Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,010
- 74,647
Leo kwa mara ya kwanza nimemuona Kigwa ana akili au tuseme amebadilika. Nadhani huwezi kumuweka tena kwenye kundi la watu kama Nape au Baadhi ya Wabunge wa CCM. Ameongea ukweli na kukiri kuwa CCM inafanya mambo kwa mazoea na kwamba kujisafisha baada ya kutenda madudu ni kazi ngumu.
Majadiliano yake na Salum Mwalimu wa Chadema kweli yalikuwa ya kizalendo hasa na hayakuwa ya kishabiki.
Majadiliano yake na Salum Mwalimu wa Chadema kweli yalikuwa ya kizalendo hasa na hayakuwa ya kishabiki.