Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

Naomba mwenye ule waraka aulete hapa ili tufanye analysis nzuri tutende haki. Na vile vile tumuombe Dr atufafanulie jinsi maamuzi yalivyofikiwa mpaka wao kuadhibiwa je ilikuwa ni matakwa ya wengi kidemokrasia ua maamuzi ya wachache.

Tuchambue hoja zote halafu tutende haki kwa pande zote na sisi wanachma na wapenzi tujitendee haki.

mkuu Mkwawa ukiona mtu haheshimu mamlaka iliyo juu yake basi huyo hafai.

Kumwita kiongozi wako hana elimu, eti yupo too local n.k huku ukifahamu fika huo uongozi amepewa na wanachama huo ni utomvu wa nidhamu wa hali ya juu

likewise kumpigia mtu kampeni kwa kutumia propaganda za kidini na muflisi tuu wa mawazo na fikra ambaye anaweza kuyatenda.

Dr. Ametenda yote haya why not to be kissed off?
 
Last edited by a moderator:
Dr. Kikila hakujua kuwa chama chochote kinapoanzishwa waanzilishi huwa na malengo yao. Na mtu wanaempatia kukiongoza lazima akidhi vigezo vya kuhakikisha kuwa atakifikisha chama kwenye malengo na si kukiua. je ZZK alikuwa ni right candidate wa kukiimarisha CHADEMA. Jibu ni big NO. waasisi wa chama bado tunaendelea kumtafuta right candidate wa kumbadiri Mbowe ili malengo ya chama yaimarishwe zaidi na kuing'oa CCM madarakani
 
Dr. Kitila...
Unaweza ukafikiri uko sawa kwa maandishi wako na vile vile ukaendelea kusifiwa na maccm kutokana na andishi lako ila Wataka mabadiliko sehemu yeyot ile Duniani watakupuuza kwaandishi kama hili...
Ulitaka chama kiendelee kuwakumbatia kwa kukiuka misingi na taratibu za chama? hivi kweli hamuoni kuwa mlitenda kosa? ama ni ule Ununda mnataka muuonyeshe kwenye umma kuwa mmeonewa japokuwa umma unajua mmepata Haki stahiki za kuvuliwa uanachama?

Nadhani huu ungekuwa muda wako muafaka wa kukaa na kujitafakari upya ya namna utakavyoweza kuomba uanachama wa Chadema upya badala ya kuendeleza majungu yasiyo kuwa na kichwa wala miguu, Acha kuendelea kujifedhehesha, mnaweza mkadhani mnanguvu pale mnaposhangiliwa kwenye mitandao ama mahala popote pale kumbe ni Adui zenu wanawazomea bila nyie kujijua.

Kwaandika lako hilo linatuonyesha kuwa chama kilipaswa kuendelea kuwakumbatia hata kama mnafanya makosa kwakuwa eti nyie ni Maarufu siku mkiondoka chadema itayumba na itadhoofika, Hizi ni fikra finyu sana na dhaifu mno kuwahi kunenwa na wanaojiita wasomi duniani ama wataalum wa siasa duniani ama watakamabadiliko.

Kwaandiko lako hilo, kama CHADEMA nia yake ingalikuwa nikuwakumbatia wanaoenda kinyume na taratibu na misingi iliyojiwekea sidhani kama CHADEMA ingekuwa tofauti na LICCM, Wakati wote nimekuwa nikijifunza siasa ndani ya CHADEMA sijawahi kuona sehemu yeyote inayosema kuwa anayeenda kinyume na misingi ya chama ama Taratibu za chama kwakuwa yeye ni maarufu basi chama kikae chini kizungumze naye kiyamalize ilichama kisiingie kwenye migogoro.... hivi ni kweli CHADEMA kuwachukulia hatua stahiki wanachama wake kimeingia kwenye mgogoro mkubwa ambao unakiyumbisha? Unahitaji akili za kiuwenda wazimu kuwaza hivyo.

La msingi nikuwa Haitakaa itokee wala haitatokea kwa CHADEMA kuyumba eti kwakuchukua maamuzi kwa wanachama wake wanaoenda kinyume na taratibu za chama... bali CHADEMA itayumba endapo itaogopa kuchukua hatua sitahiki kwa mwanachama wake yeyote yule anaekwenda kinyume na taratibu zilizoweka.
 
Wenye Akili nyingi tulishaliona hilo kitambo. Na ndio maana huwezi kuona nimesupport upuuzi unaofanywa na akina mbowe hata kidogo. Kazi kwao ma mburula.

Duh!!! nawewe una akili nyingi? wonders never end!
 
binafsi sikubaliani na Kitilya hasa eti kuunda makundi ndani ya chama ndiyo demokrasia. Kama kila anayependa kushika nafasi akawa na makundi itakuaje, si ndiyo mwanzo wa kukisambaratisha chama mapema zaidi

nadhani ingekuwa afya kama wangetumia utaratibu wa kawaida, hadi hapo huo wa mpya wa kuunda makundi mapema utakapo undiwa kanuni zake !
 
Le Mutuz, kama kweli ungekuwa unaijua siasa usingeandika haya uliyoandika! Nataman kukuelewesha ni nini Dr. Mkumbo kakusudia hapa ila bado mapema sana!
Nadhani kwa wale waliosoma Comparative Political Thought na Democracy and Election na wakajikita katika Political Parties in Sourthen Sahara case study ya East Africa watakuwa kidogo wamemuelea Dr. Kitila!

- Kaka soma historia ya wanasiasa wakareeez unapoanza kuandika maneno kama haya baada ya kufukuzwa maana yake ni kwamba umeshindwa it is over, mwanasiasa Zitto tizama kinavyoeleweka tatizo wote huko Chadema ni bure wote hawafai wote wanapokea rushwa so hawafai, Kitila hawa wahuni waliomfukuza ni wenzake sana alikuwa nao siku zote wanapowafukuza wengine mbona hakuwa kulalamika, sasa leo analia nini?

- tumemwambia mara ngapi hapa Ktila kwamba hicho chama sio chako wewe mtu wa Singida kina wenyewe, sasa anashangaa nini hasa? Please Zitto ni a serious politician kwa sababu siku zote alikuwa anajua kwamba hiki chama hakimuhusu ndio maana mapema sana alikuwa hajihusishi na maamuzi mengi ya kijinga na kihuni ya Chademaa na ndi maana bado amesimama mpaka leo, huyu Kitila ni mmoja tu na kina Lema, sasa wamemtema asilie aachane tu na siasa hana jinsi!!

Le Mutuz
 
Katiba maana yake ni nn?? Kama unaenda kinyume na katiba ya chama lazima tuwe na wasiwasi hata ukipata nafasi ya juu unaweza kuvunja hata katiba ya nchi. Hapa Unaogea mkojo matokeo utazidi kunuka....
 
Inahitaji Weledi wa hali ya juu kumuelewa Nguli Kitila Mkumbo, Pale tutakapoacha kushabikia Viongozi na badala yake kupenda CHAMA, tutaweza kuchambua hoja za msingi na kasoro zilizopo katika uongozi.

mashabiki wa zitto wataipenda vp cdm wakati wao ni magamba? mpaka sasa ameshafukuzwa mbona siwaoni hao mashabiki wake wanacdm zaidi ya wale masallia na misukule ya lumumba buk 7?
 
- Kaka soma historia ya wanasiasa wakareeez unapoanza kuandika maneno kama haya baada ya kufukuzwa maana yake ni kwamba umeshindwa it is over, mwanasiasa Zitto tizama kinavyoeleweka tatizo wote huko Chadema ni bure wote hawafai wote wanapokea rushwa so hawafai, Kitila hawa wahuni waliomfukuza ni wenzake sana alikuwa nao siku zote wanapowafukuza wengine mbona hakuwa kulalamika, sasa leo analia nini?

- tumemwambia mara ngapi hapa Ktila kwamba hicho chama sio chako wewe mtu wa Singida kina wenyewe, sasa anashangaa nini hasa? Please Zitto ni a serious politician kwa sababu siku zote alikuwa anajua kwamba hiki chama hakimuhusu ndio maana mapema sana alikuwa hajihusishi na maamuzi mengi ya kijinga na kihuni ya Chademaa na ndi maana bado amesimama mpaka leo, huyu Kitila ni mmoja tu na kina Lema, sasa wamemtema asilie aachane tu na siasa hana jinsi!!

Le Mutuz

Eti zitto bado kasimama,!!!! teh teh teh teh teh
 
- Pole sana Dr. Kitila ila maandishi yako kwangu ninayejua siasa yanaonyesha kwamba wewe sio mwanasiasa, ungekuwa basi usingeandika maneno ya kukata tamaa mapema hivi ulitakuwa kuwa kama Zitto kupigana mpaka damu ya mwisho wewe hujapigana, umekalia maneno maneno tu ya kulia lia kama haya yatakusaidia nini? Nani anayasikiliza haya now, watu wanasonga mbele kaka umeshirikana na hawa wahuni huko Chadema sasa wamekutema unaleta hizi? wote huko mlikuwa wammoja ni Zitto tu peke yake ndiye hakuwa na nyinyi siku zote na ndio maana mpaka leo anasimama nao na kinaeleweka,

- Kitila wewe ndugu yangu sana naomba kukwambia bila kuchanganya maneno wewe sio mwanasiasa ni mbabaishaji, sasa wachana na hii field ya siasa endelea na kufundisha kaka, Zitto ni politician sio wewe kaka badilisha field now ulikimbia CCM sasa umekimbizwa Chadema, ni wakati wa kuwacha siasa tu ninakwambia hvii kwa sababu ninakuheshimu sana wacha siasa huziwezi kaka!!

Le Mutuz

Le Mutuz,
Busara ni kitu kidogo sana, umeanza vizuri lakini katikati ukaingiza matusi (Chama chenye Wah. WABUNGE) unawaita " Wahuni" Chama kina wafuasi wa kila aina, usishange ukakuta hata Mhe. Malecela ni mwanachama.

Dr. Kitila anajua alichokuwa anafanya na wamefanikwa kwa kiasi Fulani maana issue imegundulika karibu na uchaguzi, yeye yupo kwenye system ndiyo maana ulisikia viongozi wengi wa Kitaifa wakitabiria CDM kifo kila kukicha. Jeulize akina Shonza, Machange, Msacky, Yona.......wote hawa wametokea DUCE na Kitila ni mfanyakazi wa Duce.......kwa nini hakufukuzwa Kama Prof. Baregu Baada ya kugundulika ni mwanachama wa CDM?

Ni kweli wameshaanzisha Chama kingine, Muda sio mrefu utasikia viongozi wake, endelea kuchimbua na sio kutoa matusi kaka, hoja hujibiwa kwa hoja.
 
Naweza nisiwe na tatizo sana na waraka ila content za huo waraka.

Waraka una udini, matusi, majivuno na kila aina ya uchafu.

Huwezi kutafuta cheo kwa kuwakashifu na kuwatukana wenzio, this is unacceptable!

Uliaminika nje na ndani ya chama lakini umejiaibisha... go to hell doctor!

Achomwe moto huko hell kuzidi mioto yote. Lucifer huyu. Na usomi wake hawezi kupambanua mambo abachochea uhasama. Hivi ile issue yake na housegirl alipokuwa anasoma Phd nje iliishia wapi? Uzi wake ulitambaa sana Jf. Halafu eti unamtukana kiongozi wako. Mchafu atamwutaje mwenzie mchafu? Nyani haoni kundule.
 
Dr Kitila aje hapa aseme tatizo lake ni CDM na katiba yake , wanachma au uenyekiti wa Mbowe? Matusi ya waraka yalimtusi Mbowe kama Mbowe na sioni uhusiano wa matusi na siasa za kisomi kama kweli kuna elimu. Dr Kitila alinukuliwa akisema kuwa kizazi cha sasa hakina uwezo wa kudebate, Je debate anazoongelea ni za matusi au kumshinda mpinzani wako mpaka umuite majina ya ajabu ajabu tena kwa maandishi? Ninauelewa vizuri uwezo wa Dr sina mashaka nao ila kwa hili la yeye kutumiwa na ZZK na kuandika waraka wa matusi inanipa tabu sana.

Ukiangalia maneno yaliyotumiwa na Dr wa saikologia kwenye waraka yalikuwa ya hasira, chuki binafsi, visa, fitina, umimi, kujikweza, kutokubali wengine kisa tu hawana Phd, kujiona msomi kuliko wote na kutukana matusi ya nguoni.

Kwa lugha kama zile nataka wewe na ZZK muanzishe chama halafu tusome nyaraka milioni mkiandikiana kama zile tuone nani ataishi kwenye nyumba yenu. Alamsiki Dr.
 
MAADILI NI NGUZO MHIMU YA UONGOZI.

Kumekwepo na jitihada ama za makusudi, ama za kutokujua, ama za kile kinachoitwa kumsafisha mbowe.

Niweke wazi kwamba sikumkosoa mbowe kuhusu mambo ya mahusiano anayosemekana kuwa nayo na wabunge wake wa viti maalumu, bali ni kuhusu KUKIUKA KWAKE MAADILI YA UONGOZI.

1) Kitendo cha kukatisha ziara ya mbunge wake wa kazi maalumu ili wakakutane Dubai kwa kazi maalumu badala ya kazi ya nchi aliyotumwa tena arudi toka marekani mpk Dubai kwa fedha za serikali ni matumizi mabaya ya fedha za umma na ni ukosefu wa maadili ya uongozi. Angemrudisha kwa gharama zake yaani kwa fedha zake hapo ingekuwa mambo binafsi. Kufanya mambo binafsi kwa fedha ya umma haiwezi ikawa jambo binfsi. Hivyo sikukosoa mapenzi yao bali matumizi ya kodi za masikini kwa mambo binafsi.

2) Kumlazimisha Afisa wa bunge abadili tiketi ileile iliyokuwa aende kwenye shughuli ya bunge sasa ageuze aende kwenye kazi maalumu hili sio jambo binafsi ni matumizi mabaya ya madaraka. Ni kukosa huruma kwa hali ya juu kwa watanzania.

3) Kumlazimisha mbunge wake wa kazi maalumu kuachana na safari ya kikazi na kuacha nchi ikose mwakilishi kwenye kikao hicho huku tayari akuwa ameshagharamiwa safari hiyo, huku tayari akiwa ameshaziba fursa hiyo ambaye mbunge mwingine angeweza kwenda kuliwakilisha taifa halafu mbowe na mtu wake wakaenda kwenye kipaombele chake cha kuburudika dubai ni ukosefu wa uzalendo kwa Taifa na ni ukosefu wa maadili ya kiuongozi.
Tumeongea kwakuwa wametumia fedha za umma, tumesema kwa sababu wameacha kazi ya umma huku wakiwa wamechukua fedha kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Tanzania na tunasema kwakuwa wamewanyima fursa wabunge wengene ambao wangekwenda kuwakilisha Taifa endapo fursa hiyo hangepewa mtu elibadilishiwa safari ya ya taifa na kuitwa kwa kazi maalumu.

"Ukipewa kazi ya nchi lazima ujiheshimu" NITASHANGAA SANA NITAKAPORUDI BUNGE LIJALO NIKIKUTA MBOWE BADO NI KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI
 
Eti zitto bado kasimama,!!!! teh teh teh teh teh

MAADILI NI NGUZO MHIMU YA UONGOZI.

Kumekwepo na jitihada ama za makusudi, ama za kutokujua, ama za kile kinachoitwa kumsafisha mbowe.

Niweke wazi kwamba sikumkosoa mbowe kuhusu mambo ya mahusiano anayosemekana kuwa nayo na wabunge wake wa viti maalumu, bali ni kuhusu KUKIUKA KWAKE MAADILI YA UONGOZI.

1) Kitendo cha kukatisha ziara ya mbunge wake wa kazi maalumu ili wakakutane Dubai kwa kazi maalumu badala ya kazi ya nchi aliyotumwa tena arudi toka marekani mpk Dubai kwa fedha za serikali ni matumizi mabaya ya fedha za umma na ni ukosefu wa maadili ya uongozi. Angemrudisha kwa gharama zake yaani kwa fedha zake hapo ingekuwa mambo binafsi. Kufanya mambo binafsi kwa fedha ya umma haiwezi ikawa jambo binfsi. Hivyo sikukosoa mapenzi yao bali matumizi ya kodi za masikini kwa mambo binafsi.

2) Kumlazimisha Afisa wa bunge abadili tiketi ileile iliyokuwa aende kwenye shughuli ya bunge sasa ageuze aende kwenye kazi maalumu hili sio jambo binafsi ni matumizi mabaya ya madaraka. Ni kukosa huruma kwa hali ya juu kwa watanzania.

3) Kumlazimisha mbunge wake wa kazi maalumu kuachana na safari ya kikazi na kuacha nchi ikose mwakilishi kwenye kikao hicho huku tayari akuwa ameshagharamiwa safari hiyo, huku tayari akiwa ameshaziba fursa hiyo ambaye mbunge mwingine angeweza kwenda kuliwakilisha taifa halafu mbowe na mtu wake wakaenda kwenye kipaombele chake cha kuburudika dubai ni ukosefu wa uzalendo kwa Taifa na ni ukosefu wa maadili ya kiuongozi.
Tumeongea kwakuwa wametumia fedha za umma, tumesema kwa sababu wameacha kazi ya umma huku wakiwa wamechukua fedha kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Tanzania na tunasema kwakuwa wamewanyima fursa wabunge wengene ambao wangekwenda kuwakilisha Taifa endapo fursa hiyo hangepewa mtu elibadilishiwa safari ya ya taifa na kuitwa kwa kazi maalumu.

"Ukipewa kazi ya nchi lazima ujiheshimu" NITASHANGAA SANA NITAKAPORUDI BUNGE LIJALO NIKIKUTA MBOWE BADO NI KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI
 
- Kaka soma historia ya wanasiasa wakareeez unapoanza kuandika maneno kama haya baada ya kufukuzwa maana yake ni kwamba umeshindwa it is over, mwanasiasa Zitto tizama kinavyoeleweka tatizo wote huko Chadema ni bure wote hawafai wote wanapokea rushwa so hawafai, Kitila hawa wahuni waliomfukuza ni wenzake sana alikuwa nao siku zote wanapowafukuza wengine mbona hakuwa kulalamika, sasa leo analia nini?

- tumemwambia mara ngapi hapa Ktila kwamba hicho chama sio chako wewe mtu wa Singida kina wenyewe, sasa anashangaa nini hasa? Please Zitto ni a serious politician kwa sababu siku zote alikuwa anajua kwamba hiki chama hakimuhusu ndio maana mapema sana alikuwa hajihusishi na maamuzi mengi ya kijinga na kihuni ya Chademaa na ndi maana bado amesimama mpaka leo, huyu Kitila ni mmoja tu na kina Lema, sasa wamemtema asilie aachane tu na siasa hana jinsi!!

Le Mutuz

MAADILI NI NGUZO MHIMU YA UONGOZI.

Kumekwepo na jitihada ama za makusudi, ama za kutokujua, ama za kile kinachoitwa kumsafisha mbowe.

Niweke wazi kwamba sikumkosoa mbowe kuhusu mambo ya mahusiano anayosemekana kuwa nayo na wabunge wake wa viti maalumu, bali ni kuhusu KUKIUKA KWAKE MAADILI YA UONGOZI.

1) Kitendo cha kukatisha ziara ya mbunge wake wa kazi maalumu ili wakakutane Dubai kwa kazi maalumu badala ya kazi ya nchi aliyotumwa tena arudi toka marekani mpk Dubai kwa fedha za serikali ni matumizi mabaya ya fedha za umma na ni ukosefu wa maadili ya uongozi. Angemrudisha kwa gharama zake yaani kwa fedha zake hapo ingekuwa mambo binafsi. Kufanya mambo binafsi kwa fedha ya umma haiwezi ikawa jambo binfsi. Hivyo sikukosoa mapenzi yao bali matumizi ya kodi za masikini kwa mambo binafsi.

2) Kumlazimisha Afisa wa bunge abadili tiketi ileile iliyokuwa aende kwenye shughuli ya bunge sasa ageuze aende kwenye kazi maalumu hili sio jambo binafsi ni matumizi mabaya ya madaraka. Ni kukosa huruma kwa hali ya juu kwa watanzania.

3) Kumlazimisha mbunge wake wa kazi maalumu kuachana na safari ya kikazi na kuacha nchi ikose mwakilishi kwenye kikao hicho huku tayari akuwa ameshagharamiwa safari hiyo, huku tayari akiwa ameshaziba fursa hiyo ambaye mbunge mwingine angeweza kwenda kuliwakilisha taifa halafu mbowe na mtu wake wakaenda kwenye kipaombele chake cha kuburudika dubai ni ukosefu wa uzalendo kwa Taifa na ni ukosefu wa maadili ya kiuongozi.
Tumeongea kwakuwa wametumia fedha za umma, tumesema kwa sababu wameacha kazi ya umma huku wakiwa wamechukua fedha kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Tanzania na tunasema kwakuwa wamewanyima fursa wabunge wengene ambao wangekwenda kuwakilisha Taifa endapo fursa hiyo hangepewa mtu elibadilishiwa safari ya ya taifa na kuitwa kwa kazi maalumu.

"Ukipewa kazi ya nchi lazima ujiheshimu" NITASHANGAA SANA NITAKAPORUDI BUNGE LIJALO NIKIKUTA MBOWE BADO NI KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI
 
Mkumbo na ZZK wnajaribu kuwapofusha wana CDM kwa maneno ya kujirudiarudia yasiyo na maana kama "siasa za majitaka, mabadiliko, nk". Wasitake kutumia mfano wa Mrema na NCCR, na kupandikiza mfanano huo huo kwenye scenario ya sasa.
Zaidi tutaona kama ni vibaraka wa CCM kuendelea kutumia maneno dhidi ya CDM maana mtu mwenye uelewa wa 3 dimensions anaweza kuona the context of the writing is not sympathy for the absent and yet "claimed authoritarianism" in political parties but speeding down of the major opp party in the way they know.
The name puppet fits Mkumbo and the sidelined and they should understand that even those who do not have a pint of political knowhow,consider them as .....:thumbdown:😡
 
Kwa hiyo Dr. Kitila unasema Demokrasia ni Kumuita kiongozi mwenzio ni akili ndogo, au bila kufanya utafiti wewe kama naibu katibu mkuu unaandika kwenye mtandao kuwa kumbe chama changu ni chama cha kigaidi?, maana baada ya ishu ya Rwakatare, Zitto bila utafiti alipost hiyo thread
 
Back
Top Bottom