Dr. Kitila ampa tabu Thabo Mbeki

Dr. Kitila ampa tabu Thabo Mbeki

kitila alipaswa kujua kwamba Mbeki alivyosema ukimwi ni ugonjwa wa maskini alisema kwa muktadha gani.kwa mfano; wakati mtu anakemea uzembe wa madereva, anaweza kusema "ajali barabarani husababihwa na uzembe wa madereva" sasa hapa haina maana kwamba ni kila ajali itakayotokea itakuwa ni usembe wa dereva lakini kulingana na mazingira ya kauli;kauli inakuwa ni sahihi.Sasa mbeki alipo sema vile. alitaka kuonyesha kwamba umaskini una mchango mkubwa katika kuenea kwa ukimwi;kitu ambacho kina ukweli.
Nimeshaanza kuwa na wasiwasi na uelewa wa hawa wasomi wetu ambao ndio tunaowategemea,ndugu umeeleza vizuri sana ,huyu Dr Kitila kaonyesha umbumbumbu wa hali ya juu,na nakubaliana na mdau kuwa kuingiza hilo kwenye mambo binafsi huo ni ufinyu wa akili,hasa kwa mtu msomi kama Kitila(?)nafikiri pia huyu Dr wakati alitaka tu kujionyesha kuwa anamjua Mbeki ndani nje na mwishowe kaharibu wakati ambao wengine wangetumia kuuliza maswali,unapomuuliza mtu kwa kurejea mambo yake binafsi ana haki ya kuhamaki ,na sawa hata yeye Kitila umuulize swali na kwa kufuata mambo yake binafsi tena yanayohisi kifo sijui kama angefurahi.Kwa mila mambo ya vifo yanayomhusu mlengwa hayaletwi kwenye mijadala,huo ni kukosa heshima na adabu
 
Mtoto gani wa Mbeki aliyekufa kwa UKIMWI?

*Kama Mkumbo ameuliza kweli suala kwa namna hiyo, ninaelewa kwa nini Mbeki amekataa kulijibu, kwa sababu limekaa kusuta zaidi ya kutaka ufafanuzi........Ila sidhani kuwa Mkumbo ameuliza suala hilo, hivyo lilivyo


Hapo Kitila alichemsha. Report ya world bank iliyotaka mwaka huu inaonyesha kuwa kuna correlation kati ya kipato na ugonjwa wa UKIMWI.
 
"Mbeki aliacha kujibu hilo swali. 'I will not respond to that pinching question' alisema Mbeki."

Mbeki knows the answer. Issue yangu hapa ni kuwa viongozi wengi wamekuwa wakitoa kauli ambazo impact yake ni mbaya sana.

Inawezekana hata huyu alotuletea hapa hii habari kachapia na watu tunamshabikia, tunaondoka na habari kana kwamba ni ukweli usio shaka

Na suala la msingi limelalia hapo kwenye mtoto wa Mbeki aliyekufa kwa UKIMWI.....

Kama hakuna huyo mtoto, hadithi yote hii tuliyoletewa hapa inaweza kuwa ni ya uongo mwanzo hadi mwisho wake
 
Sababu ya kushamiri ulimwi Botswana ni wafanyakazi wa kwenye migodi hawakupewa elimu ya kutosha na mila na desturi zao zilichangia sana

Chama
Gongo la mboto DSM

Kwa kuongezea tu. Utajiri wa Botswana umetokana na natural resources lakini katika sehemu zingine za maendeleo kama vilevile elimu na matumizi yake bado wako nyuma kama nchi zingine masikini.
 
Mh huyo ndiyo mmoja ya wapanga mkakati wa CHADEMA,Busara hana hata kidogo.Alafu mnataka tuwape nchi,mnafikiri nchi ni kupigisha disco
 
Hapo Kitila alichemsha. Report ya world bank iliyotaka mwaka huu inaonyesha kuwa kuna correlation kati ya kipato na ugonjwa wa UKIMWI.

Mimi nna shaka kuwa hajauliza hili swali kama lilivyoanishwa hapa

Dk. Kitila Mkumbo tafadhali njoo utupe swali ulilouliza tulijadili.

#Mentiontagmgogoro
 
Inawezekana hata huyu alotuletea hapa hii habari kachapia na watu tunamshabikia, tunaondoka na habari kana kwamba ni ukweli usio shaka

Na suala la msingi limelalia hapo kwenye mtoto wa Mbeki aliyekufa kwa UKIMWI.....

Kama hakuna huyo mtoto, hadithi yote hii tuliyoletewa hapa inaweza kuwa ni ya uongo mwanzo hadi mwisho wake

Mkuu,

In real sense, Kitilya alimuattack Mbeki personally, ambayo si nzuri. Mbeki ni binadamu mwenye nyama na damu. Pamoja na hayo siamini kama Kitilya anaweza zusha uongo mkubwa hivyo, kuna sehemu kasimama na ndo maana alitaka Mbeki aseme ukimwi unasababishwa na shida na umasikini tu? Its real a pinching question.

Tatizo langu lipo kwa viongozi ambao hawajui kuwa kila kauli inayotoka midomoni mwao inachukuliwa kwa uzito mkubwa sana sana tu!
 
Mkuu,

In real sense, Kitilya alimuattack Mbeki personally, ambayo si nzuri. Mbeki ni binadamu mwenye nyama na damu. Pamoja na hayo siamini kama Kitilya anaweza zusha uongo mkubwa hivyo, kuna sehemu kasimama na ndo maana alitaka Mbeki aseme ukimwi unasababishwa na shida na umasikini tu? Its real a pinching question.

Tatizo langu lipo kwa viongozi ambao hawajui kuwa kila kauli inayotoka midomoni mwao inachukuliwa kwa uzito mkubwa sana sana tu!

Una uhakika gani kuwa Kitila aliuliza kweli hilo suali? Una uhakika gani kuwa huyu alotuletea hapa hii habari hakukosea kwenye kuelewa swali la Kitila ndio akatujia na maelezo kuwa mtoto wa Thabo Mbeki alikufa kwa UKIMWI?

Mimi hadi muda huu sijaona kwenye chombo chochote cha habari kusemwa kuwa kuna mtoto wa Thabo Mbeki aliyekufa kwa UKIMWI
 
Huyu jamaa ni muoga maswali kama Sultani Kikwete anavyo ogopa midahalo alikuwa radhi kumfukuza mchapakazi kama Tido kuliko kusikia neno mdahalo

Tido alikuwa hana adabu, yeye hajui kuwa kama kuna jambo nyeti Salva Rweye anaandika kwenye karatasi na mkuu anakuja tu kusoma, sasa anaposema habari za 'amne samne' hajui ni kuaibishana?
 
Inaonesha kuwa mtu anaejiita "doctor" Kitila Mkumbo, hajui alifanyalo na zaidi alitaka kujionesha mbele za watu.

Kwanza kabisa, kama yeye si mwanafunzi hapo alikuwa hapaswi kuulizia maswali, hiyo ilikuwa ni fursa ya wanafunzi kuuliza ili wapate kujifunza, yeye huyo angechukuwa fursa hiyo kuwatazama wanafunzi wanachouliza, wanavyojibiwa na baadae kwenda kuvijengea hoja akiwa na wanafunzi wake.

Ikiwa hao ndio wakufunzi wa Tanzania, si hasha tunatoa wanafunzi wa vyuo ambao hata spelling hawajui.
 
kitila hapo kweli alikosa busara na alihuliza swali kama sifa flani hivi aonekane nae kahuliza swali ,pia hakukuwa na haja ya yeye kumtaja mtoto wa mbeki kwani ni masuala ya kifamilia...hekiama hana akili finyu huo udokta kapewa kwa njia za panya yaelekea....mgeni akija kwake anaweza kumuhuliza vitu kama hivyo?

JOYCE PAUL hapa umeandika kwa lugha ya kimanyema? Tutafsrie na sisi tusiokuwa wazawa wa jimbo la Bandundu!
 
Last edited by a moderator:
Botswana ni nchi maskini? mbona ukimwi umeshamiri? Wacha kumshabikia Mbeki.
SASA BOTSWANA NI NCHI TAJIRI?YAANI MFANO WANGU NILOTOA HAPO JUU HUJAUELEWA?Kwa hiyo wewe na kitila mnataka kutuambia ukimwi ni ugonjwa wa matajiri kuliko ilivo kwa masikini?
 
Kama kweli Kitila kauliza swali kama hili basi alikosea. Manake ni kama vile alikuwa anamlazimisha Mbeki akubaliane na kile anachotaka yeye (Kitila). Halikuwa swali, zaidi alinuia kumsuta Mbeki.
 
Kwanza Mbeki mwenyewe hajawahi kuwa na mtoto kwa mkewe huyu wa sasa. Sijawahi kusikia hata kasingiziwa mtoto kwingineko. Angalau sio Dr Kitila wa kuuliza swali kama hili!
 
Mimi nna shaka kuwa hajauliza hili swali kama lilivyoanishwa hapa

Dk. Kitila Mkumbo tafadhali njoo utupe swali ulilouliza tulijadili.

#Mentiontagmgogoro


Mbeki ni mchumi. Na alitazama vitu kutokana profession yake. Watu walimpinga sana aliposema maneno hayo. Sababu kubwa ya kumpinga huko ilitokana na kuwa science ya kutibu magonjwa iliyokuwa mstari wa mbele kwenye kampeni.

Mpaka sasa hakuna vaccine. Lakini matumizi ya pesa yameonyesha kuwa yanapunguza kwa kasi kubwa kusambaa kwa ugonjwa huu. Na unapozungumza pesa, uzungumzi umasikini.

Kwa mfano serikali ya Marekani ilitoa mapesa mengi kusaidia nchi za kiafrika kununua madawa (antiviral). Matumizi ya madawa haya yanapunguza usambazaji wa ugonjwa.

Kwa mtaji huu sio vaccine na wanasayansi wanaoweza kutatua tatizo hili pekee yao. Ni mchanganyiko wa mambo mengi, yakiwemo mambo ya kuinua uchumi.
 
Naona huyo muuliza swali aliuliza tu kujionesha kwamba anafuatilia sana mambo ya Mbeki hakuwa na nia yeyote ya kupata clarification kwa faida ya wote.
Acha chuki za kisiasa Kongozi
South Africa ndio african greatest nation, rais wake anapotoa kauli ya namna hiyo sio jambo la kubeza,Mbeki kachemsha
 
- Dr. Kitila, ni mmoja wa viongozi ninayemuheshimu sana huko Chadema na ninajua kuwa ni kichwa na ndiye anayepaswakuwa MWenyekiti wa Chadema ila kwa vile huko kumejaa vilaza kuanzia wanachama na wapambe hawezi kupewa nafasi kubwa kama hiyo wataishia kupeana hao vilaza,

- I have no comment kuhusu mawaswali aliyomuuliza huyo Rais mstaafu, ila nashangaa kusikia hakujibu WHY? Sasa usipojibu ndio unatoa nafasi kwa watu kuamua wanayoyataka na kukusingizia uongo mwingi, hivi ni lini Viongozi wa Africa watajifunza kuwa wawazi? I mean ona Obama ameambiwa na MWananchi tu wa kwaida Donald Trump kuwa sio Raia wa USA, the the most powerful man in the world si angesema sio lazima ajibu, lakini imebidi mtumzima Obama aonyeshe mpaka vyeti vyake vya kuzaliwa kumjibu Trump!

- I dont care kuhusu swali la Dr. Kitila even though kwa kuwa najua ni kichwa najua kwamba alilipima na yuko right kuliuliza, nina tatizo sana na swali kutkujibiwa ndio huwa ninaita nonsense! Mbeki alitakiwa kujibu tena kwa ufasaha na kama anaamini alikosea aseme sio kukimbia swali!

- I HAVE SO MUCH RESPECT KWA DR. KITILA THAT NINAAMINI SWALI LAKE NI JUSTFIED ILA TATIZO NI VIONGOZI WA AFRICA KUJIFUNZA KWUA WAWAZI SASA NA KUACHA KUJIFICHA FICHA NYUMA YA VIVULI VYAO!

BRAVO DR. KITILA, NEXT TIME KAMA HAWAWEZI KUJIBU MASWALI YENU MSIWARUHUSU KUJA KUPOTEZA MUDA WENU HUKO KWENYE VYUO VIKUU VYETU, MAHALI PA WASOMI NI WEWE ULIYEKUBALI KWENDA SASA ULITEMEA NINI KWAMBA WASOMI WATAKUBEBA BEBA TU KAMA MTOTO MDOGO, SAAFI SANA KITILA!!

Le Mutuz!!
 
Mhadhiri Mwandamizi wa UDSM, Dr. Kitila Mkumbo jana alimpa wakati mgumu Rais wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki.

Hiyo ilikuwa ni katika wakati wa maswali kwa Mbeki baada ya hotuba yake katika ukumbi wa Nkrumah wa UDSM.

Swali la Dr. Kitila lilijikita katika kauli ya Mbeki, wakati akiwa madarakani, kuwa UKIMWI hauenezwi na ngono ila shida na umaskini wa wananchi. Dr. Kitila alimkumbusha Mbeki juu ya kifo cha mtoto wake (wa Mbeki) kilichosababishwa na UKIMWI. 'Unaendelea kusimamia kauli yako?' aliuliza Dr.Kitila

Mbeki aliacha kujibu hilo swali. 'I will not respond to that pinching question' alisema Mbeki. Na hapo ndipo ukawa mwisho wa maswali kwa Mbeki ingawa swali la Dr.Kitila lilikuwa la pili tu.Prof. Mukandala alimaliza muda wa maswali ghafla

Thabo Mbeki ni JEMBE haswa!! angejibu angechukua muda lakini siyo kwamba alikosea au hajui.
Tumeshajiuliza maswali haya?
What is causing the epidemic of HIV/AIDS?
Why Africa is more vulnerable than Europe/US? Kumbukeni kuwa hawa wenzetu umalaya ni kawaida ref> "sexual tourism in Thai and the like"HIV/AIDS infection vulnerability is beyond sex!!!!

I = N x P x T

where I is probability of sexual infection,

N is the number of partners= kwa wale mlioishi ughaibuni na wanaofahamu hawa watu weupe mnalo jibu hapa!!

P is the prevalence rate in the population, and

T is the per-contact transmission risk, which is assumed to be the same for every population.


lT = V – + C + (or T = V – x C +)
risk of transmission = vulnerability + contagiousness
lV – = f {standard risk, H–, M–, F–, TB–, STD–,
SCH–, . . . }
Tafiti zimeshaoneshwa kuwa uwezekano wa maambukizi (vulnerabilities) huongezeka kukiwepo na Utapiamlo wa hali ya juu, kichocho, magonjwa ya zinaa, malaria, TB, na magonjwa yote kwa ujumla. Hii ni nini kama siyo umaskini?
Ninampenda THABO kwa kutufumbua macho mapema.
Uhusiano wa maambukizi ya UKIMWI na Umaskini ni mkubwa kupita kiasi. Thabo alipingwa na anapingwa na Mashirika ya KIFISADI yaliyotumia janga la UKIMWI kama mtaji! wa kufisidi!!. Hadi miaka hii ndipo tunapohusisha UKIMWI na maendeleo. MY take THABO was absolutely right! we were myopic that time.
UKIMWI unasababishwa na UMASKINI na Unasababisha UMASKINI.
 
Mbeki ni mchumi. Na alitazama vitu kutokana profession yake. Watu walimpinga sana aliposema maneno hayo. Sababu kubwa ya kumpinga huko ilitokana na kuwa science ya kutibu magonjwa iliyokuwa mstari wa mbele kwenye kampeni.

Mpaka sasa hakuna vaccine. Lakini matumizi ya pesa yameonyesha kuwa yanapunguza kwa kasi kubwa kusambaa kwa ugonjwa huu. Na unapozungumza pesa, uzungumzi umasikini.

Kwa mfano serikali ya Marekani ilitoa mapesa mengi kusaidia nchi za kiafrika kununua madawa (antiviral). Matumizi ya madawa haya yanapunguza usambazaji wa ugonjwa.

Kwa mtaji huu sio vaccine na wanasayansi wanaoweza kutatua tatizo hili pekee yao. Ni mchanganyiko wa mambo mengi, yakiwemo mambo ya kuinua uchumi.
Mkuu umenikuna hapa!!
 
Back
Top Bottom