mary nagu jk anapigaga mpini
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
Ukiona waziri anapongeza changamoto kutokuwepo, huyo ni mzembe.
EE MUNGU wa Israel tunakuomba ujidhihirishe tu walau kwa siku moja tu kufuatia hofu inayoendelea kutanda kufuatioa yanayotokea Arusha na kwingineko.
Mungu tunakuomba uonekane tu kwa siku moja sisi tulio wanyonge tunaangamizwa. Wamebinafsisha nchi nzuri uliyotuumbia pamoja na raslimali za asili ulizotugawia wanyonge, sasa wanawaita mataifa makubwa waje kutunyang'anya wakiwaita wawekezaji. MUNGU wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo wameidhinisha tupigwe eti kwa sababu tunaulizia kinachoendelea, MUNGU sikiliza maombi yetu.
Tunakushukuru kwa kutuletea waassis kama Nyerere Karume na akina Sokoine waliotuachia alama za umoja na upendo sisi tulio wanyonge, sasa wapo mabingwa wa kunadi raslimali na kupiga mnada kila kitu ee MUNGU sikiliza kilio chetu AMEN
Jioni ya leo ndio nimeamini Hawa viongozi wakiongozwa na Mwigulu Nchemba, Nagu, Hawa Ghasia na wengine nimekubali wana mambo ya hovyo, badala ya kuchangia bajeti wao wanazungumzia beyond doubt kwamba chadema ndio waleta vurugu na Ghasia kaenda mbali zaidi kwa kuwatuhumu ndesa na Mbowe kwamba wakanda wanasababisha vurugu kwa wenzao.
Je mahakama imethibitisha ni CDM?
je tufikirieje kwamba ni wenyewe ndio wauwaji ndio wanajisafisha?
Je tutajuaje kwamba ndio mbinu mpya baada ya kuona wameshindwa?
Kwa hakika nimeona hakuna weledi kabisa kwa watu hawa
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
Wanaomfuata hawa
![]()
![]()
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
mary nagu jk anapigaga mpini
Hivo wewe mbona hujielewi? Mara Mary Nagu mara Mwandosya mara nani sijui. Ebo.
Unatafuta cheo kwa magamba ndio maana umeweka identity yako. Hupewi bila kuhonga.
Nimekwambia tu fact mkuu mara umeshanitukana. Magamba wanang'oa watu kucha macho na sasa wanapiga mabomu na kuua watu kwa kusema kweli. Sasa wewe kama unasema uwongo sawa unaweza kuwa na real identity ili wakifurahishwa wakupe cheo.Thanks for your opinion, but unapaswa kuelewa jambo kabla hujacomment. Nb. Usidhani kila mtu ni mwoga kama wewe, si lazima kila mtu atumie fake ID kama wewe foolish guy.