Dr. Kitila ampa tabu Thabo Mbeki

Dr. Kitila ampa tabu Thabo Mbeki

Mbeki alitoa tathimini yake kuhusu ukimwi na kugusa familia nyingi hapa barani Africa(Je tathimini ya mbeki ilikusudia kukomoa familia ziliziothirika kwa UKIMWI?)
Dr.Kitila mkumbo kamuuliza swali kutokana na tahthimini yake mwenyewe tena kwa kumtajia familia yake na kuunganisha familia yake ili ku-prove hypothesis ya kauli ya Mbeki.
Mtazamo wako una prejudice kuwa Dr.Mkumbo alikusudia eti kumkomoa.
Hivi swala la ukimwi kwenu ni swala la kificho kiasi hichi????
Mbeki ni public figure na anapaswa kuulizwa jambo lolote linalomuhusu liwe linamfurahisha au liwe linamkera.
Watanzania wengi ni waoga sana kiasi cha kusababisha kuacha baadhi ya mambo yakienda ovyo kwa kuogopa kuuliza viongozi wao just because ni viongozi tu.

bado hujaeleza kwa nini swali kama liliulizwa katika mazingira ya kuelimishana ya chuo kikuu kinachoheshimika Africa kama UDSM? Nkumbo angekua na kipindi chake kama vile Hardtalk na Kitila Nkumbo au Dr Nkumbo hapo sawa mazingira na jukwaa hilo lingefaa kuuliza swali kama lile au Nkumbo angekua ni mchangiaji wa kawaida ie mwanfunzi au mgeni kama mimi toka nje ya chuo sawa ila siyo mtu mwenye mamlaka UDSM.
 
Hapana, hiyo itakuwa ni hitimisho kutokana na anachoripoti "Daudi Mchambuzi," ambacho hatuna uhakika nacho kwa sababu kuna wengine wanashuhudi swali tofauti na hilo.

Tunataka kuona swali la Kitila mstari kwa mstari!


Tunataka kuona swali la Kitila mstari kwa mstari, ndio. Lakini asipokanusha hapa kinachoripotiwa na Daudi Mchambuzi itabidi tukikubali kwa kanuni ya watu wa pwani inayosema "kunyamaza kimya maana yake ni sawa na kujibu NDIO"
 

nani kakuambia kuwa sijui kama Dr. Kitila kama kauliza swali hili au la?

Wewe si ndo uliyeuliza "Kwa nini waliokuwepo kwenye mkutano huo wanaleta habari nusu nusu?", au siye wewe?

Sasa kama unayajua yote, si uyaseme? Dr.Kitila aliuliza swali tajwa au la?
 
bado hujaeleza kwa nini swali kama liliulizwa katika mazingira ya kuelimishana ya chuo kikuu kinachoheshimika Africa kama UDSM? Nkumbo angekua na kipindi chake kama vile Hardtalk na Kitila Nkumbo au Dr Nkumbo hapo sawa mazingira na jukwaa hilo lingefaa kuuliza swali kama lile au Nkumbo angekua ni mchangiaji wa kawaida ie mwanfunzi au mgeni kama mimi toka nje ya chuo sawa ila siyo mtu mwenye mamlaka UDSM.

tunapokuwa kwenye kongamano lolote ni sehemu ya kujifunza kwa kila aliyepo pale as long as mtu apate kitu kipya asichokijua.
Kama ni kweli Mbeki alisema ukimwi unasabishwa ba umaskini ni basi iyo 'Mbeki School of thought', sasa kama ni kweli Dr. Kilita ameuliza swali hilo ni sahihi kabisa kwani huenda jibu la Mbeki lingetoa muendelezo wa his school of thought ama angeifuta iyo thought yake na hapo inakua ni kitu kipya kabisa kwa wanaopenda kujifunza.
 
Tunataka kuona swali la Kitila mstari kwa mstari, ndio. Lakini asipokanusha hapa kinachoripotiwa na Daudi Mchambuzi itabidi tukikubali kwa kanuni ya watu wa pwani inayosema "kunyamaza kimya maana yake ni sawa na kujibu NDIO"

mkuu mimi najadili mada, hapa reporter ni muanzisha mada.
 
Hebu angalieni ukilaza wa Kitila; Doctor wa UD anashindwa hata kupata facts kwanza kabla ya kuuliza swali. Ndio maana tunasema elimu yetu UD imeshuka kwa kuwa na lecturers kama yeye, ambao wanakurupuka bila kuwa na facts zote. Kitila anapaswa kumuomba msamaha Mbeki;


Fresh inquiry ordered into death of Mbeki's son

THABO MBEKI HAD A SON BUT HIS SON, KWANDA MBEKI, WAS KILLED IN THE 80's but he and his wife didn't have any other children except this son.

Kwanda Mbeki disappeared in South Africa in 1981 while attempting to join his father and other anti-apartheid activists in exile. He is assumed to have been killed by agents of the white government, but his body, like those of hundreds of others who disappeared while resisting minority rule, was never found.

Mr Mbeki has rarely spoken of his own family's losses, and referred to them only in general terms when he gave evidence to the TRC. Last week, however, the President wrote in his weekly ANC newsletter: "I too, and especially my mother, regret that the TRC process did not succeed to unearth the truth about what happened to our own loved ones who disappeared without trace - my brother Jama Mbeki, my son Kwanda Mbeki and my cousin, Phindile Mfeti."

Mr Mbeki did not ask the TRC to investigate the disappearances, but the case of Kwanda Mbeki was referred to the TRC by his mother, Olive Mpahla. She said he disappeared when on his way to visit his uncle, Mr Mfeti, although accounts exist of him having been seen in exile. But the TRC did not have the time or resources to investigate a large proportion of cases, including those of the President's family.
 
Huwezi kutumia dhana ya uongo kujenga swali lako ikisha ukatarajia mtu mzima na shughuli zake akusahihishe, hasa ikiwa dhana hiyo inachembe chembe za kukusuta unaeulizwa. Hilo ni moja.

Swali linalobeba dhana ya uongo linamvunjia heshima muulizwa na taasisi anayoihudumia huyo muuliza. Unajua kaabisha Chuo Kikuu na Chadema kwa kiasi gani kwa swali lake hilo?

Wewe kama hujui kama Kitila aliuliza swali hilo au la, kwa nini unamtetea kuwa alifanya jambo jema kuuliza swali hilo? Au ndio unafata mkumbo wa Mkumbo?

Right on Mkuu! Katika nyanja za public life, huwa tunasema "I can not dignify your stupid question with an answer". Sasa, japo huwa hatutamki maneno hayo, swali la kijinga likiulizwa huwa hatutoi jibu. Unaweza ukakaa kimya na kusema "next question, please". Principle inayotumika ni kwamba "silence is the answer to a fool".

Kwa hiyo ndiyo principle aliyotumia Mbeki kwa Kitila, japo Mbeki was diplomatic enough to say 'I will not respond to that pinching question'. Lakini Mbeki alikuwa na haki ya kukaa kimya na kusema "next question please" to put Kitila in his right place.
 
Hebu angalieni ukilaza wa Kitila; Doctor wa UD anashindwa hata kupata facts kwanza kabla ya kuuliza swali. Ndio maana tunasema elimu yetu UD imeshuka kwa kuwa na lecturers kama yeye, ambao wanakurupuka bila kuwa na facts zote. Kitila anapaswa kumuomba msamaha Mbeki;


Fresh inquiry ordered into death of Mbeki's son

THABO MBEKI HAD A SON BUT HIS SON, KWANDA MBEKI, WAS KILLED IN THE 80's but he and his wife didn't have any other children except this son.

Kwanda Mbeki disappeared in South Africa in 1981 while attempting to join his father and other anti-apartheid activists in exile. He is assumed to have been killed by agents of the white government, but his body, like those of hundreds of others who disappeared while resisting minority rule, was never found.

Mr Mbeki has rarely spoken of his own family's losses, and referred to them only in general terms when he gave evidence to the TRC. Last week, however, the President wrote in his weekly ANC newsletter: "I too, and especially my mother, regret that the TRC process did not succeed to unearth the truth about what happened to our own loved ones who disappeared without trace - my brother Jama Mbeki, my son Kwanda Mbeki and my cousin, Phindile Mfeti."

Mr Mbeki did not ask the TRC to investigate the disappearances, but the case of Kwanda Mbeki was referred to the TRC by his mother, Olive Mpahla. She said he disappeared when on his way to visit his uncle, Mr Mfeti, although accounts exist of him having been seen in exile. But the TRC did not have the time or resources to investigate a large proportion of cases, including those of the President's family.

kwako wewe mtoto ni mpaka umzae, huwezi kum-adopt?
 
kwako wewe mtoto ni mpaka umzae, huwezi kum-adopt?

Kwangu mimi au records zinazosema Mbeki hakuwa na watoto? Hao wanaotoa hizo records hawajui kwamba hata watoto wa ku-adopt bado wangeitwa Mbeki's children?

Jaribu tena.
 
Tusipakane mafuta kwa mgongo wa chupa..kitila alimvuruga mbeki (alikusudia ama hakukusudia) lakini yule ni Dr anafundisha Psychology na ni guru katika hiyo discipline alishindwa kusoma alama za nyakati? Angekua kijana wa undegraduate bado tunampa nafasi ya kusema hata kama anakosea.. Mbeki ni mmoja ya wazee wenye busara sana africa,pale south africa he is next after mandela,ana uvumilivu,ni msomi tena wale classical. Wakati akirespond swali aliamua alisha ona mbwembwe alizotumia kitila kuuliza lile swali. Mbeki kwa kutumia elimu, umri, status,na uzoefu wake katika siasa akalia assassinate lile swali, na akazidi kumtia aibu kua yupo mis informed of so many thing..hii ni aibu kwa Dr kitila,tanzania,udsm,college ya education,dept ya psychology,chadema na JF sababu ni mwanachama wetu.

My take..tunamtaka kitla nkumbo aje jukwaani tumpe nafasi ajieleze afafanue dhima ya lile swali na kwanini aliliconstruct that much persona na wakati alijua mbeki amekuja kitaasisi? Na maswali mengine...nasema hivi kwa sababu Dr ana heshimika,ana nafasi kubwa katika hii nchi kupitia CDM hivyo kauli ya mtu wa nafasi yake lazma tuijadili!
 
Mhadhiri Mwandamizi wa UDSM, Dr. Kitila Mkumbo jana alimpa wakati mgumu Rais wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki.

Hiyo ilikuwa ni katika wakati wa maswali kwa Mbeki baada ya hotuba yake katika ukumbi wa Nkrumah wa UDSM.

Swali la Dr. Kitila lilijikita katika kauli ya Mbeki, wakati akiwa madarakani, kuwa UKIMWI hauenezwi na ngono ila shida na umaskini wa wananchi. Dr. Kitila alimkumbusha Mbeki juu ya kifo cha mtoto wake (wa Mbeki) kilichosababishwa na UKIMWI. 'Unaendelea kusimamia kauli yako?' aliuliza Dr.Kitila

Mbeki aliacha kujibu hilo swali. 'I will not respond to that pinching question' alisema Mbeki. Na hapo ndipo ukawa mwisho wa maswali kwa Mbeki ingawa swali la Dr.Kitila lilikuwa la pili tu.Prof. Mukandala alimaliza muda wa maswali ghafla

majembe ya CHADEMA hayo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kitila hapo kweli alikosa busara na alihuliza swali kama sifa flani hivi aonekane nae kahuliza swali ,pia hakukuwa na haja ya yeye kumtaja mtoto wa mbeki kwani ni masuala ya kifamilia...hekiama hana akili finyu huo udokta kapewa kwa njia za panya yaelekea....mgeni akija kwake anaweza kumuhuliza vitu kama hivyo?
joyce hata wewe akili yako finyu na elimu yako nadhani ni kuliko unavyomtathimini dr. kitila ebu tizama sarufi yako inadhihirisha ulofa wako
pili kwani mgeni akija kwako usimuulize jambo la kweli alilolitenda? nyinyi ndo mmeifikisha nchi hii hapa tulipo kutomwambia rais kuwa nchi imeyumba, wananchi wanamsema vibaya kuhusu matatizo yanayowakabili kazi ni kumwimbia tu hali wananchi wanaangamia. Acha ukomba kujikomba kisa vyeo
 
Inaonesha kuwa mtu anaejiita "doctor" Kitila Mkumbo, hajui alifanyalo na zaidi alitaka kujionesha mbele za watu.

Kwanza kabisa, kama yeye si mwanafunzi hapo alikuwa hapaswi kuulizia maswali, hiyo ilikuwa ni fursa ya wanafunzi kuuliza ili wapate kujifunza, yeye huyo angechukuwa fursa hiyo kuwatazama wanafunzi wanachouliza, wanavyojibiwa na baadae kwenda kuvijengea hoja akiwa na wanafunzi wake.

Ikiwa hao ndio wakufunzi wa Tanzania, si hasha tunatoa wanafunzi wa vyuo ambao hata spelling hawajui.

Mkumbo tangu akiwa mwanafunzi UDSM alikuwa mtu wa kujipendekeza sanaaaaa...na kujifanya ana IQ kubwaaaaaaa sana, kwa hiyo kwa staili hiyo najua alitakakujionyesha anjua mambo mengi sana ya dunia na ya watu binafsi.Tumsamehe bure..
 
Mhadhiri Mwandamizi wa UDSM, Dr. Kitila Mkumbo jana alimpa wakati mgumu Rais wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki.

Hiyo ilikuwa ni katika wakati wa maswali kwa Mbeki baada ya hotuba yake katika ukumbi wa Nkrumah wa UDSM.

Swali la Dr. Kitila lilijikita katika kauli ya Mbeki, wakati akiwa madarakani, kuwa UKIMWI hauenezwi na ngono ila shida na umaskini wa wananchi. Dr. Kitila alimkumbusha Mbeki juu ya kifo cha mtoto wake (wa Mbeki) kilichosababishwa na UKIMWI. 'Unaendelea kusimamia kauli yako?' aliuliza Dr.Kitila

Mbeki aliacha kujibu hilo swali. 'I will not respond to that pinching question' alisema Mbeki. Na hapo ndipo ukawa mwisho wa maswali kwa Mbeki ingawa swali la Dr.Kitila lilikuwa la pili tu.Prof. Mukandala alimaliza muda wa maswali ghafla


Hawa jamaa wakiwa on power wanalewa madaraka wanajiona wako exceptional wanaropoka tu, si unakumbuka yule mwingine alishabikia ndege ya mhe inunuliwe hata tukila majani poa tu maana prezidaa hawezi panda punda, sasa mbona mpaka leo tunakutana nae kwa commercial flights? wanakeraaaa
 
Binafsi namkubali sana Kitila, to be honest.Na huwa yuko so trick kuuliza maswali yake so inawezekana hiyo ilikuwa ni njia ya kwenda swali la pili ila Mbeki akashtuka na kama angelijibu ungefurahi swali ambalo lingefuata.
 
dr yuko sahihi sana tatizo la ukimwi lipo linagusa jamii nzima ikiwamo ya mbeki .,hapa muulizaji alitaka kupata msimamo wa mbeki kuhusu tatizo hili ambalo limemgusa pia mbeki ,pengine huko nyuma alizungumzia kisiasa pale hakuna siasa ni aeleze mtizamo wake .bahati mbaya hakujibu .
 
bado hujaeleza kwa nini swali kama liliulizwa katika mazingira ya kuelimishana ya chuo kikuu kinachoheshimika Africa kama UDSM? Nkumbo angekua na kipindi chake kama vile Hardtalk na Kitila Nkumbo au Dr Nkumbo hapo sawa mazingira na jukwaa hilo lingefaa kuuliza swali kama lile au Nkumbo angekua ni mchangiaji wa kawaida ie mwanfunzi au mgeni kama mimi toka nje ya chuo sawa ila siyo mtu mwenye mamlaka UDSM.

Nkumbo ni nani?
 
Mtoto gani wa Mbeki aliyekufa kwa UKIMWI?

*Kama Mkumbo ameuliza kweli suala kwa namna hiyo, ninaelewa kwa nini Mbeki amekataa kulijibu, kwa sababu limekaa kusuta zaidi ya kutaka ufafanuzi........Ila sidhani kuwa Mkumbo ameuliza suala hilo, hivyo lilivyo

Kwakweli si ustaarabu kuuliza maswali ya kum-provoke mtu kama objective ni kuelewa context ya kinachozungumzwa...Na swala la umasikini ni pana sana hata kama Mbeki katika hali ya kawaida si masikini lakini anaishi katika nchi mojawapo masikini duniani na kwa context hiyo hawezi kukwepa relative problems za umasikini....Mfano msichana/mvulana kutoka familia masikini kwakujua kuwa anayehusika ni mtoto wa Rais na possibility ya kupata dau kubwa kwa kuuza/nunua ngono then hapo huyo mtoto hajawa tu victim wa umasikini wa masikini wanaomzunguka katika jamii yake huko nchini kwao kwakutumia silaha ya mapenzi?

Japo my personal opinion kuhusu UKIMWI ni tofauti kabisa na Mbeki....Siamini ukimwi kuwa tatizo katika jamii ya kibinadamu ila naamini kuna lengo lisilowazi juu ya huu ogonjwa na kubwa ni population control tool hasa kwa masikini ambao wamekataa kupanga uzazi.
 
msomi mzima anauliza swali la kijinga namna hiyo? je linamanufaa gani kwa watanzania?
Nilidhani jamaa huyu anaweza panga hoja vizuri kumbe debe tupu !
 
Back
Top Bottom