kufuatia mwenendo wa kesi kumwendea vibaya Dr. Milton Makongoro Mahanga, hali yake ya afya imeyumba na kumpa wakati mgumu kuanza kujitetea mahakamani, hadi hivi sasa kesi inaelekea kuwa njema kwa mpendazoe, muda si mrefu uchaguzi mdogo unanukia , source. kwa ndugu ya makongoro na masaburi, mchana wa leo jumanne machi, 27/ 2012