Mbeki alitoa tathimini yake kuhusu ukimwi na kugusa familia nyingi hapa barani Africa(Je tathimini ya mbeki ilikusudia kukomoa familia ziliziothirika kwa UKIMWI?)
Dr.Kitila mkumbo kamuuliza swali kutokana na tahthimini yake mwenyewe tena kwa kumtajia familia yake na kuunganisha familia yake ili ku-prove hypothesis ya kauli ya Mbeki.
Mtazamo wako una prejudice kuwa Dr.Mkumbo alikusudia eti kumkomoa.
Hivi swala la ukimwi kwenu ni swala la kificho kiasi hichi????
Mbeki ni public figure na anapaswa kuulizwa jambo lolote linalomuhusu liwe linamfurahisha au liwe linamkera.
Watanzania wengi ni waoga sana kiasi cha kusababisha kuacha baadhi ya mambo yakienda ovyo kwa kuogopa kuuliza viongozi wao just because ni viongozi tu.
bado hujaeleza kwa nini swali kama liliulizwa katika mazingira ya kuelimishana ya chuo kikuu kinachoheshimika Africa kama UDSM? Nkumbo angekua na kipindi chake kama vile Hardtalk na Kitila Nkumbo au Dr Nkumbo hapo sawa mazingira na jukwaa hilo lingefaa kuuliza swali kama lile au Nkumbo angekua ni mchangiaji wa kawaida ie mwanfunzi au mgeni kama mimi toka nje ya chuo sawa ila siyo mtu mwenye mamlaka UDSM.