Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Na wewe ni kama Nape
lakini tusi sahau Dalali wenu kafumuliwa
lakini tusi sahau Dalali wenu kafumuliwa
Hahaha wee hunaga hoja Uko kama Slaa
Hahaha wee hunaga hoja Uko kama Slaa
WAKUU sitegemei kama great thinker wanaweza leta ishu ya uzushi hapa jamvini! kama ni kweli kafumu kafumuliwa
narudisha kadi no.5 ya ADC leo hii hii, nakuja chadema.
aachane na ubunge kwanza ccm imemtupa haijampa msaada hata wanachama wake hawakujitokeza kutoa ushahidi mahakamani.furaha ya R.AKama Kafumu kafumuliwa basi na huo utakuwa ndio mwisho wa Ubunge wake wala asijaribu kukata rufaa. Tena ikiwezekana aachane na siasa za kugombe unless awe apointed na Prezdaa.. Maana nguvu iliyotumika Igunga mpaka leo machungu yake tunayaone kwenye uchumi wetu..
ndo kusema kazi ya nchemba (umeneja ) imekuwa sifuri kote igunga na arumeru mashariki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hatimae!
kafumu akishinda hii kesi nakata gogo barabarani.....
bwana wee....yaani we acha tu...ni tatizo la kutokuamini..na ni hawa hawa hawaendi kupiga kura wakati wa uhaguzi mkuu halafu wanategemea yule wanayemtaka kushinda