Mkuu ameona unafiki haulipi.Leo kwa mara ya kwanza nimemuona Kigwa ana akili au tuseme amebadilika. Nadhani huwezi kumuweka tena kwenye kundi la watu kama Nape au Baadhi ya Wabunge wa CCM. Ameongea ukweli na kukiri kuwa CCM inafanya mambo kwa mazoea na kwamba kujisafisha baada ya kutenda madudu ni kazi ngumu.
Majadiliano yake na Salum Mwalimu wa Chadema kweli yalikuwa ya kizalendo hasa na hayakuwa ya kishabiki.
Nape anaweza kuwa kiongozi chini ya JK tu na si mtu mwingine,subiri baada ya 2015 hutalisikia tena jina la nape kwenye siasa za nchi hii.Nape anafanya siasa kama mchekeshaji wa mfalme. Anasema tu ili mradi kikwete afurahie
Mkuu why wapewe mawazo ya kuwafanya waendelee kuishi.hujui kufa kwa ccm ni neema kwa watanzania?hayo ndio mawazo wanaotakiwa kupewa ccm,lakini kwa kuwa ni sikio la kufa hawaelewi
hahahahahahahahahahahITV
kwi kwi kwi kwi teh teh teh
Afadhali kauona ukweri!
Kama sio mizengwe na makundi ya wenye noti huyu ndiye mtu pekee wa ccm anayeweza kunitoa nyumbani kwenda kupiga kura wengine woote ni kama kuurudisha utawala wa sasa. Mda wa mtandao umeisha ,tukiuendeleza nchi yetu haitakalika.
wapi LB7 akina Faizafoxy,lizaboni,simiyu yetu et all...!!!
Dr.Kigwa you have nailed...Wanahitajika watu realistic kama huyu ndani ya ccm
Dr Kigwangala ameitahadharisha CCM kuwa makini na nguvu za UKAWA kufuatia kuinyanganya CCM 20% ya viti kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi punde. Dr Kigwa aliyasema hayo wakati akihojiwa kwenye kipindi cha UZALENDO kinachorushwa na ITV.
Kigwangala alisema wananchi wa leo sio wale wa miaka 5 au 10 iliyopita. Ametumia nafasi hii kumuonya Rais Kikwete atekeleze maazimio yote ya bunge dhidi ya mafisadi wa ESCROW bila kusita kwani asipofanya hivyo anazidi kukididimiza chama wakati yeye muda wake unakaribia kuisha. "Rais asipotekeleza maazimio ya bunge anazidi kukiweka chama chetu katika wakati mgumu", alisema.
Aidha, mwanasiasa huyo mkongwe amewaomba watu wa CCM kuacha kufanya siasa kwa mazoea na kwa kutumia hila na ujanjanja. Ameenda mbali zaidi kwa kuwataka CCM waache kuwakumbatia mafisadi kwani kufanya hivyo wanaweka rehani uhai wa chama.
Source: ITV
MAONI YANGU
Nampongeza Kigwa kwa kusema ukweli, tofauti na wanaCCM wengine wanaoubeza Muungano wa UKAWA.
:israel:
Hahaha hahaha hahaha magamba chama cha mapingamiziNa sio 20% UKAWA wana 36% yaani ccm wana 64% tu kwa mujibu wa TAMISEMI, na hapo hujatoa walizoshinda kwa mapingazi. Ccm ni wazi inang'oka 2015.