Mahanga huu ndio wakati pekee unaohitaji msaada wa hali na mali wa EL ulimtetea sana kwenye vikao mbalimbali vya chama chenu na hata bunge lilipokaa kama kamati ya chama chenu ulimtetea mno EL ukidai sio fisadi watu wanamfanyia fitina tu,hujalikumbuka hilo???mpigie,rafiki wa kweli ni yule unaekuwa nae hata wakati wa dhiki.Hii kesi imekukalia vibaya sana kwa kifupi KIMENUKA,hutoki.