Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

Inahitaji Weledi wa hali ya juu kumuelewa Nguli Kitila Mkumbo, Pale tutakapoacha kushabikia Viongozi na badala yake kupenda CHAMA, tutaweza kuchambua hoja za msingi na kasoro zilizopo katika uongozi.

Wenye Akili nyingi tulishaliona hilo kitambo. Na ndio maana huwezi kuona nimesupport upuuzi unaofanywa na akina mbowe hata kidogo. Kazi kwao ma mburula.
 
CHADEMA wamefanya sahihi kumfukuza Dr.Kitila Mkumbo.Mtu hasiyejua kosa lake, HAFAI kusamehewa manake ATARUDIA kosa lile lile tena.Nikiri mimi binafsi nilikuwa shabiki mkubwa sana wa Dr.Kitila (si kwenye hili sakata?!) Juu ya ufahamu wake wa mambo ya Elimu na Falsafa zake.Nilikuwa nampenda sana.Lakini kwa hili la kutaka kuleta hayo unayoyaita"mabadiliko" nimepata picha tofauti sana nawe.Nashangaa unajitetea kwa hoja dhaifu"eti demokrasia ya kuandaa Mapinduzi ndani ya chama".Kama hajui kaka yangu Mkumbo alikuwa anaandaa Vurugu ndani ya chama.Nikupe Elimu kidogo Dr. Wangu, hivi sisi wanachama wote mmoja mmoja kimya kimya tukiamua kutaka kuwa Mwenyekiti au katibu Mkuu na kisha kuandaa"mkakati"itakuwaje????!Kwa nini wewe uamini sana kwamba Zitto ndiye anayefaa kuchukua hicho kiti????! Sisi wafuasi wengine hatuamini kama Zitto anauweza huo UENYEKITI.Halafu kiongozi MZURI anachaguliwa na kupendekezwa na watu si yeye kujipigia debe kana kwamba kuna manufaa fulani atayapata akiwa mwenyekiti ambazo alikuwa hazipati alipokuwa naibu katibu Mkuu.Imani yetu ni kuwa Zitto si kiongozi mzuri, ni mtu wa kutafuta vyeo kwa kujinufaisha yeye binafsi.Hatuwezi na asilani hatuko tayari kuwa na Mwenyekiti wa AINA ya Zitto Kabwe.Pili, kila tunaposoma hoja zako, hasa hili sakata nashawishika kuamini kuwa Dr.Kitila yule niliyekuwa namshabikia na niliyeamini kuwa atakuwa Mbunge mwingine kule singida(Tundu Lissu Na.2) si yule Kitila tena.Umekuwa na hoja dhaifu na za ulaghai.Nakushauri ni bora ukajadili mambo mengone ila si hili sakata.Unazidi kujidhalilisha Dr.wangu.
 
Kitila Mkumbo unajulikana wazi wewe ni system. Na Njoka akikuweks karibu na Zitto ummalize kisiasa. Zzk pole sana. Na Msacky naye kama mmoja wao anafanya kazi yake.
 
Mbadala wa CCM ni CHADEMA, na CHADEMA haijawa na mbadala bado na ili awepo inabidi kusota kwanza nje, Kitila anza kuchakalika, ila siku zote katika harakati zako fahamu chama cha kufukuzana ni kizuri kuliko chama cha kulindana.

Kama chongo na kengeza!!!!!!
 
Dr. Mkumbo tambua kamwe Zitto akishafukyzwa Cdm aandike maumivu. Watanzania wa enzi za Mrema si wa leo au kesho. Mashabiki wa Zzk ni wachache hawamfikushi popote. Na baadhi yao ni system wako kazini na watamwacha maana mission accomplished!!! Take my words.
 
Swali kwa Dr Kitila, ZZT na wapenzi wao wote Je Mbowe akiiachia Madaraka kama wanavyotaka wataendelea kusakama CDM? Naona mgomvi wao mkubwa ni Mbowe. Hili linanifanya nawaza sana, kwanini CCM na team Zito wote wanamshambulia Mbowe kutoka kila kona? Ni kitu gani kinawatisha na kuwaogopesha hivyo kwa Mbowe? Kila neno kila tuhuma kwasasa anaelekezewa Mbowe kunanini?

Naomba Team Zito iniambia Je ugomvi wao hasa ni nini? Dr unapoikandia leo CDM kwamba inahitaji mbadala huoni huu ni unafiki umekaa ndani ya CDM miaka nane, ukipewa posho, majukwaa ya kisiasa, ukiandaa sera, ukisimamia michakato mbalimbali ya kichama hukuliona hili siku zote za kutaka mbadala ? Kwanini mpaka mbinu zako za kumweka ZZK mwenyekiti na wewe kuwa katibu mkuu kushindwa ndio uone hakuna demokrasia???

Je ungefanikiwa kumwingiza ZZK pale juu ungesema haya unayosema leo? Unasema kujaza form ya kugombea ni kiini macho, wewe mwigamba na ZZK na wenzenu mlisha jiandaa kumsimika ZZK kuwa mwenyekiti hivyo kwenye team Zito mwingine angeonyesha nia ingekuwaje? wakati tayari mlikuwa mmepanga safu ya uongozi wa mapinduzi???

Mbowe amewakosea nini leo au ni maelekezo tu mnayatekeleza???? Need some meat on this.
 
Dr. Mkumbo tambua kamwe Zitto akishafukyzwa Cdm aandike maumivu. Watanzania wa enzi za Mrema si wa leo au kesho. Mashabiki wa Zzk ni wachache hawamfikushi popote. Na baadhi yao ni system wako kazini na watamwacha maana mission accomplished!!! Take my words.

Hiki ni kiapo ,reality or a mere wish???!!!
 
Washabiki wa viongozi ndani ya chama cdm ni wengi mfano Ben saanane,Yericko Nyerere,Mungi,Molemo ,Tumaini Makene,Lema,Nassari,Tundu ,etc

Tunatakiwa tutengeneza washabiki wa misingi ya chama kwa
1.Kuweka wazi mchakato wa uchaguzi wa viongozi huru na wenye haki
2.Wanachama wote kwa usawa washiriki kuwachagua viongozi wa chama tunaowataka
3.Kutangaza sera za chama na kuweka wazi ilani za chama kikishika dola
4.Chama kiweke wazi mapato na matumizi ya rudhuku za chama pamoja na kuhakikisha sheria zote za kutangaza tenda za chama zinawekwa wazi na shindanishi
 
So Kitila Mkumbo you need mbadala wa CDM na CCM, kwa hiyo mlitaka muangamize CDM ili muelekee kwa huyo mbala. Acheni uhuni bhana.

Wakati wa uchaguzi 2010 kampeni zinaendelea. Zitto alikuwa busy kutangaza atagombea Urais 2015. Was it right timing? Acheni uhuni na kuaminisha wananchi ujinga.

Ndio Zitto alitaka kugombea Uenyekiti wa CDM, Kitila nakwambia kwamba, huyo Zitto wako angepata Uenyekiti leo CDM isingekuwepo.

Endelea kutuletea porojo zako unadhani wote ni mabwege.......

Haya ndo ma-Lecturer yetu! Pambaf.. kabisa!!

Yaani huyu jamaa anataka tuendelee kulea ujinga kwa kuogopa mtu kwamba atayumbisha chama? Hebu aache hizo mambo bwana. Hivi hawa jamaa walipoanzisha mkakati wa chini kwa chini walikuwa wanafanya vizuri kweli hivyo? Kama hawa jamaa wanataka madaraka makubwa waende wakaanzishe chama chao ndo tutawaelewa.

Big up CHADEMA kwa mkakati huo wa kusafisha mapandikizi.
 
Ili chama kitulie labda mbowe ajiuzuru au afe japo si vema kumwombea kifo
 
Dr unajidanganya ZZK sio mtu sahihi wakuaminiwa nakupewa Mamlaka yakuwa Kiongozi wetu WANACHADEMA,hata yeye anajua ndio maana akakimbilia mahakamani!huku mtaani tumeichoka ccm natumejiandaa kuionyesha kwenye Uchaguzi wa serikali zamitaa na Uchaguzi mkuu ujao...Umekuwa msomi wa ajabu!Unashiliki kuwakashifu viongozi wako Eti mnajiandaa kufanya mabadiliko!Mwambie ZZK kama anajiona anawatu asingeenda mahakamani angeona ambavyo angeondoka mwenyewe kwa aibu au angepata Wanafiki wenzake wachache wasiomjua..!
 
Ukimgusa mbowe unagusa maslahi ya mzee mtei then chama
We hushangai mzee mtei anajali sana fedha(maslahi ya chadema kupitia mbowe) kuliko utu(mwanawe kutelekezwa na Mbowe)
 
Wengi CDM wanatetea haki za msingi za Mtanzania wachahce ndio washabiki wa watu wanaowaandikia mpaka nyaraka wakiwashabikia ili wafikie malengo yao hasi. Wengi wanachama wa CDM wanauunga mkono maamuzi halali ya vikao halali vya chama. Na hili ni muhimu kwa leo, kesho na kesho kutwa. Lazima vikao viheshimiwe na ndio demokrasia pana hiyo. Kikao kimewatimua kwa wingi wa kura waondoke. Leo ni 2014 sio 2009 count years.
 
Back
Top Bottom