samaki2011
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 1,775
- 469
mshachinjiwa baharini bado tu mnarusharusha mateke au ndio kukata roho
Upuuzi,respond kwenye hoja..Albert Einstein alifail shule pia,Bill gates, na wengine wengi wakafanya mambo makubwa.And kama ni kahome boy kako si tufanyeje,mi jirani yangu...so what?attach hoja zake za kiubinafsi za kutokuitakia mema chadema, kujidai wanajua kuliko watanzania wengine,kuandaa agenda ya mabadiliko cha kuchafua viongozi wengine na hivyo kukipasua chama,
mmKitila anaburuzwa na ZItto tu, namjua vizuri ni kilaza flani hivi. Kana uroho wa madaraka ile mbaya. Kana maneno mengi ndo maana kanaonekana kanajua kitu...kalisoma PCB pale Pugu kakapata ufaulu hafifu kakapita njia za panya kwenda chuo kusoma ungwini...ati nako kana PhD!
Zitto ni kama mlima kwa haka kajamaa..ndo maana anakadrg kwenye matope na ki PhD chake!
However, ni ka home boy kangu na nilikuwa mbele yake pale Pugu A-level.
Hivi jimboni kwake ana madiwani wangapi wa CDM?
Mbona wanaom-support wote ni wale wenye shutuma kama za kwake; Chagulani, Matata, + vijana wasiojua kinachoendelea nchini?
Zubeda hana lolote huyo; aungane na wenzake wakaimbe Chigomaaa
mkuu achana nao hao wachumia tumbo.
Hicho chama cha kikabilaMbadala wa CCM ulipaswa kuwa CHADEMA
Sasa tutafanyaje? Basi waungane wote kama kweli wana nia ya kuiangusha CCMHicho chama cha kikabila
Chadema ipi?Mbadala wa CCM ulipaswa kuwa CHADEMA
Jidharau zaidi weweTangu alipowataka wananchi watoe maoni kuhusu dira ya maendeleo ya taifa ya 2050, kabla hajatoa ripoti ya tathmini ya dira ya 2025, nilimdharau sana.
Sijui kwanini anaitumia vibaya nafasi nyeti aliyopewa. Huyu hakupaswa kuwa waziri wa wizara ya mipango.
Blahblah nyingi! Mipango sifuri.
Kitila wewe ni prof ambae hukupaswa kuwa waziri wa wizara nyeti ya Mipango. Uwezo wako ni mdogo. Ulionao nchi gani watu wanatoa maoni ya kisera bila reference?Jidharau zaidi wewe
Sinlazima upate tathmini ya awali kutoa maoni
Maoni could be observatory, experience, wishes or facts borrowed from scientific studies
FICHA UPUMBAVU WAKO!