Chikaka Sumuni
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,337
- 773
EE MUNGU wa Israel tunakuomba ujidhihirishe tu walau kwa siku moja tu kufuatia hofu inayoendelea kutanda kufuatioa yanayotokea Arusha na kwingineko.
Mungu tunakuomba uonekane tu kwa siku moja sisi tulio wanyonge tunaangamizwa. Wamebinafsisha nchi nzuri uliyotuumbia pamoja na raslimali za asili ulizotugawia wanyonge, sasa wanawaita mataifa makubwa waje kutunyang'anya wakiwaita wawekezaji. MUNGU wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo wameidhinisha tupigwe eti kwa sababu tunaulizia kinachoendelea, MUNGU sikiliza maombi yetu.
Tunakushukuru kwa kutuletea waassis kama Nyerere Karume na akina Sokoine waliotuachia alama za umoja na upendo sisi tulio wanyonge, sasa wapo mabingwa wa kunadi raslimali na kupiga mnada kila kitu ee MUNGU sikiliza kilio chetu AMEN
Mungu tunakuomba uonekane tu kwa siku moja sisi tulio wanyonge tunaangamizwa. Wamebinafsisha nchi nzuri uliyotuumbia pamoja na raslimali za asili ulizotugawia wanyonge, sasa wanawaita mataifa makubwa waje kutunyang'anya wakiwaita wawekezaji. MUNGU wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo wameidhinisha tupigwe eti kwa sababu tunaulizia kinachoendelea, MUNGU sikiliza maombi yetu.
Tunakushukuru kwa kutuletea waassis kama Nyerere Karume na akina Sokoine waliotuachia alama za umoja na upendo sisi tulio wanyonge, sasa wapo mabingwa wa kunadi raslimali na kupiga mnada kila kitu ee MUNGU sikiliza kilio chetu AMEN