Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!


if m.k.w.e.r.e he is a president... Hope every body can handle dat Positn...
 
Kwani Nyerere aliandaliwaje na nani alimuandaa. Kwani hao walioandaliwa walileta nini katika nchi yetu zaidi ya ufisadi na wizi wa rasilimali za nchi. Kumbuka hakuna anaye zaliwa na uzoefu(experience) uzoefu hupatikana katika shughuri yenyewe na sio vinginevyo. Kinachotakiwa ni uadilifu na musimamo wa kweli.
 
Hata mimi nimeshakudharau sana kwa sababu wewe unaendekeza udini
Mkuu Topical, mpotezee mbangubangu huyo anayetaka sifa za kijinga humu,, yuko kwenye payroll huyo kutwa nzima jitu limo tu humu!! Mi nilishamtema kwa sababu kubishana na mjinga wote mnaonekana sawa. Mteme mkuu
 
Mkuu Topical, mpotezee mbangubangu huyo anayetaka sifa za kijinga humu,, yuko kwenye payroll huyo kutwa nzima jitu limo tu humu!! Mi nilishamtema kwa sababu kubishana na mjinga wote mnaonekana sawa. Mteme mkuu

Again-masaburi at work! Evening now!
 
Unataka kutuambia ukitoka mikoa ya kaskazini ni disqualification ya post ya Urais? I think there must be something wrong with you. You have to go to Mirembe for check up.
 

Mara nyingi humu JF huwa tunasema ukimuona mwanaume anamsifia mwanaume mwenzake hivyo ujue kuna walakini , na mashaka na ulivyo !

 
Kitila mkumbo ni masalia ya Zitto tuyapukutishe hayafai kama kweli tunaipenda hii nchi..HAFAI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…