Dr Kigwangala aikemea CCM na kuikubali UKAWA

Dr Kigwangala aikemea CCM na kuikubali UKAWA

Mi binafsi nishawahi kuweka uzi humu uliyosema; Kufanya vibaya kwa CCM kumechangiwa na ukimya wa raisi wetu " mods wakaitoa sasa nawaomba na hii muitoe.

mods wengine ni wapuuzi sana. afadhali sasa kada wao mwenyewe kanena hadharani. jk ndiye muuaji namba 1 wa CCM.
 
chriss lukosi myalukolo wetu wa kule uk hasikiki nimemmisi jukwaani kukitetea chama chetu. Kule nyumbani pia hawa chadema wanazidi kupaa. Tokea uokoe jahazi ndugu yangu

mkuu Chris Lukosi pitia pande hizi unaitwa na wadau uje uokoe jahazi.
 
Last edited by a moderator:
tpaul kigwa wako lazima aseme hivyo sasa kwani ameshasoma alama za nyakati na kugundua kuwa safari hii hakuna atakayembeba kwenye kura za maoni na kuna vijana zaidi ya watatu akiwemo husein bashe ambao watakuwa wapinzani wake. Kwa hiyo ungempa ushauri wa bure tu badala ya kumpongeza kwamba ahamie chama chochote kilichomo ukawa huenda akaambulia ubunge wa kuteuliwa. Wewe hushangai mtu unayemwita mwanasiasa mkongwe anataka kumshinikiza rais afanye maamuzi jinsi anavyotaka yeye.? Kwa kifupi tu kigwa sio ccm kusema kwamba akiondoka itakufa. Ameikuta ccm na ataondoka ataiacha ccm kama ilivyo na ndoto yake ya kuwa itadidimia akaiote nzega kwa muda uliobakia wa ubunge wake.

ni kweli kabisa mkuu. Ni bora aihame ccm kwa kuwa ameongea ukweli wakati maccm hawampendi mtu anayesema ukweli mtupu bila chembe ya ulaghai.
 
sasa wachekani bi kiroboto? kwani ITV ndio waliomlisha maneno hayo au unataka kusema nini?

Nacheka Kigwa kualikwa ITV. Kweli mambo mazuri, ukikosa la mama hata la mbwa linasaidia.
 
Ukitaka kuisema CCM waziwazi kama hivi, ukiwa ndani ya CCM ni lazima uwe na akili kama ya mwendawazimu...kwani wenyewe wana utaratibu wao kuwa kwa maoni na ushauri lazime wafuate taratibu za ndani za chama.

HONGERA Kigwa kwakuwa mwendawazimu...Bigup sana tu.

Rais wetu amefanya taasisi ya Urais kuwa na vigezo vyepesi sana... Kuanzia sasa mtu yeyote anayeweza kumtimua waziri mwizi bila ya woga na kumtia korokoroni na achukue fomu. Tuanze na pale wengine waliposhindwa.
 
nenda kigwa nenda...umeng;amua kuwa 2015 huna chako jimboni nzega
ni kweli kabisa mkuu. Ni bora aihame ccm kwa kuwa ameongea ukweli wakati maccm hawampendi mtu anayesema ukweli mtupu bila chembe ya ulaghai.
 
Anatafuta kick ya kujisogeza UKAWA mwakani.. Ameshaona taa nyekundu huko aliko
 
nasikia mchujo kwao ni mkali sana na bila 'pesa za kununulia mazao' hupiti, je yeye kapita!?
 
huyu jamaa ana akili lakini nashangaa bado yuko ccm achukue hatua mapema akili yake sio ya kuwa ccm kabisa
 
Back
Top Bottom