Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

Kwa hiyo waweke mwenyekiti Mnyamwezi na CCM wakisema chama cha wanyamwezi CHADEMA wateue tena Mmakonde? Mbona fikra zako fupi sana? yaani unataka CHADEMA wafanye vile CCM watakavyo au wewe wampenda sana huyo Mkumbo?
Siasa si hesabu. Kama hujui kwamba hoja ya ukaskazini inatumika kuididimiza chadema basi una tatizo. Hata leo tu soma Tazama uk 2 imeandikwa kama ifuatavyo:
" Kauli hizo za mjumbe wa kamati Kuu ya chadema zimetafsiriwa na wachambuzi wa mambo ya kisiasa kwamba ni uthibitisho wa dhahiri dhidi ya tuhuma za muda mrefu kwamba chama hicho si cha kitaifa kama viongozi wake wanavyotaka kuwaaminisha watanzania, bali ni chama cha ukoo na watu wa kaskazini tu" Mwandishi ameandika utumbo mtupu ila sasa watanzania wengi wanayaamini haya. Ili kuwakata kilimilimi wapuuzi kama hawa, weka M/kiti ambaye si wa kaskazini. Hata kenya watu wanamshauri Uhuru Kenyatta asigombee maana rais anayemaliza muda wake ni Mkikuyu. pamoja na kwamba ni maarufu sana akipuuza ushauri huu utamgharimu. hii ni political tactic. Kuna tofauti kati ya ukweli na siasa.
 
Lol..omr..
Huyo kitila hata hajawahi kuwa balozi wa nyumba kumi.
Alishakuwa RAIS WA DARUSO 1998 lakini mmmmmh anapendwa pesa huyo..Miradi yote ya Daruso alikuwa anpewa 10% kama wakati huo baa ya Charlse na Duka na mradi wa chakula wa Daruso kwa wakati huo.
 
Alishakuwa RAIS WA DARUSO 1998 lakini mmmmmh anapendwa pesa huyo..Miradi yote ya Daruso alikuwa anpewa 10% kama wakati huo baa ya Charlse na Duka na mradi wa chakula wa Daruso kwa wakati huo.
Acha hizo!
 
Tahadhari: Tusiseme nani mzuri au anafaa! tujaribu kuainisha kwanza matatizo yetu ni yapi? tukisha yaanisha yote ndiyo tujiulize ili changamoto hizi zipate ufumbuzi ni kiongozi wa namna gani anafaa! kisha tumtafute kiongozi wa namna hiyo! siyo kukaa na kuwafagilia watu kwa jinsi wanavyoonekana! kuendelea na tabia hii ya kusema nani anafaa bila kujiuliza tuna matatizo yapi na yupi kwa kushirikiana nasi tunaweza kuvuka basi tujue tutaendelea kuwaweka viongozi aina ya jk kila kukicha!!! Over and out
 
udsm yupo kitivo gani vile?

Kwa sasa UDSM hakuna vitivo tena. Sasa hivi kuna vitu vinaitwa Shule (Schools) na vyuo vishiriki (College). So Dr Kitila Mkumbo yupo University of Dar es Salaam College of Arts and Social Sciences (UDCASS). Kwa kiswahili Chuo cha Sanaa na Sayansi ya Jamii Cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Kuhusu swala la Urais wa Dk Mkumbo, ingawa katiba ya CDM na ya taifa inamruhusu kugombea, Mimi binafsi namshauri aanze kwanza kugombea Ubunge ili apate fursa ya kuzifahamu vizuri siasa za bunge kabla hajaingia rasmi kwenye siasa za kitaifa.
 
Kama DR. J K aliweza kwanini DK Mkumbo asiweze?
 
Again-Masaburi at work! Lunch time!
Again:
kibaraka mkubwa unatutangazia kuwa unagawa masaburi!! unauza shilingi ngapi hayo masaburi??chundu kwelikweli wewe.... kacheze Taarab magomeni unyoonye na vidole juu kampichi mbelewele wee
 
Napendekeza kamanda mnyika,kamanda zitto na kamanda wenje................mmojawapo kati yao
 
Again:
kibaraka mkubwa unatutangazia kuwa unagawa masaburi!! unauza shilingi ngapi hayo masaburi??chundu kwelikweli wewe.... kacheze Taarab magomeni unyoonye na vidole juu kampichi mbelewele wee

Again-masaburi at work! Lunch time!
 
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.

Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.

Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?

jamani this is serious. Haya mambo ya kaskazini yanatokea wapi?
 
Alishakuwa RAIS WA DARUSO 1998 lakini mmmmmh anapendwa pesa huyo..Miradi yote ya Daruso alikuwa anpewa 10% kama wakati huo baa ya Charlse na Duka na mradi wa chakula wa Daruso kwa wakati huo.
Kumbe???? Ngoja nianzie hapa
 
Kweli wehu mpo wengi humu! Yaani katika watu wote tulio nao mnamuongelea Kitila Mkumbo kwa Urais lazima mtoa mada anfikiri kwa kutumia masaburi!!!
 
Tahadhari: Tusiseme nani mzuri au anafaa! tujaribu kuainisha kwanza matatizo yetu ni yapi? tukisha yaanisha yote ndiyo tujiulize ili changamoto hizi zipate ufumbuzi ni kiongozi wa namna gani anafaa! kisha tumtafute kiongozi wa namna hiyo! siyo kukaa na kuwafagilia watu kwa jinsi wanavyoonekana! kuendelea na tabia hii ya kusema nani anafaa bila kujiuliza tuna matatizo yapi na yupi kwa kushirikiana nasi tunaweza kuvuka basi tujue tutaendelea kuwaweka viongozi aina ya jk kila kukicha!!! Over and out

Umesema kitu mhimu sana!! Tuyaainishe matatizo yetu yote kama nchi harafu ndo tujadiliane nani anafaa kutuongoza katika kuyatatua.
 
Kitila ana upeo mzuri sana na nampenda sio siri, kumbe watu huwa mnawaona watu wazuri eee? Sasa angeachana na mambo ya chaki aj kwenye siasa full fledged then ndo tumpe ubunge au urais akishamaliza Dr. Slaa. Dr. Slaa mwacheni amalizie miaka mitano ijayo harafu amwachie dr. kitila.
 
Topic ipo hot lkn vichwa naona vinanjaa vinaandika shit nyingi badala ya kuwa deep
 
Back
Top Bottom