SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
huyu mama anafikiri bungeni ni sehemu ya kwenda kuikatia viuno serikali ukiwa na bunge passive maendeleo yataonekana kwenye maisha ya viongozi na kwenye takwimu tu
Mmmmhhhhhhh!!!!! Baba Nape?Mwandosya hakika amechoka sana, anatakiwa apumzike nyumbani na kucheza na wajukuu.
Jioni hii, katika hali isiyo ya kawaida ameipongeza sana Cuf kwa ushindi mnono kwenye uchaguzi wa udiwani, huku akijikwepesha kabisa kuitaja cdm!
Usomi wa Prof. huyu unatatanisha sana.
peleka umbea hukoHivo wewe mbona hujielewi? Mara Mary Nagu mara Mwandosya mara nani sijui. Ebo.
Kweli mwana JK mjanja kwenye mambo yetu, hana muda na wazee.jk hawezi pga pini mwanamke mbaya kama huyo. Jk ana matrubo ya nguvu nje ya nchi ya kupiga pini
mary nagu jk anapigaga mpini
alikamatwa guest na JItu soni wakila wali na maharage ya mbeyami pia nshasikia!!!
Huyu mama ni cha wote. Alikuwa chakula ya Waziri mkubwa fulani ambaye wanatoka naye kijiji kimoja. Prof Nagu(mumewe)alilalamika sana hadi wazee wa kimila wakaingilia kupata suluhu.2015 hana chake Katesh.Juzi walimgaragaraza kwenye udiwani,chezea M4C weye.mary nagu jk anapigaga mpini
mwisho wao upo mbona ngoja rasimu ipite hiina spika kawaachia tu walopoke?