Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Mahamuzi ya Kesi ya Igunga ni Ushindi kwa team Lowasa. Kesi hii na ya Profesa Mahalu ni sign tosha ya kifo cha CCM na watoto wake. Kama waliingia kwa makundi, watakufa kwa makundi "umoja ni nguvu, makundi ni udhaifu" 2015 CCM RIP
 
nadhani Kafuhumu atakuwa ameweka record ya aina yake hapa tz kwakuwakilisha wananchi kwa kipindi kifupi na kisha kuvuliwa ubunge mahakamani
 
mbona kwenye taarifa ya habari ya saa 7 mchana TBC 1 hawajatanganza? au ndio radio zilizochoka zinatoa ya ccm tu?
 
Wana Mabwepande wajiandae kuwa wapinzani....kwa mwendo huu siwaoni kabisa wakichukua jimbo lolote kihalali..ni hatari jamani mtoa povu yu wapi?malizia miaka 3 ya mwisho kabla hujakimbia nchi!
 
Masikini Dalali Kafumu mbona katumikia muda mfupi sana??
 
Tumepata habarii jujuu kwamba ubunge wa Kafumu umefumuliwa na kwamba Rage kahukumiwa jela miaka miwili. Hii ama kwa hakika ni habari njema kuelekea ukombozi kamili dhidi ya mkoloni CCM

Hata hivyo ni vyema habari kamili ikawekwa hapa janvini
 
mwisho wa dhambi ni kudharilika kwa hili ccm imepata ilichokuwa imepanda na bado 2015 itakuwa ni heshima nene
 
Sijui ule mkopo alopewa kama mbbunge anaurudishaje??!!! Dah ila siasa zinaweza kukufanya ufe kwa presha..jamaa kakaa mjengoni kidogo tu hata kiyoyozi hakijamkolea,ghafla chalii...inaumaaaaaaaaa
 
Mimi nimeamini taarifa hii baada ya kuona katika star tv wakithibitisha kafumu kufumuliwa
Mijitu mingine bwana sijui ikoje, ulikuwa huamini ulipoambia na Great Thinkers mpaka umeona Star TV kwli we pumba ina maana ss hapa tunacheza
 
Back
Top Bottom