- Thread starter
- #21
Pdidy,
Baba wa Taifa aliwaita wananchi wa Same "wachina wa Tanzania" baada ya kushuhudia juhudi za wananchi kujitolea kuchimba barabara kwa utaratibu unaitwa "msaragambo." hatuna haja ya kumuita Baba wa Taifa atuletee maendeleo, kwani uwezo huo tunao, kinachokosekana ni uongozi toka kwa wabunge wetu tuliowapigia kura.
Baba wa Taifa aliwaita wananchi wa Same "wachina wa Tanzania" baada ya kushuhudia juhudi za wananchi kujitolea kuchimba barabara kwa utaratibu unaitwa "msaragambo." hatuna haja ya kumuita Baba wa Taifa atuletee maendeleo, kwani uwezo huo tunao, kinachokosekana ni uongozi toka kwa wabunge wetu tuliowapigia kura.