PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,788
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.