Dr Mary Nagu: Bunge Sasa Lina Amani

Dr Mary Nagu: Bunge Sasa Lina Amani

attachment.php
 
Siku zote Dr. uchwara ataendelea kuwa uchwara. No matter what you do..!
 
maria nagu.gif
Kwa hiyo mwanawani hapa ukigongea tuuu unaibuka kidedea na ukikosa kajinyonge kwenye shina la mchicha. Manake ana sifa lukuki hajui kusema sitaki. Chezea mwanamke wa kimbulu weye
 
Bunge limekuwa la vijembe, kwanini asituachie sie tunaongalia kwa nje ndio tunaseme, nadhani kuna haja ya kuweka utaratibu wa kuchangia moja kwa moja bila kuanza na mambo mengine kama walivyofanya kwenye kuondoa mambo ya kutoa shukrani
 
CCM wako very predictable...nlitegemea hii kauli siku moja ila sikujua ni lini...
 
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.

Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.

Mama wa njia ya vumbi anayo haraka, mambo mengi yanamsumbua...hajui kuwa hata CDM wasipokuwepo na CCM nao huwa hawakai kwani "Makelele ya wingi wao nayo hayahitajiki tena".

Mgamba hata yakijinyea na kujipaka kinyesi yatakwenda mitaani kusema "mimi nina kinyesi kizuri sana".
 
Si wamebaki Mbumbumbu tu ukiondoa wale wa NCCR akina Machali. walobakia wote ni ndio mzee
 
Dr Mary Nagu amesema Bungeni jioni hii kuwa Bunge sasa lina amani sana baada ya wenzetu wale wanaoleta vurugu kuwa nje!
Pia amesema kuwa vurugu zinazotokea mara kwa mara Bungeni kwa sasa zimehamia mtaani maana waleta fujo wako huko.

Kwa mtu makini yeyote Bunge la tokea Jumatatu limepooza sana, likiwa limejaa makofi na Pongezi.

Aliona aibu kusema "ULIKUWA MKUTANO WA MAJUHA". Wenye akili walikuwa hawapo. Hivi Kibajaji, Prof Maji Marefu, Anna Kilango, na wanao fanana na hao utawaweka kwenye fungu gani?
 
Nijuavyo siasa si dini kwamba kila kisemwacho hushangiliwa tu. hata mwalimu mwoga hapendi maswali ya wanafunzi wakati inasemwa aulizae ataka kujua. siasa hizi ni za chuki, woga na unafiki.kuipongeza cuf kumetokana na tishio lake kupungua. Chadema na CCM ni sawa na USA na USSR wakati wa vita baridi haikupata kutokea pande izo zikapongezana. lakini kuwepo kwa nguvu hizi mbili kuliisadia dunia hasa wanyonge. chadema ni nguvu muhimu kwa sasa na nguvu zake inabidi ziongezeke zaidi. tatizo kwa necha ya siasa ni vigumu watu kusema ukweli. sisa na vita ni mtu na jirani. propaganda na uongo ni sawa na chumvi katika chakula. wanachi wanapaswa kufahamu mbichi na mbivu. wakati wanasiasa wakipondana wajitokeze wana asasi waelimishe wanachi mikikimikiki ya siasa, amani ukweli na maendeleo hapo tutafika maana wanasiasa watapigana na wanachi wataamua badala ya wanachi kupigana huku wanasiasa wakigawana cha kwao.
 
nadhani tafsiri ya amani ingeenda zaidi ya majengo ya bungeni; kwamba hata kama kuna makelele mitaani iwe kwamba hakuna amani kwa sababu kelele hizo hazitokei rwanda.
 
yaa lazima liwe bunge lenye amani kwani wamekutana wote wenye mtindio wa ubongo. kazi ni kupiga makofi na kusinzia mpaka wanakurupuka usingizini na kuanza kuropoka
 
Back
Top Bottom