Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,428
This is another reason for me to LOVE CHADEMA..!
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
Huyu mama ni cha wote. Alikuwa chakula ya Waziri mkubwa fulani ambaye wanatoka naye kijiji kimoja. Prof Nagu(mumewe)alilalamika sana hadi wazee wa kimila wakaingilia kupata suluhu.2015 hana chake Katesh.Juzi walimgaragaraza kwenye udiwani,chezea M4C weye.
Huyu mama si ndio alikamatwa usiku wa manane huko kwao hanang akienda kugawa rushwa akazuiwa na wanavijiji kwenye nyumba moja hadi saa 2:00 asubuhi. Shukran kwa wanavijiji hao haki ilipatikana kwa ushindi wa diwani toka cdm. Huyu mama ni kafisadi na kahongaji sana. Alimuhujumu Mzee sumaye haki yake ya kuchaguliwa mnec wa ccm kwa kuhonga. Sioni ajabu kwa comment kama hiyo kutoka kwake.Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.
Unatafuta cheo kwa magamba ndio maana umeweka identity yako. Hupewi bila kuhonga.Acheni wafu wazike wafu wao
Ukifika mahali ukakuta watu hawahitilafiani ujue sehemu hiyo haina watu wenye elimu,si maneno yangu ni mafundisho ya kidini.Lazima liwe na Amani kwa kuwa waliobaki huko ni mbumbumbu na watu wa Ndiooo wao kazi yao ni kuiunga mkono serikali wala si kuwatetea wananchi
mary nagu jk anapigaga mpini
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.
Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.