoja na faida ya uvumbuzi wake.

Naomba alete kopi nyingi ziwekwe ktk maktaba za vyuo na serikali.

Nibora zaidi hata akina makongoro Mahanga na wooote muliopata Ph.Ds nje ya nchi musizifiche vyumbani!
 
Yafuatayo yalishawahi kuandikwa. Wakati huo pia tujiulize ktk wote hawa wenye ushujaa wa kughushi vyeti, walitokea vyuo gani? maana vyuo vyote vilikuwa vya serikali (Mzumbe, UD, SUA MUHAS). Yanweza kuwa ni malezi ya waalimu wao.

JK ulishapewa ushahidi na Msolla juu ya Mathayo na wenzake sasa mbona kimya

http://www.jambonetwork.com/blog/?p=8198

March 20, 2008
Ndugu Rais najua hili si geni kwako ila ugeni ila ugeni ni kwamba hukujua kama tunajua kwamba Msolla amesha kupa Uhakika juu ya Elimu ya Mathayo mwanamtandao na wengine kwamba wana vyeti fake .Je unangoja nini hadi muda huuu kufanya kweli na tena umemrudisha Mathayo madarakani wakati Msolla alikupa taarifa siku nyingi .\

Sasa leo tunaweka hapa habari nzima na maisha ya Mathayo hadi kufikia hapo alipo .
Nimekutana na Mjasiamali huku Kijijini Iringa kasoma lakini kachoka sana anaanza kushangaa mambo ya Tanzania na jinsi mara ya mwisho amakutana kijijini kwao na aliyekuwa waziri wa Elimu ya Juu bwana Msolla na kumuuliza Mwalimu inakuwa jama wana vyeti feki nawe umekaa kimya ?Maongezi na mengineyo soma hapo chini huyu msomo mwenye degree yake yuko analima Nyanya na kufuga Mbwa kwa ajili ya kuuza huko Iringa kwa kitoweo anasema haya maana anamjua sana Mathayo Matayo David Msuya nimekuwa naye tokea high school Tosamaganga Iringa, akifanya CBG 1989-91, tukiishi bweni la Mwenge. Tulimaliza wote high school na Matayo alifaulu vizuri sana alipata daraja la kwanza point 7. Si kwamba alikuwa kifaru sana darasani, Matayo alisaidiwa na kaka yake aliyekuwa aakifundisha Mkwawa teachers college, nakumbuka usiku ule Matayo alipotea kwenye premises za Tosamaganga, na alikuwa alitokea mjini na kuingia kwenye mtihani Matayo aliiba mtihani na kufaulu sana masomo ya Chemistry na Biology kinyume na uwezo wake darasani.

Tulikwenda na Matayo JKT itende, Mbeya. Kwa kuwa mwenzetu alikuwa amefaulu sana kuliko sisi watoto wa masikini ambao hatukuweza kuiba ama kuchangia mtihani ule. Matayo alichanguliwa kwenda kusoma Makelele Uganda kwa kupitia mfuko wa mwalimu Nyerere, ambao ulikuwa unsomesha wanafunzi walifanya vizuri. Ajabu, Matayo alichukua zile pesa na hakwenda Uganda, akaamua kusoma Sokoine University degree ya tiba ya mifugo (Bachelor of Veterinary Medicine) mwaka 1993-1997. Matayo alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyekuwa na radio yenye double deck, (system) na TV set. Aliweza kununua hivyo kwa pesa aliyotakiwa kusomea Uganda. Kwa kuwa alikuwa na double scholarship ile ya Elimu ya juu ya Tanzania na ile ya Mwalimu Nyerere alikuwa na pesa sana aliweza kuchukua wasichana wazuri wote pale chuoni ikiwa ni pamoja na Mugros. Nakumbuka aliachana na Betty Manase kwasababu Matayo alifumaniwa akiwa na msichana mwingine wa kijijini, na Mathayo alipigwa kibuyu.

Siasa alizianza rasmi mwaka 1995 alitumia TV yake kwenda kuonyesha vijijini madhara ya vyama vingi, alitumia mapigano ya Rwanda na Burundi kama kutishia wananchi wasikubali upinzani na kipindi kile wananchi walikuwa wepesi kuelewa kumbuka TV hazikuwa nyingi Tanzania kipindi kile. Alijijengea umaarufu sana ndani ya chama mkoani Morogoro na kitaifa. Aligombea ujumbe wa NEC mkoa wa Morogoro kundi la vijana alishinda.

Matayo alimaliza SUA 1997 na kupata kazi ya kufundisha chuo kimoja Botswana. Kwa kuwa mjumbe wa NEC alikuwa karibu na akina Lowasa, JK na vingunge wengine aliweza kuwa anaonana na akina Makamba na akawa ni mwanamtandao. Matayo mwaka 1997 alifanya usanii wa hali ya juu alichangisha wanafunzi wa miaka ya mwisho Shs 10,000/= ilikupata form za kutafutiwa kazi Botswana alikusanya zaidi ya Tshs million 2,000,000 ambazo alitumia kununulia gari. Hahahahah…Pia Dr Matayo alirudi Tanzania na kudanganya wanafunzi wa SUA na kwa kutumia mabasi ya Aboud alipeka zaidi ya wanafunzi 200 Dodoma kupokea kadi za sisiem chini ya mwenyekiti wa CCM Mkapa. Wanafunzi walidanganya wangepatiwa ajira….hii ilimjenga sana Matayo na aliisha kuwa amekuwa maarufu kwenye ofisi za chama Dodoma, kama mjumbe wa NEC na mkutano mkuu..Pia alikuwa ameisha wadanganya akina Mkapa na wanamtandao wengine kuwa ana PhD.

Mwaka 2000 aligombea Ubunge Same Magharibi na kushinda na kuteuliwa kuwa waziri mdogo. Ninamvyomfahamu Matayo ameweza kuapanda chat sana kwa kutumia usanii, 1997-2001 inaonyesha ameweza kusoma MSc 2 na postgraduate diploma moja na kumalizia PhD (Agriculture). Jamani mimi hii ilinisumbua sana nilibahatika onana na Prof Msolla wakati huo alikuwa waziri wa elimu ya juu na sayansi ambaye alitufundisha wote na anamjua vizuri Matayo, nilimuuliza Mh Msolla vipi kuna wabunge wenye vyeti vya kuforge ama kununua, na mnukuu prof Msolla, “Biungeni na kwenye serikali kuna viongozi wengi wenye vyeti vya kugushi, naliisha mwita Dr Matayo kumuuliza PhD alifanya lini na wapi na pia aniletee PhD thesis yake, Matayo aliogopa sana na alikili mbele yangu, kuwa Prof mimi nimetumia hii title kisiasa zaidi, sina MSc wala PhD” mwisho wa kunukuu, Msolla alisema amepeleka kwa raisi wale wote wenye vyeti vya kugushi aliweza taja majina, Dr Nagu, Dr Nchimbi, Dr Kamalla, Dr Matayo na wengine wanavyeti vya kugushi vya sekondari, shahada za kwanza na Msc. Challenge aliyokuwa nayo Mh Msolla ni kusumbili utekelezaji wa raisi maana yeye anasema hawezi mlazimisha raisi kuchukua uamauzi. Raisi alimshukuru sana Msolla akaahidi kulifanyia kazi lakini yuko kimya ….kazi sijui zikoje kule wizara ya kilimo Msolla na Matayo..kazi ipo ninamfahamu sana Matayo yuko tayari kufanya lolote apate madaraka ya kisiasa, na ni fisadi wa muda mrefu. Alikuwa akipokea mishahara miwili ya uwaziri na ile kazi alokuwa akifanya Botswana huyo ndiye Mh Matayo David Msuya Matayo.
 
Mkuu hapo umenena vyema, na hasa ukizingatia masters kamaliza 2001 PhD 2003 yaani atakuwa anabahati mno kwa speed hiyo! na ukizingatia fani yenyewe. Pengine kwa vile hatujui ni myezi ipi ya kumaliza kwake na kuanza PhD, huo muda mhhh!!!

...hakuna cha ajabu hapo labda vyuo vyenu kama UD wanao complicates mambo na elimu yao ya ubaoni.
 
Yafuatayo yalishawahi kuandikwa. Wakati huo pia tujiulize ktk wote hawa wenye ushujaa wa kughushi vyeti, walitokea vyuo gani? maana vyuo vyote vilikuwa vya serikali (Mzumbe, UD, SUA MUHAS). Yanweza kuwa ni malezi ya waalimu wao.

JK ulishapewa ushahidi na Msolla juu ya Mathayo na wenzake sasa mbona kimya

http://www.jambonetwork.com/blog/?p=8198

March 20, 2008
Ndugu Rais najua hili si geni kwako ila ugeni ila ugeni ni kwamba hukujua kama tunajua kwamba Msolla amesha kupa Uhakika juu ya Elimu ya Mathayo mwanamtandao na wengine kwamba wana vyeti fake .Je unangoja nini hadi muda huuu kufanya kweli na tena umemrudisha Mathayo madarakani wakati Msolla alikupa taarifa siku nyingi .\

Sasa leo tunaweka hapa habari nzima na maisha ya Mathayo hadi kufikia hapo alipo .
Nimekutana na Mjasiamali huku Kijijini Iringa kasoma lakini kachoka sana anaanza kushangaa mambo ya Tanzania na jinsi mara ya mwisho amakutana kijijini kwao na aliyekuwa waziri wa Elimu ya Juu bwana Msolla na kumuuliza Mwalimu inakuwa jama wana vyeti feki nawe umekaa kimya ?Maongezi na mengineyo soma hapo chini huyu msomo mwenye degree yake yuko analima Nyanya na kufuga Mbwa kwa ajili ya kuuza huko Iringa kwa kitoweo anasema haya maana anamjua sana Mathayo Matayo David Msuya nimekuwa naye tokea high school Tosamaganga Iringa, akifanya CBG 1989-91, tukiishi bweni la Mwenge. Tulimaliza wote high school na Matayo alifaulu vizuri sana alipata daraja la kwanza point 7. Si kwamba alikuwa kifaru sana darasani, Matayo alisaidiwa na kaka yake aliyekuwa aakifundisha Mkwawa teachers college, nakumbuka usiku ule Matayo alipotea kwenye premises za Tosamaganga, na alikuwa alitokea mjini na kuingia kwenye mtihani Matayo aliiba mtihani na kufaulu sana masomo ya Chemistry na Biology kinyume na uwezo wake darasani.

Tulikwenda na Matayo JKT itende, Mbeya. Kwa kuwa mwenzetu alikuwa amefaulu sana kuliko sisi watoto wa masikini ambao hatukuweza kuiba ama kuchangia mtihani ule. Matayo alichanguliwa kwenda kusoma Makelele Uganda kwa kupitia mfuko wa mwalimu Nyerere, ambao ulikuwa unsomesha wanafunzi walifanya vizuri. Ajabu, Matayo alichukua zile pesa na hakwenda Uganda, akaamua kusoma Sokoine University degree ya tiba ya mifugo (Bachelor of Veterinary Medicine) mwaka 1993-1997. Matayo alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyekuwa na radio yenye double deck, (system) na TV set. Aliweza kununua hivyo kwa pesa aliyotakiwa kusomea Uganda. Kwa kuwa alikuwa na double scholarship ile ya Elimu ya juu ya Tanzania na ile ya Mwalimu Nyerere alikuwa na pesa sana aliweza kuchukua wasichana wazuri wote pale chuoni ikiwa ni pamoja na Mugros. Nakumbuka aliachana na Betty Manase kwasababu Matayo alifumaniwa akiwa na msichana mwingine wa kijijini, na Mathayo alipigwa kibuyu.

Siasa alizianza rasmi mwaka 1995 alitumia TV yake kwenda kuonyesha vijijini madhara ya vyama vingi, alitumia mapigano ya Rwanda na Burundi kama kutishia wananchi wasikubali upinzani na kipindi kile wananchi walikuwa wepesi kuelewa kumbuka TV hazikuwa nyingi Tanzania kipindi kile. Alijijengea umaarufu sana ndani ya chama mkoani Morogoro na kitaifa. Aligombea ujumbe wa NEC mkoa wa Morogoro kundi la vijana alishinda.

Matayo alimaliza SUA 1997 na kupata kazi ya kufundisha chuo kimoja Botswana. Kwa kuwa mjumbe wa NEC alikuwa karibu na akina Lowasa, JK na vingunge wengine aliweza kuwa anaonana na akina Makamba na akawa ni mwanamtandao. Matayo mwaka 1997 alifanya usanii wa hali ya juu alichangisha wanafunzi wa miaka ya mwisho Shs 10,000/= ilikupata form za kutafutiwa kazi Botswana alikusanya zaidi ya Tshs million 2,000,000 ambazo alitumia kununulia gari. Hahahahah…Pia Dr Matayo alirudi Tanzania na kudanganya wanafunzi wa SUA na kwa kutumia mabasi ya Aboud alipeka zaidi ya wanafunzi 200 Dodoma kupokea kadi za sisiem chini ya mwenyekiti wa CCM Mkapa. Wanafunzi walidanganya wangepatiwa ajira….hii ilimjenga sana Matayo na aliisha kuwa amekuwa maarufu kwenye ofisi za chama Dodoma, kama mjumbe wa NEC na mkutano mkuu..Pia alikuwa ameisha wadanganya akina Mkapa na wanamtandao wengine kuwa ana PhD.

Mwaka 2000 aligombea Ubunge Same Magharibi na kushinda na kuteuliwa kuwa waziri mdogo. Ninamvyomfahamu Matayo ameweza kuapanda chat sana kwa kutumia usanii, 1997-2001 inaonyesha ameweza kusoma MSc 2 na postgraduate diploma moja na kumalizia PhD (Agriculture). Jamani mimi hii ilinisumbua sana nilibahatika onana na Prof Msolla wakati huo alikuwa waziri wa elimu ya juu na sayansi ambaye alitufundisha wote na anamjua vizuri Matayo, nilimuuliza Mh Msolla vipi kuna wabunge wenye vyeti vya kuforge ama kununua, na mnukuu prof Msolla, "Biungeni na kwenye serikali kuna viongozi wengi wenye vyeti vya kugushi, naliisha mwita Dr Matayo kumuuliza PhD alifanya lini na wapi na pia aniletee PhD thesis yake, Matayo aliogopa sana na alikili mbele yangu, kuwa Prof mimi nimetumia hii title kisiasa zaidi, sina MSc wala PhD" mwisho wa kunukuu, Msolla alisema amepeleka kwa raisi wale wote wenye vyeti vya kugushi aliweza taja majina, Dr Nagu, Dr Nchimbi, Dr Kamalla, Dr Matayo na wengine wanavyeti vya kugushi vya sekondari, shahada za kwanza na Msc. Challenge aliyokuwa nayo Mh Msolla ni kusumbili utekelezaji wa raisi maana yeye anasema hawezi mlazimisha raisi kuchukua uamauzi. Raisi alimshukuru sana Msolla akaahidi kulifanyia kazi lakini yuko kimya ….kazi sijui zikoje kule wizara ya kilimo Msolla na Matayo..kazi ipo ninamfahamu sana Matayo yuko tayari kufanya lolote apate madaraka ya kisiasa, na ni fisadi wa muda mrefu. Alikuwa akipokea mishahara miwili ya uwaziri na ile kazi alokuwa akifanya Botswana huyo ndiye Mh Matayo David Msuya Matayo.

...ni ngumu kuelewa hizo allegations zako kama zina ukweli wowote,jamaa alipata point saba(sec school) na akafanikiwa kumaliza SUA na kupata kazi ya kufundisha college Botswana,lakini unatuambia jamaa hana uwezo darasani?hii habari yako hakuna mtu mwenye akili timamau anaweza kukuamini zaidi ya kukuona una chuki na majungu tuu kwa huyu jamaa.
 
...ni ngumu kuelewa hizo allegations zako kama zina ukweli wowote,jamaa alipata point saba(sec school) na akafanikiwa kumaliza SUA na kupata kazi ya kufundisha college Botswana,lakini unatuambia jamaa hana uwezo darasani?hii habari yako hakuna mtu mwenye akili timamau anaweza kukuamini zaidi ya kukuona una chuki na majungu tuu kwa huyu jamaa.

Katika hili la Matayo kila mtu anasema yake lakini mengine hayaingii akilini. CV ya Mh. imepinda.

Hebu sema kidogo hili la Kumaliza MSc 2001 na 2003 kupata Ph.D! Hata Bunge web inasema hivyo.

Hapo kati 1998 - 2001 ilikuwa MSc South Africa na wakati huo huo alikuwa akisoma management India central institute (2000 -2001).

MSc miaka 3
Ph.D miaka 2
Sawa naona kweli huyu ni

Kumbuka pia alikuwa anafanya kazi Affiliated Colleges of University of Botswana
 
Back
Top Bottom